Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Kiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?
Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.
Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.
Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.
Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.
Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.
Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.
Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.
Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.
Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?