Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,678
- 40,876
Habari wana cc, nawatakia mwisho wa mwaka mzuri. Pia msherekee kwa amani mwaka mpya, nitakosekana kwa siku 2 tatu hapa jukwaani. Kwa kuwa naenda kuzisaka za kuanza kutumia 2014. Advice: dont drink and drive, even though you havent a car drive safely your body.