Sheria inasemaje kuhusu wapi zibandikwe stika za vibali vya gari

kizi57

Member
Jul 27, 2011
30
6
Wanajukwaa

Naomba mwongozo kuhusu kichwa cha habari!

Sheria inasema hizi sticker zibandikwe wapi?

Leo traffic kanikamata, nimebandika kioo cha mlango wa kushoto, akaniambia inatakiwa bandikwa kioo cha mbele!

Nmewahi kusoma kuwa zinatakiwa bandikwa upande wa kushoto, hawakusema kioo cha mbele au pembeni!

Nahitaji mwongozo sahihi
 
Kwa kawaida inatakiwa ibandikwe kioo cha mbele...kisheria haijaonesha rasmi katika Traffic Act, but sometimes traffic huwa anajitafutia makosa yasiyo Na mpango Na kutoza fine zisizo Na msingi..! Sheria mikononi "as an Head less chicken"
 
Nichoelewa ni zibandikwe sehemu inayooneka kwa urahisi pia upande wa kushoto kutokana mfumo wa barabara zetu!!
 
ukisoma ile motor vehicle imeandikwa bandika kwenye kioo cha mbele kushoto (kwa lugha ya kingereza) kanuni za usalama barabarani (sio sheria) hazishauri uwepo wa kitu chochote, bandiko lolote kwenye kioo cha mbele ....kifupi the law is silence in this. ila kuepusha kupotezeana muda na kujibishana na polisi maadam haiathiriki kitu ni vyema uka fuata wenzako wafanyavyo
 
Back
Top Bottom