PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Tatizo la hawa wenzetu wa upande wa pili hususani viongozi wao ni kukosa elimu sahihi ambayo ingewapa utambuzi wa kina kuhusu jamii na ulimwengu kwa ujumla.

Kukosa elimu kumewafanya wengi wao wawe na uwezo duni sana wa kufikiri...

..mfano kama huyu anaamini samia anakosolewa kwa sababu tu ya uislamu wake, yaani kwake yeye akimuangalia samia haoni kingine zaidi ya uislam, haoni kabisa ushetani anaoufanya samia kuwa ndio sababu ya matamko kuwa mengi...!!

Hivi kuna mtu yeyote mwenye akili timamu aliyefurahishwa na haya mauaji ya halaiki ambayo yamechukuwa mpaka waislamu kibao?

Anataka na viongozi wa kikristo nao wawe machawa na wenye akili ndogo kama wao, ambao raisi akiwa muislamu tu basi wanakubaliana na chochote anachokifanya.

Na ni bahati mbaya sana kuna wafuasi wa hiyo dini wengi sana wana akili kama zake.

Pumbavu sana wewd shekh ubwabwa.
 
Lete hayo matamko/nyaraka za kichungaji/askofu za TEC
 
Wakati wa jiwe hata Askofu Shoo wa KKKT alikuwa amenyooka na anasema ukweli, siku hizi amelambishwa asali.
 
Huyo shekhe atakuwa hana kumbukumbu.

Kipindi cha JPM kulikuwa na matamko mengi hadi baadhi ya maaskofu wakaambiwa siyo raia wa Tanzania, mfano: Kakobe, Severin Niwemugizi, nk.
Askofu Gwajima akaburuzwa na kupimwa mkojo.
Na kuna Askofu alihama nchi sababu ya msako wa JPM.
TAL alipigwa risasi,
Utekaji na mauaji ingawa siyo kwa kiwango kikubwa sana kama hiyo kufuru ya Sa100.
Elimu kaka ndio tatizo kuu.

Imagine kuna kiongozi wao mmoja namskia anasema eti "mbona hata Magufuli aliua na aliteka watu lakini hamkuandamana" yaan hapo amejenga hoja na wapumbav wenzake kibao wakamsapoti.

Kwamba tumuache samuya ateke,aue maelfu ya watu kisa tu hata tawala zingine za huko nyuma zilifanya matukio kama haya....

..hawa watu ukiwaskiliza na akili zao finyu wanatia hasira sana, na ndio maana mimi huwa najisema baada ya hili shetani jike la kizanzibar kuondoka tusiongozwe kabisa na hawa watu, waishie huko huko visiwani
 
Tatizo la hawa wenzetu wa upande wa pili hususani viongozi wao ni kukosa elimu sahihi ambayo ingewapa utambuzi wa kina kuhusu jamii na ulimwengu kwa ujumla.

Kukosa elimu kumewafanya wengi wao wawe na uwezo duni sana wa kufikiri...
Elimu gani unazungumzi,na uduni upi wa kufikiri unaousema,wa kupiga goti mbele ya sanamu la zege na kuliomba!?
..mfano kama huyu anaamini samia anakosolewa kwa sababu tu ya uislamu wake, yaani kwake yeye akimuangalia samia haoni kingine zaidi ya uislam, haoni kabisa ushetani anaoufanya samia kuwa ndio sababu ya matamko kuwa mengi...!!

Hivi kuna mtu yeyote mwenye akili timamu aliyefurahishwa na haya mauaji ya halaiki ambayo yamechukuwa mpaka waislamu kibao?
Chuki dhidi ya Samia hazijaanzia kwenye hayo mauaji,hayo ni matokeo tu
Anataka na viongozi wa kikristo nao wawe machawa na wenye akili ndogo kama wao, ambao raisi akiwa muislamu tu basi wanakubaliana na chochote anachokifanya.
Waislam (masheikh) huwa hawahangaiki na siasa,wanajua wao ni taasisi ya dini, tofauti na upande wa pili,hawaeleweki ni taasisi ya dini,siasa au biashara
Na ni bahati mbaya sana kuna wafuasi wa hiyo dini wengi sana wana akili kama zake.
Waamini wala sacrament ndiyo waliojaa chuki dhidi ya viongozi waislam,kwao Marais wote waislam ni hovyo
Pumbavu sana wewd shekh ubwabwa.
 
Ndiyo waraka pekee kipindi cha magu,mmoja
 
Sema ndugu zetu muangalie upya utaratibu wa kupata hawa masheikh. Huyu anaonekana kabisa kichwani mtupu.

Hapa Rais alikuwa nani, Baba yake?
 
Hawa wazenge ndio wanaoichafua dini ya Uislamu.

Watu kama hawa wanawafanya waislamu wengine waone aibu kujivunia Uislamu katika ardhi ya Tanzania.
Sheikh yuko sahihi,na huo ni msimamo wa waislam wengi,na tunajivunia uislam wetu
 
Kwenye quran kuna surah al munafiqun, naelewa ubaya ws unafki, ndio maana mwenyezi mungu akawapatia sura nzima!!
hawa wengine ni wahuni tu wajanjA wajanja,..
Wameichagua dunia kuliko ahera yao
 
Wewe chawa kichwa panzi hata ukiziona hautaelewa chochote, hata kutokujua TEC na KKKT waluikosoa sana utawala wa JPM ni kwa sababu huna akili.
Walikosoa sana!!..wakosoe sana wapi,zaidi ya waraka wa pasaka 2018
 
Kwenye quran kuna surah al munafiqun, naelewa ubaya ws unafki, ndio maana mwenyezi mungu akawapatia sura nzima!!
hawa wengine ni wahuni tu wajanjA wajanja,..
Wameichagua dunia kuliko ahera yao
Fitna ni mbaya kuliko kuua-quran
 
Back
Top Bottom