we subiri kuitwa MSHUA a.k.a DINGI. Ukimuoa utakuwa umefanya vyema.Kumbe uoga umeisha maana nilikuwa wenge najua nafka kwa pilato
we subiri kuitwa MSHUA a.k.a DINGI. Ukimuoa utakuwa umefanya vyema.Kumbe uoga umeisha maana nilikuwa wenge najua nafka kwa pilato
Kamharibia au kamtengenezea maisha? Watu wanatafuta mimba mpaka kwa waganga wa kienyeji hapo mzazi anatakiwa atoe pongeza na zawadi.Mzazi anayohaki ya kukushtaki kwa kumuharibia maisha mtoto wake. Huwezi kushindana na mwenye pesa
Je kama ni below 18 yrs?Kama yupo above 18 na anasoma chuo hiyo siyo kesi. Huyo mshua anaweza tu kukutia jamba jamba lakini at the end of the day hakuna kesi hapo.
Hii huwa inapendeza zaidi.vipi mwanafunzi akimtia mimba mwalimu wake?
Mwanachuo ni mtu mzima anaweza kuolewa/kuoa na anajitambua vizuri sana. Wala usipoteze muda wako kumshtaki.Wakuu nilikuwa nauliza kuwa kunasheria ya kumshtaki mtu aliempa mwanachuo level ya certificate mimba?
2016-1997 ni ngapi?Ivi 97 ni above 18 aiseee kumbe nazeeka sasa
we subiri kuitwa MSHUA a.k.a DINGI. Ukimuoa utakuwa umefanya vyema.
We Biro noooooomaKamharibia au kamtengenezea maisha? Watu wanatafuta mimba mpaka kwa waganga wa kienyeji hapo mzazi anatakiwa atoe pongeza na zawadi.
Wakuu nilikuwa nauliza kuwa kunasheria ya kumshtaki mtu aliempa mwanachuo level ya certificate mimba?
Mrejesho bro. Ulimuoa?Kumbe uoga umeisha maana nilikuwa wenge najua nafka kwa pilato