Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo

Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,076
Reaction score
859,172
Binadamu ni kiumbe hai wa namna ya pekee kabisa anayeweza kusema kwa nguvu zote kuwa hii ni nyeupe lakini moyoni mwake akiwa haamini hivyo au akiwa na ukweli tofauti.

Wote tunamjua sana shetani dubwana linalotisha na hata tunapomchora mawazoni na hata kwenye makaratasi ni kitu cha kuogofya kutisha na kuogopwa lakini huu ni unafiki mkubwa wa kiumbe mwanadamu kwakuwa shetani ni nzuri shetani anavutia shetani anaheshimiwa shetani ni maarufu shetani anasujudiwa mno.

Na kwakuwa shetani anayatambua yote haya ndio maana hana pressure na wewe anakuacha ufanye unafiki wako anajua kwa hakika kwake utarejea likitokea jambo tusilolipenda kabisa toka rohoni mwetu huwa na kwa maslahi yetu ambayo saa nyingine ni ya kujikweza humbomoa shetani hasa na kupambana naye kwa nguvu zote! Tukimseta kumlaani kwa kadiri ya pumzi zetu yeye hukaa kimya na kutabasamu.

Lakini likitokea jambo ambalo tunalipenda lakini ni naya hasa la kutosheleza tamaa na matamanio ya kimwili shetani huwa rafiki mwema na tuko tayari kufanya naye colabo bila kujua kuwa ni maagano hapa hupambani tena na shetani bali mnacompromise.Kichefuchefu cha undumilakuwili wa mwanadamu.

Unaingia nyumba ya ibada kwa imani yako ukiwa na matatizo lukuki Hapa unaenda kuomba msaada wa Mola wako ukifanikiwa unaenda kufanya uchafu huku ukiomba mambo yasije kuharibika... Mungu anakutizamana tu huku shetani akitabasamu kwa pozi.

Mwanadamu ni kiumbe dhaifu asiye na msimamo thabiti atumikiaye nguvu mbili kwa mara moja na wakati wote kwa shetani kidogo kwa Mungu kidogo na hayo ndio maisha yetu mpaka tunakufa na unafiki wote huku tukimpa shetani ushindi mkubwa.
 
1440619864653.jpg
 
Shetani ana nguvu kwa mtu anaejitambua on what makes him happy in life (provided its within society moral values), anayeiangalia dunia kwa uhalisia wake na kujua mazingira gani ayamfai kwake na kujitoa.
 
Shetani kaja na rumbesa uache?
Si kuna nafasi ya kuungama baadae??
 
Shetani kaja na rumbesa uache?
Si kuna nafasi ya kuungama baadae??

Yeah that's why there is time when you need to fight him and there is time when you need to negotiate with him
 
Yeah that's why there is time when you need to fight him and there is time when you need to negotiate with him

Sometimes you need to join him on ya way to heaven!!??
 
Hahahaaa hayo ni maneno ya kawaida sana...halafu ya kuiga haya Jibu swali langu sasa
peace_3.jpg
The "v sign" has a colourful history. "V" is the Roman sign for the number five and Adam Weishaupt used it in the Illuminati to symbolise the "Law of Fives,'' but there's more. In the Cabala:

"the meaning for the Hebrew letter for V (Van) is 'Nail.' Now, 'The Nail' is one of the secret titles of Satan within the Brotherhood of Satanism. Satan is letting us know that this is one of his favourite signs. Why else does he like the PENTA-gram (Penta = five!) and the FIVE-fold salute used in Masonry and Witchcraft?''
 
peace_3.jpg
The "v sign" has a colourful history. "V" is the Roman sign for the number five and Adam Weishaupt used it in the Illuminati to symbolise the "Law of Fives,'' but there's more. In the Cabala:

"the meaning for the Hebrew letter for V (Van) is 'Nail.' Now, 'The Nail' is one of the secret titles of Satan within the Brotherhood of Satanism. Satan is letting us know that this is one of his favourite signs. Why else does he like the PENTA-gram (Penta = five!) and the FIVE-fold salute used in Masonry and Witchcraft?''

OK asante kumbe sio yako bali ni ya kupakua mtandaoni? Haya hebu niambie sasa kuna uhusiano gani na hii post yangu? Usipanic Usikurupuke take your time unijibu
 
OK asante kumbe sio yako bali ni ya kupakua mtandaoni? Haya hebu niambie sasa kuna uhusiano gani na hii post yangu? Usipanic Usikurupuke take your time unijibu
There is a devil in your camp. You an't got nothing but venomous
 
Unaingia nyumba ya ibada kwa imani yako ukiwa na matatizo lukuki Hapa unaenda kuomba msaada wa Mola wako ukifanikiwa unaenda kufanya uchafu huku ukiomba mambo yasije kuharibika... Mungu anakutizamana tu huku shetani akitabasamu kwa pozi
Umemaliza kila kitu. Ndo maana unakuta mtu anajifanya mcha Mungu kweli halafu unakuta eti kashikwa ugoni. Sasa mtu unajiuliza, what happened? Ni kwa sababu hii tunashauriwa sana kuwa ni hatari mno kuegemeza imani zetu kwa binadamu wenzetu hata kama ni watabiri wazuri kama TB Joshua, "wafufua watu" Kama Gwajima n.k.

Halafu kuna jambo Mshana Jr huwa linanikera kwenye hii ishu ya Mungu na Shetani. Kwenye Biblia inaonekana kwamba shetani na Mungu huwa wanakutana na hata kupiga stori mf. Ishu ya shetani na Ayubu. Hili linawezekanaje wakati tunaambiwa kwamba Mungu ni Mtakatifu mno kiasi kwamba kitu kichafu hakiwezi hata kumkaribia? Na kwa vile Mungu wetu Anajua kila kitu, kwa nini Ali-go ahead anyway na kumuumba shetani? Maswali haya huwa yananitatanisha sana na huishia tu kujipa moyo kwamba kwa akili hii ndogo ya kibinadamu hatuwezi kumwelewa Mungu katika ukamilifu wake. May be tutaelewa zaid tukifika mbinguni! Wewe unaonaje?
 
Umemaliza kila kitu. Ndo maana unakuta mtu anajifanya mcha Mungu kweli halafu unakuta eti kashikwa ugoni. Sasa mtu unajiuliza, what happened? Ni kwa sababu hii tunashauriwa sana kuwa ni hatari mno kuegemeza imani zetu kwa binadamu wenzetu hata kama ni watabiri wazuri kama TB Joshua, "wafufua watu" Kama Gwajima n.k.

Halafu kuna jambo Mshana Jr huwa linanikera kwenye hii ishu ya Mungu na Shetani. Kwenye Biblia inaonekana kwamba shetani na Mungu huwa wanakutana na hata kupiga stori mf. Ishu ya shetani na Ayubu. Hili linawezekanaje wakati tunaambiwa kwamba Mungu ni Mtakatifu mno kiasi kwamba kitu kichafu hakiwezi hata kumkaribia? Na kwa vile Mungu wetu Anajua kila kitu, kwa nini Ali-go ahead anyway na kumuumba shetani? Maswali haya huwa yananitatanisha sana na huishia tu kujipa moyo kwamba kwa akili hii ndogo ya kibinadamu hatuwezi kumwelewa Mungu katika ukamilifu wake. May be tutaelewa zaid tukifika mbinguni! Wewe unaonaje?

Unajua huwa tunafikiri shetani ni dude linalotisha Sana Halafu Mungu ni mtu fulani mbabe sana hapa ndipo tunapokosea kwasababu tunaishi kwa mazoea na mapokeo hebu ona hii 1440640790635.jpg kuna wakati shetani hujitokeza hata kwa umbo la malaika alimradi tu akunase
 
at what time you need to negotiate with devil?
 
Back
Top Bottom