Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo

Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo

Binadamu ni kiumbe hai wa namna ya pekee kabisa anayeweza kusema kwa nguvu zote kuwa hii ni nyeupe lakini moyoni mwake akiwa haamini hivyo au akiwa na ukweli tofauti
Wote tunamjua sana shetani dubwana linalotisha na hata tunapomchora mawazoni na hata kwenye makaratasi ni kitu cha kuogofya kutisha na kuogopwa....lakini huu ni unafiki mkubwa wa kiumbe mwanadamu kwakuwa shetani ni nzuri shetani anavutia shetani anaheshimiwa shetani ni maarufu shetani anasujudiwa mno
Na kwakuwa shetani anayatambua yote haya ndio maana hana pressure na wewe anakuacha ufanye unafiki wako anajua kwa hakika kwake utarejea
Likitokea jambo tusilolipenda kabisa toka rohoni mwetu huwa na kwa maslahi yetu ambayo saa nyingine ni ya kujikweza humbomoa shetani hasa na kupambana naye kwa nguvu zote! Tukimseta kumlaani kwa kadiri ya pumzi zetu... Yeye hukaa kimya na kutabasamu

Lakini Likitokea jambo ambalo tunalipenda lakini ni Naya hasa la kutosheleza tamaa na matamanio ya kimwili shetani huwa rafiki mwema na tuko tayari kufanya naye colabo bila kujua kuwa ni maagano....Hapa hupambani tena na shetani bali mnacompromise.. Kichefuchefu cha undumilakuwili wa mwanadamu

Unaingia nyumba ya ibada kwa imani yako ukiwa na matatizo lukuki Hapa unaenda kuomba msaada wa Mola wako ukifanikiwa unaenda kufanya uchafu huku ukiomba mambo yasije kuharibika... Mungu anakutizamana tu huku shetani akitabasamu kwa pozi

Mwanadamu ni kiumbe dhaifu asiye na msimamo thabiti atumikiaye nguvu mbili kwa mara moja na wakati wote... Kwa shetani kidogo kwa Mungu kidogo na hayo ndio maisha yetu mpaka tunakufa na unafiki wote huku tukimpa shetani ushindi mkubwa

"Kwa shatani kidogo kwa Mungu kidogo na hayo ndiyo maisha yetu' Hapo Mshana Jr siyo kweli! Usiseme hayo ndiyo maisha yetu, sema hayo ndiyo maisha yako! Shetani amekudanganya na umedanganyika na kujipa moyo kuwa watu wrote wanafanya machafu ya shetani!
Japo wapo watu kama wewe wenye urafiki na matendo machafu ya kishetani, lakini wapo watu wengine wengi tu nikiwamo Mimi ambao tulifika mahali tukasema hapana kwa shetani na ndiyo kwa Mungu. Hii inatokea ukiamua kumwamini Yesu na kutubu dhambi zako. Ukifanya hivyo Mungu anakusamehe dhambi zako halafu anakuzaa Mara ya pili na unakuwa kiumbe kipya! Ukifanya hivyo unakuwa umeokoka!
Anachokisema mshana kinamhusu ambaye hajaokoka lakini akadai anamchukia shetani, hilo haliwezekani! Nje ya wokovu MTU hana uwezo wa kumpinga wala kumchukia shetani kwa dhati maana anakuwa bado ni mtumwa shetani.

Ushauri wangu kwa Mshana na wengine wote wenye mawazo kama yake ni kuwa:
1. Kama wanahitaji kwa dhati kuondokana na hali ya unafiki wa MTU kupenda mambo machafu ya kishetani huku akijifanya hampendi shetani ni kwamba wamwamini Yesu na kumkaribisha katika mioyo yao kama Bwana na mwokozi wa maisha yao. Hiyo inafanyika kwa kutubu dhambi zao na kuomba sala ya toba.
2. Sala ya toba wanayopaswa kuomba ni hii: "Bwana Yesu naja kwako, Mimi ni mwenye dhambi, ninaomba unisamehe dhambi zangu zote, ninazozikumbuka na ambazo sizikumbuki. Karibu Yesu katika moyo wangu uwe Bwana na Mwokozi wangu. Asante Yesu kwa kunisamehe na kuniokoa. Ninakushukuru Mungu katika jina la Yesu-Amina!
3. Kama umeomba sala hiyo hapo juu kwa moyo wa dhati umeokoka! Kw sasa una uwezo wa kumpinga shetani na akakimbia! Kwa sasa unaweza kuziambia tamaa za mwili kuwa wewe ni mtakatifu na zikakaa kimya! Sauti yako sasa INA mamlaka! Unauwezo WS kuiambia dhambi hapana na ikatii! Nami nakuombea sala ifuatayo: "Bwana Yesu katika jina lako takatifu naomba umpokee ndugu huyu ambaye ametubu kwa dhati mbele yako. Mwoshe kwa damu yako ya thamani. Umlinde na yule mwovu na umpe ushindi juu ya dhambi. MPE furaha na amani katika moyo wake, na umlinde na umponye dhidi ya magonjwa ypte. Nsomba Haya katika jina la Yesu -Amina.
4. Tafuta watu wsliookoka wanaoamini katika utakatifu na ushindi juu ya dhambi watakusaidia zaidi.
 
"Kwa shatani kidogo kwa Mungu kidogo na hayo ndiyo maisha yetu' Hapo Mshana Jr siyo kweli! Usiseme hayo ndiyo maisha yetu, sema hayo ndiyo maisha yako! Shetani amekudanganya na umedanganyika na kujipa moyo kuwa watu wrote wanafanya machafu ya shetani!
Japo wapo watu kama wewe wenye urafiki na matendo machafu ya kishetani, lakini wapo watu wengine wengi tu nikiwamo Mimi ambao tulifika mahali tukasema hapana kwa shetani na ndiyo kwa Mungu. Hii inatokea ukiamua kumwamini Yesu na kutubu dhambi zako. Ukifanya hivyo Mungu anakusamehe dhambi zako halafu anakuzaa Mara ya pili na unakuwa kiumbe kipya! Ukifanya hivyo unakuwa umeokoka!
Anachokisema mshana kinamhusu ambaye hajaokoka lakini akadai anamchukia shetani, hilo haliwezekani! Nje ya wokovu MTU hana uwezo wa kumpinga wala kumchukia shetani kwa dhati maana anakuwa bado ni mtumwa shetani.

Ushauri wangu kwa Mshana na wengine wote wenye mawazo kama yake ni kuwa:
1. Kama wanahitaji kwa dhati kuondokana na hali ya unafiki wa MTU kupenda mambo machafu ya kishetani huku akijifanya hampendi shetani ni kwamba wamwamini Yesu na kumkaribisha katika mioyo yao kama Bwana na mwokozi wa maisha yao. Hiyo inafanyika kwa kutubu dhambi zao na kuomba sala ya toba.
2. Sala ya toba wanayopaswa kuomba ni hii: "Bwana Yesu naja kwako, Mimi ni mwenye dhambi, ninaomba unisamehe dhambi zangu zote, ninazozikumbuka na ambazo sizikumbuki. Karibu Yesu katika moyo wangu uwe Bwana na Mwokozi wangu. Asante Yesu kwa kunisamehe na kuniokoa. Ninakushukuru Mungu katika jina la Yesu-Amina!
3. Kama umeomba sala hiyo hapo juu kwa moyo wa dhati umeokoka! Kw sasa una uwezo wa kumpinga shetani na akakimbia! Kwa sasa unaweza kuziambia tamaa za mwili kuwa wewe ni mtakatifu na zikakaa kimya! Sauti yako sasa INA mamlaka! Unauwezo WS kuiambia dhambi hapana na ikatii! Nami nakuombea sala ifuatayo: "Bwana Yesu katika jina lako takatifu naomba umpokee ndugu huyu ambaye ametubu kwa dhati mbele yako. Mwoshe kwa damu yako ya thamani. Umlinde na yule mwovu na umpe ushindi juu ya dhambi. MPE furaha na amani katika moyo wake, na umlinde na umponye dhidi ya magonjwa ypte. Nsomba Haya katika jina la Yesu -Amina.
4. Tafuta watu wsliookoka wanaoamini katika utakatifu na ushindi juu ya dhambi watakusaidia zaidi.

Aaamen uko njia sahihi kabisa lakini bado umerudia njia ileile ya kuhukumu na kuniita mnafiki
Unachoongea ni mahubiri ya kawaida kwenye nyumba za ibada ninachoongea ni ukweli wa moyo Katika uhalisia wake maishani
 
"Kwa shatani kidogo kwa Mungu kidogo na hayo ndiyo maisha yetu' Hapo Mshana Jr siyo kweli! Usiseme hayo ndiyo maisha yetu, sema hayo ndiyo maisha yako! Shetani amekudanganya na umedanganyika na kujipa moyo kuwa watu wrote wanafanya machafu ya shetani!
Japo wapo watu kama wewe wenye urafiki na matendo machafu ya kishetani, lakini wapo watu wengine wengi tu nikiwamo Mimi ambao tulifika mahali tukasema hapana kwa shetani na ndiyo kwa Mungu. Hii inatokea ukiamua kumwamini Yesu na kutubu dhambi zako. Ukifanya hivyo Mungu anakusamehe dhambi zako halafu anakuzaa Mara ya pili na unakuwa kiumbe kipya! Ukifanya hivyo unakuwa umeokoka!
Anachokisema mshana kinamhusu ambaye hajaokoka lakini akadai anamchukia shetani, hilo haliwezekani! Nje ya wokovu MTU hana uwezo wa kumpinga wala kumchukia shetani kwa dhati maana anakuwa bado ni mtumwa shetani.

Ushauri wangu kwa Mshana na wengine wote wenye mawazo kama yake ni kuwa:
1. Kama wanahitaji kwa dhati kuondokana na hali ya unafiki wa MTU kupenda mambo machafu ya kishetani huku akijifanya hampendi shetani ni kwamba wamwamini Yesu na kumkaribisha katika mioyo yao kama Bwana na mwokozi wa maisha yao. Hiyo inafanyika kwa kutubu dhambi zao na kuomba sala ya toba.
2. Sala ya toba wanayopaswa kuomba ni hii: "Bwana Yesu naja kwako, Mimi ni mwenye dhambi, ninaomba unisamehe dhambi zangu zote, ninazozikumbuka na ambazo sizikumbuki. Karibu Yesu katika moyo wangu uwe Bwana na Mwokozi wangu. Asante Yesu kwa kunisamehe na kuniokoa. Ninakushukuru Mungu katika jina la Yesu-Amina!
3. Kama umeomba sala hiyo hapo juu kwa moyo wa dhati umeokoka! Kw sasa una uwezo wa kumpinga shetani na akakimbia! Kwa sasa unaweza kuziambia tamaa za mwili kuwa wewe ni mtakatifu na zikakaa kimya! Sauti yako sasa INA mamlaka! Unauwezo WS kuiambia dhambi hapana na ikatii! Nami nakuombea sala ifuatayo: "Bwana Yesu katika jina lako takatifu naomba umpokee ndugu huyu ambaye ametubu kwa dhati mbele yako. Mwoshe kwa damu yako ya thamani. Umlinde na yule mwovu na umpe ushindi juu ya dhambi. MPE furaha na amani katika moyo wake, na umlinde na umponye dhidi ya magonjwa ypte. Nsomba Haya katika jina la Yesu -Amina.
4. Tafuta watu wsliookoka wanaoamini katika utakatifu na ushindi juu ya dhambi watakusaidia zaidi.

Binadamu ni mzuri sana kwenye kuongea
Nahisi hujaelewea hoja ya mshana umejibu as ifu kuna hoja ya kutetea isiyoelewa
Mshana amejaribu kuonyesha ni vipi kiumbe bindamu anavoendeshwa na mambo ya nje zaidi (hata kama ni mazuri kwa mtazamo wako)
Je unayafata kwa vitendo yale tunayofundishwa na viongoz wetu ambao pia ni binadamu kama sisi
Watu wote tupo ktk vuguvugu hatufany aliyotuagza MWENYEZI kibaya zaidi tulichokosea wanadamu ni kudiriki hadi kufanya anayotaka shetani
Mfano tungeweza kutofanya mema ingetusaidia lakini sisi hatufany mema pia tunafanya mabaya
 
Aaamen uko njia sahihi kabisa lakini bado umerudia njia ileile ya kuhukumu na kuniita mnafiki
Unachoongea ni mahubiri ya kawaida kwenye nyumba za ibada ninachoongea ni ukweli wa moyo Katika uhalisia wake maishani

Sikuhukumu la hasha! Siwezi kuthubutu kukuhukumu! Ninasema ukweli kuwa nje ya wokovu wa Yesu kristo, unafiki wa kujifanya unamchukia shetani wakati matendo yanaonyesha tofauti hata kama ni kwa siri hauepukiki!
Hatutegemei nguruwe akatae kugagaa kwenye matope kama nafasi hiyo akiipata! Ukitaka nguruwe aachane na matope hata kama yapo na yamemzunguka itabidi ubadili asili yake asiwe nguruwe tena! MTU mwenye akili timamu hawezi kumlaumu nguruwe kwa kugagaa kwenye matope! Wala hawezi kutarajia kuwa kuna siku nguruwe atakuwa mstaarabu kiasi cha kuachana na matope!
Ndivyo alivyo mtu ambaye hajamwamini Yesu na kuokoka, hana ujanja wala nguvu za kushinds dhambi! Sizungumzi habari ya Dini Fulani, lakini nazungumzia uamuzi wa mtu binafsi kuamua kumwamini Yesu ili azaliwe Mara ya pili na kuwa kiumbe kipya! Biblia inasema kuwa mtu akiwa ndani ya Kristo (Yesu) anakuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita tazama yote ni mapya!
Ndiyo maana msingi wa hukumu ya Mungu si matendo mabaya waliyotenda watu yaani dhambi, Bali watu watahukumiwa kwa kukataa kumwamini Yesu, maana kama wangemwani wangeishinda dhambi na matendo yake machafu.
 
Binadamu ni mzuri sana kwenye kuongea
Nahisi hujaelewea hoja ya mshana umejibu as ifu kuna hoja ya kutetea isiyoelewa
Mshana amejaribu kuonyesha ni vipi kiumbe bindamu anavoendeshwa na mambo ya nje zaidi (hata kama ni mazuri kwa mtazamo wako)
Je unayafata kwa vitendo yale tunayofundishwa na viongoz wetu ambao pia ni binadamu kama sisi
Watu wote tupo ktk vuguvugu hatufany aliyotuagza MWENYEZI kibaya zaidi tulichokosea wanadamu ni kudiriki hadi kufanya anayotaka shetani
Mfano tungeweza kutofanya mema ingetusaidia lakini sisi hatufany mema pia tunafanya mabaya

Mshana yuko sahihi kama ukizungumzia watu ambao hawajaokoka! Ni ukweli ambao ni wa msingi ili mtu aweze kupata msaada wa dhati wa Mungu! Ni mtu kufika mahali akakubali kuwa kwa nguvu zangu siwezi kushinda dhambi!
Katika hali hiyo, ndipo unapoweza kumhitaji Yesu ili akusamehe dhambi zako na akuokoe! Kwa maana ya kwamba atakuzaa Mara ya pili na kukupa asili nyingine inayochukia dhambi kwa dhati na kupenda utakatifu! Asili yetu ya mwanzo tuliyorithi kutoka kwa Adamu ni asili ya uasi, inayopenda na kuvutwa na dhambi! Kwa asili ya mwanzo haiwezekani kuachana na dhambi na kila mmoja wetu ana uzoefu huo! Ni mtu mnafiki tu anayeweza kuukataa ukweli huo.
Nilichomwambia Mshana ni kuwa ukweli huo hauwahusu watu waliomwamini Yesu na kuokoka! Kwa hao ukweli huo unabaki kuwa historia! Yesu anawawezesha kushinda dhambi na majaribu. Shetani hawatumikishi tena, anachoweza kufanya ni kuwajaribu! Na wakijaribiwa wana mamlaka ya kumwabia shetani HAPANA!
Lakini mtu ambaye hajaokoka yeye hajaribiwi na shetani, Bali yeye anatumikishwa na shetani na HANA mamlaka ya kumwambia Hapana maana ni mtumwa!
Hiyo ndiyo tofauti ya mtu aliyeokoka na yule asiyeokoka!
Joh mitazamo nakualika kwa Yesu uokoke ili upate uzoefu wa hiki ninachokizungumza!
 
Sikuhukumu la hasha! Siwezi kuthubutu kukuhukumu! Ninasema ukweli kuwa nje ya wokovu wa Yesu kristo, unafiki wa kujifanya unamchukia shetani wakati matendo yanaonyesha tofauti hata kama ni kwa siri hauepukiki!
Hatutegemei nguruwe akatae kugagaa kwenye matope kama nafasi hiyo akiipata! Ukitaka nguruwe aachane na matope hata kama yapo na yamemzunguka itabidi ubadili asili yake asiwe nguruwe tena! MTU mwenye akili timamu hawezi kumlaumu nguruwe kwa kugagaa kwenye matope! Wala hawezi kutarajia kuwa kuna siku nguruwe atakuwa mstaarabu kiasi cha kuachana na matope!
Ndivyo alivyo mtu ambaye hajamwamini Yesu na kuokoka, hana ujanja wala nguvu za kushinds dhambi! Sizungumzi habari ya Dini Fulani, lakini nazungumzia uamuzi wa mtu binafsi kuamua kumwamini Yesu ili azaliwe Mara ya pili na kuwa kiumbe kipya! Biblia inasema kuwa mtu akiwa ndani ya Kristo (Yesu) anakuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita tazama yote ni mapya!
Ndiyo maana msingi wa hukumu ya Mungu si matendo mabaya waliyotenda watu yaani dhambi, Bali watu watahukumiwa kwa kukataa kumwamini Yesu, maana kama wangemwani wangeishinda dhambi na matendo yake machafu.

Bado kimahubiri uko sahihi kabisa ila nataka utoke nje ya box na kufikiri tofauti kwamba unamhubiria mtu naye kwa unyenyekevu mkubwa kabisa anakusikiliza na kukuelewa hasa lakini akitoka hapo anarudi kwa shetani na kuendelea na mambo ya kidunia Kama kawaida lakini ikifika muda wa ibada ataenda tena Kama kawaida
Ndio maana nikasema kwa Mungu kidogo kwa shetani kidogo na huo ndio uhalisia wetu
 
Aaamen uko njia sahihi kabisa lakini bado umerudia njia ileile ya kuhukumu na kuniita mnafiki
Unachoongea ni mahubiri ya kawaida kwenye nyumba za ibada ninachoongea ni ukweli wa moyo Katika uhalisia wake maishani

Good Mr.Mshana!!!,really you are a great thinker,huyu jamaa anachokisema ni sawa lkn kiuhalisia sivyo watu tulivyo.
 
Bado kimahubiri uko sahihi kabisa ila nataka utoke nje ya box na kufikiri tofauti kwamba unamhubiria mtu naye kwa unyenyekevu mkubwa kabisa anakusikiliza na kukuelewa hasa lakini akitoka hapo anarudi kwa shetani na kuendelea na mambo ya kidunia Kama kawaida lakini ikifika muda wa ibada ataenda tena Kama kawaida
Ndio maana nikasema kwa Mungu kidogo kwa shetani kidogo na huo ndio uhalisia wetu

Mkuu anayekwenda kinyume si anayehubiriwa tu!!,bali hata yule mtu anayehubiri naye anaweza kwenda kinyume na kile anachokihubiri mfano Usizini halafu Siku hiyohiyo mnasikia Mchungaji amefumaniwa na Mke wa mtu wakati yeye mwenyewe alikuwa alihubiria watu kuwa wasizini.
 
Binadamu huwa ni wanafiki sana...kwa kuongea ni rahisi sana kuwa hii iko hivi hii iko vile, maelezo mareefu halafu mtu unarudi mlemle! Kiuhalisia ni kweli mtu ana two sides, hapa anatenda mema pale anatenda mabaya baadae anatubu dhambi zake maisha yanasonga na hii ni kwa binadamu wote! hakuna cha nimeokoka wala nini. Na hakuna MLOKOLE katika hii dunia tusidanganyane,PERIOD.
 
"Kwa shatani kidogo kwa Mungu kidogo na hayo ndiyo maisha yetu' Hapo Mshana Jr siyo kweli! Usiseme hayo ndiyo maisha yetu, sema hayo ndiyo maisha yako! Shetani amekudanganya na umedanganyika na kujipa moyo kuwa watu wrote wanafanya machafu ya shetani!
Japo wapo watu kama wewe wenye urafiki na matendo machafu ya kishetani, lakini wapo watu wengine wengi tu nikiwamo Mimi ambao tulifika mahali tukasema hapana kwa shetani na ndiyo kwa Mungu. Hii inatokea ukiamua kumwamini Yesu na kutubu dhambi zako. Ukifanya hivyo Mungu anakusamehe dhambi zako halafu anakuzaa Mara ya pili na unakuwa kiumbe kipya! Ukifanya hivyo unakuwa umeokoka!
Anachokisema mshana kinamhusu ambaye hajaokoka lakini akadai anamchukia shetani, hilo haliwezekani! Nje ya wokovu MTU hana uwezo wa kumpinga wala kumchukia shetani kwa dhati maana anakuwa bado ni mtumwa shetani.

Ushauri wangu kwa Mshana na wengine wote wenye mawazo kama yake ni kuwa:
1. Kama wanahitaji kwa dhati kuondokana na hali ya unafiki wa MTU kupenda mambo machafu ya kishetani huku akijifanya hampendi shetani ni kwamba wamwamini Yesu na kumkaribisha katika mioyo yao kama Bwana na mwokozi wa maisha yao. Hiyo inafanyika kwa kutubu dhambi zao na kuomba sala ya toba.
2. Sala ya toba wanayopaswa kuomba ni hii: "Bwana Yesu naja kwako, Mimi ni mwenye dhambi, ninaomba unisamehe dhambi zangu zote, ninazozikumbuka na ambazo sizikumbuki. Karibu Yesu katika moyo wangu uwe Bwana na Mwokozi wangu. Asante Yesu kwa kunisamehe na kuniokoa. Ninakushukuru Mungu katika jina la Yesu-Amina!
3. Kama umeomba sala hiyo hapo juu kwa moyo wa dhati umeokoka! Kw sasa una uwezo wa kumpinga shetani na akakimbia! Kwa sasa unaweza kuziambia tamaa za mwili kuwa wewe ni mtakatifu na zikakaa kimya! Sauti yako sasa INA mamlaka! Unauwezo WS kuiambia dhambi hapana na ikatii! Nami nakuombea sala ifuatayo: "Bwana Yesu katika jina lako takatifu naomba umpokee ndugu huyu ambaye ametubu kwa dhati mbele yako. Mwoshe kwa damu yako ya thamani. Umlinde na yule mwovu na umpe ushindi juu ya dhambi. MPE furaha na amani katika moyo wake, na umlinde na umponye dhidi ya magonjwa ypte. Nsomba Haya katika jina la Yesu -Amina.
4. Tafuta watu wsliookoka wanaoamini katika utakatifu na ushindi juu ya dhambi watakusaidia zaidi.

Mkuu umeandika vizuri lkn kwa taarifa yako Biblia yenyewe ina Admit kuwa Shetani ana Nguvu zaidi kuliko sisi Wanadamu maana Mungu alipomfukuza kule Mbinguni hakumnyang'anya ule uwezo hivyo kwa mbinu zake binadamu huwezi kumshinda,Biblia inathibitisha kuwa Shetani ana nguvu rejea Lk 22:31,32;Mt 26:41.
 
Mkuu umeandika vizuri lkn kwa taarifa yako Biblia yenyewe ina Admit kuwa Shetani ana Nguvu zaidi kuliko sisi Wanadamu maana Mungu alipomfukuza kule Mbinguni hakumnyang'anya ule uwezo hivyo kwa mbinu zake binadamu huwezi kumshinda,Biblia inathibitisha kuwa Shetani ana nguvu rejea Lk 22:31,32;Mt 26:41.

Nje ya Yesu Kristo shetani ana nguvu kuliko mwanadamu. Lakini Mimi ninazungumzia mtu aliyeamua kukaa ndani ya Yesu, Huyo anapewa nguvu na Mungu za kumshinda shetani pamoja na mawakala wa shetani ambao ni mapepo na watu watu waliokubali kumtumikis shetani kama vile wachawi. Ndio maana mtu anayemwamini Yesu kwa dhati hawezi kulogwa! na ana mamlaka ya kukemea na kufukuza mapepo!
Ndiyo maana Biblia inasema wazi: "Nimewaandikia ninyi akina baba kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi vijana kwa sababu MNA nguvu na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi MMEMSHINDA yule MWOVU" hiyo ni kutoka 1Yohana 2:14.
Pia: "Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake, wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu" hiyo ni kuyoka 1Yohana 3:9.
Pia: "Ninyi watoto wadogo, mwatokana na Mungu, nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni MKUU kuliko aliye katika dunia (yaani Shetani)" hiyo ni 1Yohana 4:4.
Pia: "Twajua ya kuwa KILA mtu aliyrzaliwa na Mungu hatendi dhambi, Bali yeye aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hamgusi" hiyo ni 1Yohana 5:18.
Pia: "Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia" hiyo ni Yakobo 4:7
Pia: "Kila akaaye ndani take hatendi dhambi, kila atendaye dhambi hakumwona yeye, wala hakumtambua." hiyo ni 1Yohana 3:6
Nimenukuu mistari mingi ili kuthibitisha kwa neno la Mungu pasipo shaka kuwa inawezekana kumshinda shetani na kushinda dhambi. Lakini hilo linawezekana tu kwa yule aliyemwamini Yesu kwa dhati na Neno ka Mungu liko ndani yake!
Dini yoyote ile haina msaada katika kushinda dhambi na kumshinda shetani. Mtu anaweza kuwa mkristo lakini hana Yesu moyoni, mtu wa jinsi hiyo hata akiwa ni mchungaji dhambi bado itaweka kambi maishani mwake! Siri ni kumpokea Yesu kwa dhati moyoni na kutubu dhambi kwa maana ya kuamua kuziacha kabisa, hapo Mungu anakuwezesha kuziacha!
Japo kuna wakristo ns wachungaji fake lakini pia kuna wakristo na wachungaji wa kweli na maisha yao ya kila siku yanadhihirisha hivyo.
Usikatishwe tamaa na ambao ni fake, jifunze kwa walio halisi.
Hakuna raha duniani kama ya kusamehewa dhambi na kuokoka kwa dhati! Mbinguni hatuendi kwa kubahatisha, tuna uhakika! Karibuni kwa Yesu!
 
Mkuu anayekwenda kinyume si anayehubiriwa tu!!,bali hata yule mtu anayehubiri naye anaweza kwenda kinyume na kile anachokihubiri mfano Usizini halafu Siku hiyohiyo mnasikia Mchungaji amefumaniwa na Mke wa mtu wakati yeye mwenyewe alikuwa alihubiria watu kuwa wasizini.

Unachosema ni kweli lakini si kweli yote! Wapo wakristo wa uongo ambao bado wanaishi dhambini na wapo wachungaji wadanganyifu hata Mimi nawafahamu baadhi yao. Ndiyo maana Yesu alisema si wote waniitao bwana bwana wataingia katika ufalme wangu. Anaposema si wote maana yake ni kuwa baadhi ya wamwitao bwana bwana wataingia katika ufalme wake.
Usidanganyike! Kuwepo kwa wakristo na wachungaji wanafiki hakuondoi ukweli kuwa wapo walio wa kweli. Na wewe amua uwe mkristo wa kweli kwa njia ya kumwamini Yesu kwa dhati na kuokoka. Unafiki wa mwingine si utetezi kwako Siku ya hukumu! Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe!
 
Back
Top Bottom