weeeee!hakuna rangi ataacha ona!!unaaminika sana, mfesi mumewe
Mwambie huyo mama AMRUHUSU mumewe kwenda kupandisha UKUTA wanawake wengine kwa fedha ili muradi awe anatumia Kinga yaani SEMkondom. Ila huyo jamaa nina wasiwasi AMESHAKUWA SHOGA ila hajajitambua tu.
Si awe anakwenda Zanzibar kimya kimya na kurudi? Sasa akishamuharibu Mkewe, si bado atatafuta sehemu nyingine kwa kisingizo kuwa huyo au hao wapya Inabana sana?
All in all, huyo dada kashapoteza MUME ila hataki tu kukubali.
Hahahaaa, ama kweli tumeingia kwenye Sodoma na Gomora maana huko hata MALAIKA waliwindwa ili Washikishwe ukuta kama Nape na Mwigulu walivyowatisha Vijana wa Mwanza kuwashikisha ukuta. DAMN!!!!! Pekecha Pekecha mwana wane.
![]()
kitu zero distance, ooh!
mkuu mwanamke keshamuonjesha jamaa hapo vita imekuwa kubwa bora asingeonja lakini kumbuka zeze hapewi ---- anapewa mjanjaTumia ujanja. Siku mkiwa wote, (yaani wewe na mkeo na yeye na mke wake) anzisha story ya kutunga ukifanya kama kazini kwenu kuna mtu amekimbiwa na mkewe kwa sababu mwanamke amechoka kuliwa tigo. Sasa angalia wataichangia vipi hao wenzio watatu. Alafu jitahidi muweze kuzungumzia madhara ya hilo tendo kinyume na maumbile. Alafu wewe sisitiza kabisa kuwa hata iwe vipi hautamwomba mkeo, yeye muhusika atakuwa anakusikiliza sana, hata akizuga vipi ujumbe utakuwa umefika. Sasa, huyo mke wake atakupa matokeo, kama jamaa amekoma au la. Kama hajakoma huyo mwanamke amwambie nakusemea kwa rafiki yako ambaye ni wewe na mkeo. Na akija kusema hakikisha upo na mkeo ili siku mnamwekea kikao muwe wote wanne pamoja. Natumai umenielewa.
Hizi kesi zinakuwa nyingi mnoo siku hizi nazani ndio dalili za siku za mwisho.
Amjie juu tena kwa kumtishia kuwa iwapo ataendelea na huo UCHAFU anaoung'ang'ania atamshtaki kwa kiongoz wa dini au wazazi wote wa pande 2.
Sent from my BlackBerry 9530 using JamiiForums
Siku zote nilikuwa nayasikia tu ...leo nimelazimika kulikabili kwa maumivu na mshtuko!
Nimebahatika kuwa ni mtu ninaye aminika sana kwa watu ,mara nyingi watu huniambia mabo yao ya ndani kwa kutaka ushauri! Wakati mwingien huwa naona kuwa wananipa nisichostahili ki vile! Lakini ndivyo ilivyo!
Hili naandika humu nikiamini kuwa wahusika sio member wa hapa ,inawezekana mume huwa anaingia lakini siamini kama atajua kuwa anazungumzuiwa yeye kutokana na jinsi mkewe alivyo !
Ni hivi
Nina marafiki [mume na mke ] ambao tumeshibana sana[mimi na wife].Nwatu ambao kwa mtazamo wajuu huwezi amini kuwa wanaweza kuwa na mikwaruzano migumu ya kutushia uhai wa ndoa ! ni watu wenye hofu ya Mungu na wanaipenda dini....ni waaumin wazuri!
Leo shemeji amenipigia simu kuomba ruhusa ya kuja ofisini kwangu kwa mazungumzo, nilpata na hofu kidogo ila nilikubali!
Alikuja kunieleza /kuomba ushauri kuhusu tabia ya mume wake kutaka mapenzi kinyume cha maumbile! kama mnavyoitaga humu!
Anasema alianza tabia hii tangu Disemba mwaka jana! na ameendelea kusisitiza kuwa hajisikii kufanya kwa njaia ya kawaida!
Sasa mke amechanganyikiwa kuwa afanye nini na nampenda mume wake kwa dhati! Ameeleza jee akikata nini kitatokea akikubali ataharibu mwili wake na nafsi yake!
Lakini kwa maelezo yake inawezekana siku moja alimpa kwani alisema ni maumivu makubwa!
Pamoja na ujanja wangu wote wa kuwashauri watu leo nilikwama!
Nilichofanya ni kumwambia aendelee kumsihi mume wake kuwa hiyo ni DHAMBI,IMMORAL,HAJISIKII !
sina mwingien wa kushea naye zaidi ya jamii Forum!
Mke wangu sithubutu kumsimulia kwani atajisikia vibaya akimwona jamaa!
Alishauri nikaongee na mume wake nikwambia sitaweza kwani sijui atalipokeaje na hayo ni mabo ya ndani sana.
Jamani naomba ushauri wenu
Ila mh usione watu wanapendeza mitaani ...nyumba zimeficha Mengi!
Hapo ndo wanawake wanaponiacha hoooii kabisa
amekuamini vipi wewe?
what if wewe ndo ungekuwa mchezo wako kwa mkeo?
ungemshauri nini?
Vitu vingine bora kwenda kwa washauri wa ndoa professional...
what if wewe utamueleza mwingine na mwingine? which i am sure you will..