MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,008
annza kuacha wewe hao totoz kisha ndio umshauri shemegi yako....
Anafikiri yeye hizo totoz anazotoka nazo hazina kaka. Pambaf!
annza kuacha wewe hao totoz kisha ndio umshauri shemegi yako....
kaa ktako funguka kwa shem wako , umwambie kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kupenda totoz kama vile kulepeleka magonjwa kwa mkewe, siku akifumwa na ndoa ndo mwisho , familia itasambaratika hata wewe na yeye urafiki utapotea tu!
Wewe umeumbwa kuwa mlinzi wa dada yako?
Je, una uhakika kuwa dada yako hakujua hilo wakati anaamua kuolewa nae?
Je, una uhakika kuwa dada yako naye hagongani viwanja na mawifi zake?
Dada yako aliwahi kukupa kazi ya kumchunga mumewe?
Ushauri: Waache watu na maisha yao...
kaa ktako funguka kwa shem wako , umwambie kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kupenda totoz kama vile kulepeleka magonjwa kwa mkewe, siku akifumwa na ndoa ndo mwisho , familia itasambaratika hata wewe na yeye urafiki utapotea tu!
ndio akome kufanya urafiki na shemegi...!Anafikiri yeye hizo totoz anazotoka nazo hazina kaka. Pambaf!
annza kuacha wewe hao totoz kisha ndio umshauri shemegi yako....
Yani cku zote upo kimya duuuh,siku ukimuona na totos mtonye dada ako aje afumanie mwenyewe ila jamaa hakikisha asijue kama umemuona!
Kwanini uliachia mda wote huo mpaka sasa ndio unasema? huyo dadako ni baba na mama mmoja au wa hiyari? sababu kama baba na mama mmoja sidhami kama ungeweza kumeza ukachukua upande wa rafiki na dada yako ukamtenga....
na jaribu kupunguza au kubadili hivyo viwanja huyu shem/rafiki anakuona wewe hujali na sijui kamatathmini vp,manake haelekei wewe kukaa na wasichana wengine na wewe ukakaa hapo kama vile huyo ni kaka yako.....pole kama ntakua nimekukwaza....