Sheria mpya ya penati kikwazo kwa makipa

Anaandika KENGE,

Mamlaka ya kutunga sheria za mpira wa miguu IFAB imetunga sheria mpya baada ya maboresho na malalamiko kwa wachezaji kwa baadhi magoli kipa kuwavuruga kisaikolojia kabla ya kupiga mkwaju.

Ikumbukwe GK wa A.Villa na Argentina(Martinez) amekuwa na mbinu ya kuwavuruga wachezaji kisaikolojia kwa matendo yake kama vile kuwatisha, kwenda kushikashika mpira, kushika nyavu n.k.

Martinez aliwahi kuwavuruga Manchester united baada ya kupata mkwaju kwenye malumbano alimfata Ronaldo akamwambia "Nataka uje upige wewe mkwaju" CR7 alikataa na kumwachia Bruno apige na akakosa pia. Martinez aliwavuruga kisaikolojia France kwenye hatua za matuta Kombe la dunia, vilevile aliwavuruga brazil kwenye Copa America na wengine wengi.

IFAB imefanyia maboresho sheria hii kama ifuatavyo:

~ Kipa haruhusiwi kushika nyavu au post kabla ya penalty kupigwa.
~ Kipa haruhusi kuvuka msitari wa (crossbar line) kabla ya kupigwa penalty.
~ Kipa haruhusiwi kumpanikisha au kumuongelesha mpiga penalt kabla ya penalty.
~ Kipa akae katikati ya goli na kumtazama mpiga penalt.

Je, sheria hii sio kikwazo/kifungo kwa Magoli Kipa?

CC KENGE 01

Nawasilisha.


View attachment 2567027
FIFA wanaleta upuuzi unaoelekea kuharibu ladha ya soka. Huo ni mwanzo wa kuanza kutunga sheria nyingi za hovyo.

Huko tuendapo watakuja kutwambia timu yoyote ili iweze kushirikia hatua fulani ya michuano inayotambuliwa na FIFA ni lazima timu hiyo iwe na angalau mchezaji mmoja Shoga/transgender. Kama haitakuwa naye basi timu hiyo itaondolewa kwenye mashindano hayo na nafasi yake kupewa timu nyingine itakayokuwa tayari kuwa na mchezaji wa aina hiyo kwenye kikosi chake.

Watawaka hadi sheria ya kuruhusu timu kuongeza mchezaji huyo ikitokea timu haikua na mchezaji wa aina hiyo mpaka ilipofikia hatua hiyo ya michuano.
 
Anaandika KENGE,

Mamlaka ya kutunga sheria za mpira wa miguu IFAB imetunga sheria mpya baada ya maboresho na malalamiko kwa wachezaji kwa baadhi magoli kipa kuwavuruga kisaikolojia kabla ya kupiga mkwaju.

Ikumbukwe GK wa A.Villa na Argentina(Martinez) amekuwa na mbinu ya kuwavuruga wachezaji kisaikolojia kwa matendo yake kama vile kuwatisha, kwenda kushikashika mpira, kushika nyavu n.k.

Martinez aliwahi kuwavuruga Manchester united baada ya kupata mkwaju kwenye malumbano alimfata Ronaldo akamwambia "Nataka uje upige wewe mkwaju" CR7 alikataa na kumwachia Bruno apige na akakosa pia. Martinez aliwavuruga kisaikolojia France kwenye hatua za matuta Kombe la dunia, vilevile aliwavuruga brazil kwenye Copa America na wengine wengi.

IFAB imefanyia maboresho sheria hii kama ifuatavyo:

~ Kipa haruhusiwi kushika nyavu au post kabla ya penalty kupigwa.
~ Kipa haruhusi kuvuka msitari wa (crossbar line) kabla ya kupigwa penalty.
~ Kipa haruhusiwi kumpanikisha au kumuongelesha mpiga penalt kabla ya penalty.
~ Kipa akae katikati ya goli na kumtazama mpiga penalt.

Je, sheria hii sio kikwazo/kifungo kwa Magoli Kipa?

CC KENGE 01

Nawasilisha.


View attachment 2567027
Captain Marvelous umeona hii Mkuu?
 
Wapigaji wasiruhusiwe kutishia! Akitishia ihesabike kuwa keshapioga tayari na kukosa goli!! Au akitishia wachezaji waruhusiwe kumkaba!
Mbona ndo sheria hiyo mchezaji anapotoka kukimbia ili apige penat haruhusiwi kusimama au kutishia
 
Back
Top Bottom