Sheria ya ndoa

Unata kujua nini kuhusu sheria ya ndoa? Maana ni pana.
 
Hakuna mwanadamu mkamilifu kama kosa sio zinaa basi tulia na wako utaacha wangapi, Mwenyezi Mungu aliweka burden ya ndoa intentionally kutufundisha uvumilivu na upendo wa kiroho. pia kama mwenzako amekutenda na focus yake iko kwenye mali just muachie utaona miujiza ya ajabu hapahapa duniani , Bwana Mungu atakulipa zaidi na zaidi
 
Back
Top Bottom