johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Shehe wa mkoa wa Dar es Salaam alhad Mussa Salum jana aliwahoji watangazaji wa kipindi cha Malumbano ya Hoja kwanini hawaweki vitakasa mikono na maji tiririka mlangoni?
Sheikh alilalamika kuwa yeye alipita bila kunawa popote hadi kufika hapo meza kuu alipokaa.
Mtangazaji Kivuyo alisema vitakasa mikono vipo kuanzia getini labda kwa sababu shehe alipitia VIP.
Chanzo: ITV malumbano ya Hoja!
Sheikh alilalamika kuwa yeye alipita bila kunawa popote hadi kufika hapo meza kuu alipokaa.
Mtangazaji Kivuyo alisema vitakasa mikono vipo kuanzia getini labda kwa sababu shehe alipitia VIP.
Chanzo: ITV malumbano ya Hoja!