Jumuiya na Taasisi za Kiislamu imepanga kwenda mahakamani kuzuia zoezi la sensa na kupinga kauli iliyotolewa na Sheikh Mkuu wa Baraza la Waislamu (Bakwata), Mufti Issa Shaban Simba, kwamba Waislamu wamekubali kuhesabiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa jumuiya hizo, Sheikh Ponda Issa Ponda, alisema kauli ya Mufti Simba, inaashiria kwamba Bakwata limekiuka makubaliano yaliyofikiwa mjini Dodoma na jumuiya zote za waumini wa dini hiyo.
Alisema kauli hiyo haitakuwa na athari kubwa kwa msimamo wa Waislamu wengi ambao hawatashiriki zoezi la sensa.
"Waislamu tumepanga tarehe hiyo ya sensa kufanya maandamano ya amani nchi nzima kwani sensa inayokusudiwa haitakuwa na matokeo sahihi kwakuwa asilimia 80 ya Waislamu ambao ni zaidi ya nusu ya Watanzania hawatahesabiwa," alisema Shekh Ponda.
Hivi karibuni Mufti Simba, alitoa msimamo wa Bakwata, akiwataka Waislamu wote nchini kushiriki Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti 26, mwaka huu.
Chanzo: Nipashe
Huyu Sheikh amezipata wapi hizo takwimu kwamba 80% ya Waislamu TZ ni zaidi ya nusu ya Watanzania wote? Halafu baada ya Sensa ya dini ikajulikana waumini wa dini fulani ndio majority italisaidiaje Taifa? Ninaamini kuwa wapo waislamu wengi Tanzania wasioyumbishwa na kauli na misimamo ya viongozi wao, lakini viongozi wa aina hii wana mchango gani kwenye ustawi wa jamii na taifa kwa ujumla?
u'r signature explain every thing.
kifupi ni hivi, YESU alituachia injili kupitia mafundisho yake, na baadaye akawaongoza watu mbalimbali kwa nyakati tofauti mafundisho yale yakawekwa kwenye maandishi. Hivyo, mafundisho yake si rahisi yapatikane katika msahafu, mafundisho yake yanapatikana tu katika BIBLIA.
In addition, huyo mnyaemwita Issa bin Mariam, ni nyie tu mnayemjua kuwa ni YESU lakini sisi(mimi) YESU simtambui kama ISA, kwani hakuna katika biblia yaani agano la kale na agano jipya ambapo ameitwa kwa jina hilo, jina hilo mnalifahamu waislam na kwa kuwa ni watu tofauti, mnalitumia kulichafua jina na kazi halisi ya YESU.
Ama kweli mpumbavu hajifichi.Hivi zomba bado hujui kwamba hiyo quran iliandikwa makusudi kupinga ukristo na bado uridhika na huyo muhamad na tabia zake za ajabu ajabu wanawake kibao mpaka kitoto cha miaka tisa alikiingilia funguka acha hiyo dini ya ajabu ajabu.
Waislam wengi wamedanganywa na wahubiri wao kwamba Issa Bin Marium ndiye Yesu. Inawezekana ni kweli kwani akina Yesu wapo wengi hata leo ukienda Ethiopia utakutana mitaani na akina Yesu wengi wengi wengi sana. Yesu ambaye kwetu sisi ndiyo chimbuko la imani na tumaini letu na mkombozi wetu anaitwa Yesu Christo yaani Jesus Christ. Huyu ndiye ambaye kila goti including la Mtume SAW litapigwa mbele yake siku ya siku itakapofika. Ni Yesu ambaye hata waliomtesa, waliomdhihaki na kumtolea kila aina ya kashfa walikuja kukiri mwishoni kuwa HAKIKA HUYU ALIKUWA MWANA WA MUNGU. Ni huyu Yesu ambaye alikufa na baada ya siku ya tatu alifufuka na mpaka leo yu hai. Ni huyu Yesu pekee ambaye hata majini na mapepo ya kila aina yanamwogopa na kumtii.u'r signature explain every thing.
kifupi ni hivi, YESU alituachia injili kupitia mafundisho yake, na baadaye akawaongoza watu mbalimbali kwa nyakati tofauti mafundisho yale yakawekwa kwenye maandishi. Hivyo, mafundisho yake si rahisi yapatikane katika msahafu, mafundisho yake yanapatikana tu katika BIBLIA.
In addition, huyo mnyaemwita Issa bin Mariam, ni nyie tu mnayemjua kuwa ni YESU lakini sisi(mimi) YESU simtambui kama ISA, kwani hakuna katika biblia yaani agano la kale na agano jipya ambapo ameitwa kwa jina hilo, jina hilo mnalifahamu waislam na kwa kuwa ni watu tofauti, mnalitumia kulichafua jina na kazi halisi ya YESU.
Mkuu mbona masheikh wengi wanaliwa mtaani lakini hatuhusishi kuliwa kwao ndo mafundisho ya huyo mungu wenu mliembatiza jina la allah?Haya nyie wakristo mna akili nyingi zipi? Hizo za Ushoga makanisani. Askofu mkuu Anglicana Marekani Shoga , Padri Kimaro wa Mlimani, Askofu wa Moshi Vijijini. Hiyo ndoo akili!
Kuna wakati ndugu yetu mmoja humu jf alifanya analysis ya Marais waislam na Marais Wakristo. Mwishowe akaconclude Waislan hawawezi kuongoza.Haya nyie wakristo mna akili nyingi zipi? Hizo za Ushoga makanisani. Askofu mkuu Anglicana Marekani Shoga , Padri Kimaro wa Mlimani, Askofu wa Moshi Vijijini. Hiyo ndoo akili!
Well said.Hivi hawa wanaojiita viongozi wa waislam hawana "seniority" kwenye uongozi wao? Inakuwaje Shehe Mkuu wa Tanzania anatoa tamko halafu Shehe mwingine ambaye siyo mkuu anapingana naye hadharani. Anachosahau huyu Ponda ni kuwa kuna watu wangependa sana sensa ionyeshe makabila ya watu ili tujue kabila gani ni kubwa kuliko jingine na raslimali zigawanywe kwa kuzingatia ukabila.
Kama alifuatilia mjadala wa bunge jana kuna mbunge wa jimbo mojawapo la kanda ya ziwa alikuwa anahoji, pamoja na mambo mengine ya kijimbo, kuwa inakuwaje kanda ya ziwa pamoja na kuwa na raslimali nyingi haina mawaziri wa kutosha kwenye baraza jipya. Ninachosema hapa ni kuwa ukiruhusu sensa kwa misingi ya dini za watu hutakuwa na hoja ya msingi ya kuzuia sensa kwa misingi ya makabila ya watanzania. Kwa waafrika ukabila unawaunganisha watu kuliko udini na ni hatari sana kuchochea hilo kwa nchi yetu. Waafrika tunaamini zaidi katika ukabila kuliko udini na ndio maana siyo ajabu kumkuta mwafrika anaingia kwenye hizo dini za kigeni huku bado akendelea na imani zake za kijadi. Ukabila ni chanzo cha mauaji makubwa kwa majirani zetu - Kenya, Rwanda, Burundi, Conco n.k.
Wa Israel hawawezi kuachwa na USA, kwa sababu ukiangalia kiundani utaona Wamarekani wanao-run USA wana asili ya Israel, waisrael kutokana na udogo wa ardhi yao walisambaa nchi za magharibi hadi Adolf Hitler aliamua aanze kuwapunguza.Mfano wako wa Israel na Palestina sio sahihi, Israeli wangeachwa peke yao wangeshatandikwa siku nyingi na Wapiganaji wa Kipalestina, ila kwa vile Israel inasimamishwa na mataifa ya Magharibi, USA, UK nk