Mnatamani mtu afe ili mpate kupumua? Mtabili wenu aliwadanganya Maana anayejua kifo ni MUNGU tu
Una mpango wa kufa? Una mpango wa kumwua mgombea?
mimi swali langu ni je, mgombea akifa wakati wa kampeini na chama chake kikaruhusiwa kuweka mgombea mwingine, vyama vingine vina ruhusa ya kubadili pia? Kuna chama kinatamani kubadili mgombea ndiyo maana ninauliza.
Muda Wa kampeni huongezwa,kumbuka yule makamu Wa rais hayati OMARY Juma,alikuwa mgombea mwenza Wa Rais Mkapa
Una mpango wa kufa? Una mpango wa kumwua mgombea?
mimi swali langu ni je, mgombea akifa wakati wa kampeini na chama chake kikaruhusiwa kuweka mgombea mwingine, vyama vingine vina ruhusa ya kubadili pia? Kuna chama kinatamani kubadili mgombea ndiyo maana ninauliza.
Amefariki Mohamed Mtoi few hours later
Huyu mtoa post kwa nn aliuliza 5hrs before Mtoi's death?