je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,883
- 3,620
.
Akasema basi ntasubiri mpaka utakapo pata ndio nitaondoka!
Kumbe hapo alishaenda kununua vitu vyake kwa ajili ya safari..
Wife akasema usilazimishe mwache aende tu, basi Mimi kupiga simu kwao kuwa mwanawenu anarudi wakasema sawa nikaenda kukata tiketi na kumpa siku ya pili yake na kumsimdikiza KUPANDA gari na kuenda kwao. Tukaishia hapo usiku akanicheki nimefika salama haya poa.
Kisanga.!
Zimepita takriban wiki 3 Kuna bint mmoja MTAANI nadhani walikuwa na urafiki WA hapa na pale akaniambia hivi unajua mdogo wako ana mimba.???? Nikamwambia hapana sijui.
Akaniambia ana mimba na aliempa mimba kaikataaa
Mmmh, kaikataa kwanini na yeye ndio kahusika
Mdogo wako mwenyewe mapepe alikuwa na mabwana wawili ila anasema huyo mmoja alishakuacha na huyu WA pili ndio kaikataa mimba! Kwahiyo mnafanyaje ??? Tunafanyaje tena mbona atajua yeye Cha kufanya.!?
Nikajiuliza Ina maana yule bint upole wote ule na 16 yrs kumbe alikuwa anamiliki mabwana wawili??
Basi wadau ndio kilichonikuta nadhani aliondoka baada ya kujua kashanasa mimba ingekuwa aibu mtaani ili kuzima soo ikabidi arudi kwao kijijini.
Sasa madhara atapata mtoto hapa maana anakuwa hana baba WA kueleweka atakuwa na familia ya upande mmoja tu
Akasema basi ntasubiri mpaka utakapo pata ndio nitaondoka!
Kumbe hapo alishaenda kununua vitu vyake kwa ajili ya safari..
Wife akasema usilazimishe mwache aende tu, basi Mimi kupiga simu kwao kuwa mwanawenu anarudi wakasema sawa nikaenda kukata tiketi na kumpa siku ya pili yake na kumsimdikiza KUPANDA gari na kuenda kwao. Tukaishia hapo usiku akanicheki nimefika salama haya poa.
Kisanga.!
Zimepita takriban wiki 3 Kuna bint mmoja MTAANI nadhani walikuwa na urafiki WA hapa na pale akaniambia hivi unajua mdogo wako ana mimba.???? Nikamwambia hapana sijui.
Akaniambia ana mimba na aliempa mimba kaikataaa
Mmmh, kaikataa kwanini na yeye ndio kahusika
Mdogo wako mwenyewe mapepe alikuwa na mabwana wawili ila anasema huyo mmoja alishakuacha na huyu WA pili ndio kaikataa mimba! Kwahiyo mnafanyaje ??? Tunafanyaje tena mbona atajua yeye Cha kufanya.!?
Nikajiuliza Ina maana yule bint upole wote ule na 16 yrs kumbe alikuwa anamiliki mabwana wawili??
Basi wadau ndio kilichonikuta nadhani aliondoka baada ya kujua kashanasa mimba ingekuwa aibu mtaani ili kuzima soo ikabidi arudi kwao kijijini.
Sasa madhara atapata mtoto hapa maana anakuwa hana baba WA kueleweka atakuwa na familia ya upande mmoja tu