EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Kumekuwa na na wimbi la mashindano kwenye ukubwa wa sherehe za harusi (send off, reception, kitchen parties) ambazo nyingi zimekuwa zinategemea sana michango mbalimbali ya watu. Sasa je nini umuhimu wa shere hizi kubwa na za kifahari? Je zina umuhimu wowote na uimara wa ndoa inayofungwa? Kama bado hujaoa/kuolewa unataka ya kwako iweje? Na kama tayari umeoa/kuolewa je yako iilikuwaje?
Nimesemanhaya coz now it seems like one of my normal monthly bill kama zingine,
Nimesemanhaya coz now it seems like one of my normal monthly bill kama zingine,
- Bill ya umeme
- Bill ya maji,
- Kodi ya nyumba,
- DSTV nao wanataka hela yao kila mwezi,
- michango ya harusi kila mwezi,
- Pesa ya kuhonga,
- N.K........Khaaa nachoka asee