Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
"Aombaye hupewa" we kibane bane tu kiliwe na nyenyere, kuna faida gani kiondoke kikiwa kinalipa...?😏Kweli Ubinadamu kazi, na sikupi sasa😁😁🙌
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
"Aombaye hupewa" we kibane bane tu kiliwe na nyenyere, kuna faida gani kiondoke kikiwa kinalipa...?😏Kweli Ubinadamu kazi, na sikupi sasa😁😁🙌
Ntampa mtu wangu inatosha"Aombaye hupewa" we kibane bane tu kiliwe na nyenyere, kuna faida gani kiondoke kikiwa kinalipa...?😏
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
yani umeanza vizuri then unamaliza kwa kusema wanaume hamna haya? haya utaendelea kutongozwa mpaka utoe utelezi 😎 😎 😎Habari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.
Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.
Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.
Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.
Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
Muwe na aibu siyo kila mwanamke wa kuliwayani umeanza vizuri then unamaliza kwa kusema wanaume hamna haya? haya utaendelea kutongozwa mpaka utoe utelezi 😎 😎 😎
"Cha Mtu huliwa na Mtu bali chuma huliwa na kutu" we nipee tu Binti Sayuni03...🤭Ntampa mtu wangu inatosha
Nimeachana naye nipo na mwengineDah! Achana nae huyo njoo kwangu plz
😁😁😁🙌leo siku ya sabato mkuu"Cha Mtu huliwa na Mtu bali chuma huliwa na kutu" we nipee tu Binti Sayuni03...🤭
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Hapana kwangu mimi kizuri sitaki kushea na ndiyo maana vya watu pia sitaki kuvilaKizuri kula na rafiki yako
hahah sawa, ila hata asipokula huyo utaliwa na mwingine asiyekuwa na haya 😀Muwe na aibu siyo kila mwanamke wa kuliwa
Ni heri kuliko kuliwa na shemejihahah sawa, ila hata asipokula huyo utaliwa na mwingine asiyekuwa na haya 😀
Ni mwajiriwa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .Yataje tuone
hapo sasa umeongea, nitakutafuta private tuyajenge...si umesema upo single?Ni heri kuliko kuliwa na shemeji
kapicha tafadhali nilinganishe na maelezo yakoMimi wa kawaida tu mkuu huyu shemeji ana tamaa zake naona
ukitoa tunapiga kibaya ni kubakaHuo ni umalaya aisee kuweni makini magonjwa mengi
PoleHapana kwangu mimi kizuri sitaki kushea na ndiyo maana vya watu pia sitaki kuvila
Kuna kosa la kiufundi unalolitenda bila kukusudia.Habari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.
Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.
Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.
Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.
Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
Hakuna yaniNa hakuna hata mmoja hapo ambaye mnaendeleza mahusiano?