Huyo sidhani kama ni shekhe halisia, atakuwa na mwrndawazimu fulani anayemtumimia shetani, lakini ameamua kujipachila ushekhe.
Tawala ambazo Kanisa halikuwahi kutoa waraka kushauri mambo yalipokuwa yanaenda vibaya ni utawala wa Nyerere na Mwinyi. Utawala wa Mwinyi ulifikia hatua ya hata kyiingiza Tanzania kwenye jumuia ya nchi za kiislam, OIC, lakini makanisa hayakutoa tamko dhidi ya hatua hiyo.
Tawala nyingine zote, bila ya kujali ziliendeshwa na mtu wa dini gani, mambo yalipoenda vibaya, makanisa yalitoa nyaraka za ushauri dhihi ya hayo mambo mabaya, lakini hawa wehu waraka ukitolewa wakati serikali inaongozwa na mkristo, wanakaa kimya ila akiwa muislam hata afanye uovu wa kiwango gani, hawataki aguswe!! Unafiki mkubwa.
Wanataka kugeuza uovu wa mtawala ni suala la kidini. Huyu bibi alipomwua Kibao, alipoua maelfuya watanzania, alifanya hivyo kama hitaji la uislam? Huyu ameua watu wa dini zote na makabila yote, lakini huyu ibilisi anataka amlinde kwa mwavuli wa udini.
Kila mtu mwema, awe muislam, mkristo au hana dini, ameumizwa sana na uharamia wa huyu bibi.