Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,423
Leo Jumanne, aliyekuwa Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Musa Salum amekabidhi ofisi kwa mteule mpya anayekaimu nafasi hiyo.
Akiwa amevalia nadhifu , kanzu nyeupe , kizibao cha kuwakawaka , huku akiwa amepiga miwani ya giza (zamani tukiita Sun gogos), huku akitembea kwa kujiamini, bwana Salum ameingia kwenye ofisi za Bakwata na kukabidhi Mafaili, nyaraka na mipango ya Taasisi kwa Mteule Mpya.
Tunamtakia kila la heri katika maisha yake mapya.
Aliyekuwa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kulia) akisalimiana na Sheikh Walid Omar aliyekaimu nafasi hiyo, wakati wa makabiziano ya ofisi jijini Dar es Salaam leo Februari 7, 2023. Picha na Michael Matemanga
Akiwa amevalia nadhifu , kanzu nyeupe , kizibao cha kuwakawaka , huku akiwa amepiga miwani ya giza (zamani tukiita Sun gogos), huku akitembea kwa kujiamini, bwana Salum ameingia kwenye ofisi za Bakwata na kukabidhi Mafaili, nyaraka na mipango ya Taasisi kwa Mteule Mpya.
Tunamtakia kila la heri katika maisha yake mapya.
Aliyekuwa Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kulia) akisalimiana na Sheikh Walid Omar aliyekaimu nafasi hiyo, wakati wa makabiziano ya ofisi jijini Dar es Salaam leo Februari 7, 2023. Picha na Michael Matemanga