Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,727
- 6,535
Legeza akakukaze si anaonja tu na wewe kwani anaondoka nayo? Kwanza akimaliza anakujaza kitita, we mkubalieAlikuwa serious sema ni vile mimi nilikaza
Legeza akakukaze si anaonja tu na wewe kwani anaondoka nayo? Kwanza akimaliza anakujaza kitita, we mkubalieAlikuwa serious sema ni vile mimi nilikaza
🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️😁😁Unawapa mzigo...
Wanaume ndo yulivyo kutamani tamani ndo jadi.yetu. Wala usikasirike mweleweshe vizuri kwa upole ataelewaHabari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.
Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.
Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.
Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.
Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
Ndugu yangu ajikute tu kwahio uchinga😶Which is which...
Kuna yule shemeji ambae wewe ni rafiki yako...
Kuna yule shemeji ambae wewe ni ndugu yako...
Naipiga picha kwa faida alafu naikataa..Ndugu yangu ajikute tu kwahio uchinga😶
Wewe semeji akikutaka unaikataa????
Kawaida iyo jamna jipya apoHabari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.
Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.
Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.
Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.
Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
Wakati unagawa mzigo kwa shemeji mimi mwenye mali nitakua nakupiga chabo na kurekodi matukio kwa faida...🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️😁😁
Vipi naye ulichungulia kibamia chake?Habari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.
Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.
Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.
Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.
Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
calm down dude, just switch to other platforms.It's awful to open JF and read such nonsense every day, we're sick of this kind of trash and immoral topics.
😁😁😁😁😁!Naipiga picha kwa faida alafu naikataa..
Picha kama picha...😁😁😁😁😁!
Unai-taste kwanza ndio unaidump. Wee hufai ujue!
Mkuu ogopa sana kujisifia ugumu ama msimamo mkali, ni mwiko kwa mwanamke kujisifia hayo, kwa sababu umeumbwa kutongozwa!Mh! Ila wewe kumbe ndiyo upo hivyo, ila mimi usingenipata aisee
Hapo Gallery yako ishajaaa Sampuli za kila aina utafika umepofuka macho loPicha kama picha...
nitumie dmHuku siyo salama kujipost mkuu
mchawi pesaNani sasa atoe, hivi hivi kam hakuelewi
Huwezi amini Sina hata moja...Hapo Gallery yako ishajaaa Sampuli za kila aina utafika umepofuka macho lo
Debe mbili za unga ndani unalisha kijiji, si utaingiwa funza umwage?!vimbwanga vya masika
mtanganyika akishakua na debe mbili za unga ndani yeye ni ngono tuh kichwani
Pesa zinaisha jali utu kwanzamchawi pesa