kila lenye mwanzo lazima liwe na mwisho wake,uwe mbaya au mzuri.baada ya kusota kwa mda mrefu lumande huku akiwa na kidonda cha risasi aliyopigwa morogoro mjini.hatimae mwenyezi mungu kasikia kilio cha mja wake shekhe PONDA.
Shekhe ponda jana kaachiwa huru kwakuwa hana hatia yoyote ile.
Sasa mziki ni uleule bakwata waludishe mali za waislamu walizo uza
Sasa ushupavu wake ni nini? kufanya uchochezi.
watu tunawaza namna ya kuiokoa nchi ww unatoa povu na ponda wako.. Mpe kijambio basi akukune si unawashwa??
Akili zingne sawa na kinyesi cha nguruwe
Sasa ushupavu wake ni nini? kufanya uchochezi.
Hizi ni sifa za kijinga kabisa. Ana ushujaa gani huyu mbulula ponda, kama ni shujaa hebu na tumsikie tena.
wellcome back uraiani sheikh hatuna muda wa kukufanyia sherehe tuko kwenye mapambano ya kudai chetu,njoo tuunganishe nguvu huku tuwapeleke huko ulipokuepo wewe team bring back our money
watu tunawaza namna ya kuiokoa nchi ww unatoa povu na ponda wako.. Mpe kijambio basi akukune si unawashwa??
Akili zingne sawa na kinyesi cha nguruwe
Hii ni Taarifa mbaya kwa wapenda amani.
Anayefaa kupelekwa huko ni Askofu Kilaine kwa wizi wa fedha za watanzania masikini sio Sheikh Ponda ambaye hata kuiba penseli hajawahi
ponda atatuliaa kama sio yeye , chezea jela wewe.
halafu si walisema sio raia, na arudishwe huko somalia.
sent from escrow bring back our money app using jamii forums