KizzKazz
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 223
- 184
‼Usibishe kwa kuwa hukuwahi kuwa Mjini!
Ukiacha Mwalimu Nyerere huyu Sheikh Yahya 1978 alikuwa na TV na ndie aliekuwa akiruhusiwa kuonesha Wakati huo hata Mawaziri hawakuruhusiwa!
Ndie alieshiriki kuwabaini na kuwanasisha kwny Mitego Wale waliokuwa wakimpinga Nyerere
Kundi la Waumini waliojipanga kuiangusha Bakwata 1993 Waliingia Mkenge wakamshirikisha Huyu Jamaa nae haraka haraka akawaingiza Mkenge Waanzishe Balukta kuidoa Bakwata Kumbe ndo wakaongia kwny Kilengeo na UKAWA Mwisho wao!