Calis10
JF-Expert Member
- Jun 27, 2020
- 329
- 833
ni muungano kati ya watu wawili au zaidi unaokubaliwa na kuheshimiwa na jamiiNdoa ni nini?
ni muungano kati ya watu wawili au zaidi unaokubaliwa na kuheshimiwa na jamiiNdoa ni nini?
Ndoa ni nini?
Kwahiyo unamaanisha ukioa au kuolewa unakuwa kwenye kifungo?Ndoa ni Jela kama jela nyingine unazozifahamu
Ndio mpendwaKwahiyo unamaanisha ukioa au kuolewa unakuwa kwenye kifungo?
Umeolewa au unasemea tu hisiaNdio mpendwa
Nimeolewa mpendwa ko ninauzoefuUmeolewa au unasemea tu hisia
Ndoa ni makubaliano ya jinsia mbili tofauti kuishi pamoja na kuhitajiana katika shida na raha.
Hayo mambo ya kukulana Mbunye tumejianzia tu sisi wenyewe
Vipi mwenzetu imekutokea puani ninii
Au wewe ndio yule baharia aliyepikiwa dagaa bila nyanya kukatwakatwa
Kama ulioa tako kazi ni kwako mzee
Nimeolewa mpendwa ko ninauzoefu
Naomba nifungwe hiyo jela na wwNdoa ni Jela kama jela nyingine unazozifahamu
Mto to ni mali ya baba na mama na wore wana wajibu sawa katika matunzo na malezi ya mtoto, hivyo hivyo m to to ana haki ya kulelewa na mama au baba.Mie naona angekaa tu na mama yake mpaka afikie umri wa kujitambua mwenyewe sasa na kuamua akae na nani.
Miezi miwili? Hapana minimum ni miezi sitaNaomba msaanda wa sheria,mimi nimeoa bila ndoa,nimetoa mahali na mambo mengine,lakini mke wangu amekuwa na mambo mengi sana nimemvumilia sana,anataka tuachane vip kuhusu pesa yangu ya mahali naweza kupata nikifata sheria,maana tuna mienzi 2.tangu tuoane.
Kuhusu pesa naweza kulipwaMiezi miwili? Hapana minimum ni miezi sita
HapanaKuhusu pesa naweza kulipwa