MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,266
- 22,061
Ila wewe dada kama haujaolewa naomba njoo tutengeneze maisha nina mambo mazuri mengi naomba useme niyataje uone nilivyo special kwakoAliyezaa naye hakuwa sahihi kwake
Ila wewe dada kama haujaolewa naomba njoo tutengeneze maisha nina mambo mazuri mengi naomba useme niyataje uone nilivyo special kwakoAliyezaa naye hakuwa sahihi kwake
Hajanivutia na hata kama angekuwa anavutia kwasababu ni shemeji nisingewezaItakuwa haujavutiwa nae, ingekuwa amekuvutia tayari ungeshakuwa, na huu uzi tusingeuona. Ni kawaida yenu wanawake, kidume ambaye hamuhitaji lazima mumsagie kunguni.
Nawapa taarifa muache hii tabia mbayaUnatupa taarifa au unatuomba ushaur?
Siyo chai ni kweli tena mkuuChaaaii ya moto sana
Akhaa sitaki
Yataje tuoneIla wewe dada kama haujaolewa naomba njoo tutengeneze maisha nina mambo mazuri mengi naomba useme niyataje uone nilivyo special kwako
Hiyo mbaya aisee, hisia zinakujaje kwa shemeji yako jamaniKuzima taa na shemeji sio mbaya !!
we kwani daily wanakutaka wewe tu kwanini usiseme "Nimemtaka shemeji anagoma"Siyo chai ni kweli tena mkuu
Pale kati patamu 😀😃Alikuwa anakujaribu tu...
Wanaume ni ombaomba wasiojijua linapokuja suala la chini.
Analeta chai za maziwawe kwani daily wanakutaka wewe tu kwanini usiseme "Nimemtaka shemeji anagoma"
Ishu ni kwamba hakajuvutia, nyie wanawake tunawajua.Hajanivutia na hata kama angekuwa anavutia kwasababu ni shemeji nisingeweza
Mkuu mimi hizo tabia sina aiseeIshu ni kwamba hakajuvutia, nyie wanawake tunawajua
Tumfokee hapa hapa tu mkuu😁😁😁Wadau hawakuelewi, ila mimi nimekuelewa.. nakuja PM kukutia moyo pia tukiwa huko tutaendelee kumfokea huyo shemeji mwenye tabia mbaya
Siyo chai mkuuAnaleta chai za maziwa
Basi nipe mimi.Akhaa sitaki
KumbeeSiyo chai mkuu
Mh! Kumtaka shemeji siwezi aiseewe kwani daily wanakutaka wewe tu kwanini usiseme "Nimemtaka shemeji anagoma"