Hata hivyo kila anayefanya anaambukizwa? Wangekuwa wamekufa wote kama kila ukimwona na mwanamke kaambukizwa. Kinga zipo kwa ajiri ya nini
nahisi mpaka hapo ushachangia kinamna fulani...
kama umeshindwa kumwambia toka mapema, huwezi jua kama tayari keshaambukizwa ama la!
shtuka....! tuko wangapi?