ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,380
- 8,628
Nimekukubali mkuu, Kyalosangi chukua hii
Tumia ujanja. Siku mkiwa
wote, (yaani wewe na mkeo na yeye na mke wake) anzisha story ya kutunga
ukifanya kama kazini kwenu kuna mtu amekimbiwa na mkewe kwa sababu
mwanamke amechoka kuliwa tigo. Sasa angalia wataichangia vipi hao wenzio
watatu. Alafu jitahidi muweze kuzungumzia madhara ya hilo tendo kinyume
na maumbile. Alafu wewe sisitiza kabisa kuwa hata iwe vipi hautamwomba
mkeo, yeye muhusika atakuwa anakusikiliza sana, hata akizuga vipi ujumbe
utakuwa umefika. Sasa, huyo mke wake atakupa matokeo, kama jamaa
amekoma au la. Kama hajakoma huyo mwanamke amwambie nakusemea kwa rafiki
yako ambaye ni wewe na mkeo. Na akija kusema hakikisha upo na mkeo ili
siku mnamwekea kikao muwe wote wanne pamoja. Natumai umenielewa.