Shemu atamuua sister, nifanyaje?

Shemu atamuua sister, nifanyaje?

unatuongopea.....unanunuliwa bia na unahofu ya kuzikosa bia siku ukisema!
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.



Mkuu sorry lakini nachoona kutoka kichwani kwako kuwa kunaFuse moja haifanyi kazi vizuri au iko loose.
 
Mlevi kumshauri mlevi mwenzake aache pombe, lol!
 
Mlevi kumshauri mlevi mwenzake aache pombe, lol!

Usichanganye mada; mlevi si lazima alewe pombe; wapo wanaolewa cocane, bangi, gundi n.k. wapo wengine wanalewa mapenzi
 
Labda unapenda vya bure na unamwingilia hanga zako na kukukomesha anakuletea hao totoz ili ukome kupenda vya bure. Wewe na shemeji yako unamfuata nyuma kutafuta nini au unajuaje anatumia salama au unashuudia anapokuwa chumbani. Kama kweli linakuuma kwa nini hujawahi kumwambia jamani shemeji hii siyo vizuri badala yake umekuwa wa kuandamana naye na kufaidi anapolipa bill?
Na anapochukua totoz wewe unakuwa peke yako au na wewe mshiriki pia? Mimi sioni busara kuandamana na shemeji yako kila mahali. Ni mtu wa kuwa naye kwa nadra ili kumpa uhuru wake.
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.
 
Kingine mkuu si hajabu huyo shemeji yake alimuoa dada yake kutokea uko baa. pili kakili kabisa kwamba wote ni watu wa viwanja je mwenyewe mbona hajaacha kuchukua totoz ndo aone ya shemeji yake. Je yeye hataua dada wa watu wengine?
Ulichoniudhi ni kushirikiana na shemejiyo kwenye mambo hayo, otherwise hutakiwi kujihusisha na mapenzi ya watu, mwache dada yako ajionee mwenyewe, inawezekana alimpendea huo huo ukicheche, kwa hiyo kaa mbali.
 
huo utata, naiona ndoa ya dada yako ikisambaratika, mytake: kaa na shemeji yako mwambie ajiheshimu aache umalaya na uzinzi wakati yuko kwenye ndoa, hapo utakuwa umemaliza mjadala
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

Wewe cheka naye tu atagonga na totoz zako au pengine alishazgonga!
 
Kaa naye then mueleze kishkaji tu atakuelewa kama ni mshkaji wako.
 
Muulize dadaako je akijagundua kuwa mumewe anatoka nje atafanyaje jibu litakupa mwanga kama umwambie au la. Wanawake wengi wanapenda wanaume ambao hawajatulia
 
nahisi mpaka hapo ushachangia kinamna fulani...

kama umeshindwa kumwambia toka mapema, huwezi jua kama tayari keshaambukizwa ama la!

shtuka....! tuko wangapi?
 
Atakaye muua dada yako ni wewe kwa kupenda dezo na siyo huyo shemu wako acha unafiki!!!!
 
Kuna huyu jamaa kaoa dada yangu, ushemeji umegeuka na kuwa urafiki, jamaa ni mtu wa viwanja sana kama nilivyo mimi, pia ni mnywaji na anapenda sana totoz, kila nikigongana naye lazima nimkute na totoz mpyaaaa, kwa muda mrefu nimevumilia, tukigongana kiwanja basi tunakunywa na totoz zetu wakati mwingine gharama anabeba yeye na wakati mwingine mimi, kwa sasa uzalendo umenishinda maana jamaa kazidi kubadili totoz, mwishowe atamuua sister ila pa kuanzia sina maana jamaa ni mshikaji kweli kweli na hata nikimuambia sister atanisikiliza? au ndo itakuwa chuki mimi na shem wangu mpenda totoz?.

dah hivi uko sawa kwel ndugu, yan som1 anaplay with the feeling of ur bloodly sister, na sio hisia pekeake bali na afya pia hlf unamuunga mkono kwa mda ote huo, u cant be serious aiseeee, definitely there is sth wrong in yo brain
 
hee, kaka si mnankunywa wote na shem wako na totoz wote mnabeba?iweje umgeuke mwenzako?au kakubebea totoz yako nini?
 
Kingine mkuu si hajabu huyo shemeji yake alimuoa dada yake kutokea uko baa. pili kakili kabisa kwamba wote ni watu wa viwanja je mwenyewe mbona hajaacha kuchukua totoz ndo aone ya shemeji yake. Je yeye hataua dada wa watu wengine?
Sure, lakini pointi ya msingi hapa mkuu ni kuepusha kuingilia mapenzi ya watu, mapenzi hayashauriki, huo ni ukweli usiopingika.
Unaweza kumtonya dada yako halafu yeye akaenda kumueleza mume wake kuwa unawachonganisha, utakosa pa kuficha sura yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom