Inna Lillah Waina Illahi Rajoon
"Sisi ni wa Allaah nasi Kwake tutarejea, Ee Allaah Walipe wafiwa kwa msiba huu na uwape badili yake bora kuliko huo[/B]"
Kumuhukumu kama anakwenda Peponi au Kuzimu nafikiri hakuna mwanadamu anyeweza. Ila kumuhukumu kama alikuwa mtu mwema au mbaya nafikiri mwanadamu anaweza.
RIP Mnajimu Sheikh Yahya Hussein, Pole sana Wote tulioguswa na Msiba huu,
Kazi ya Bwana haina Makosa, Bwana alotoa na Bwana Ametwaa na Jina la Bwana na Lihimidiwe, Amen.
Kifo chake kimeacha pengo kubwa sana katika medani ya siasa za Tanzania hasa hasa kipindi hiki ambacho Nchi yetu inapita katika mitihani migumu sana kisiasa.
Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Sheikh yahya Hussein, kazi aliyotumwa imekwisha
Aliyekuwa mnajimu maarufu nchini Tanzania sheikh Yahya Hussein mpaka mauti yalipompata leo asubuhi alikuwa na jumla ya watoto 20. Chanzo ni chanel ten taarifa ya habari saa 1 usiku.