sizzya007
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 773
- 2,430
Amekuwa mwanasiasa sasa
Ndugu uko serious kweli?!😱
Yaani kuongea kauli hiyo tu umemvika uwanasiasa?! Ponda kaongea kama mtanzania yoyote yule, hiyo ni haki yake kikatiba.
Amekuwa mwanasiasa sasa
Watu wengine unaweza kuwadhania ni watoto wadogo kwa comments zao.. Badala ya kulijadili tamko lake , watu wanaanza kumshambulia sheikh.sio vyema kabisa kwa kuwa kuna mafundisho nilipewa kuwa " kamwe usimdharau kichaa pale akupapo tahadhari "......
Hakuna atakaepinga kauli ya sheikh kuwa RAIS wetu (pamoja na viongozi wake wengine) wamekuwa wakikurupuka katika maamuzi ambayo mwisho wa siku , anguko lake huzimwa kimya kimya na hili halihitaji kurunzi kuliona
Rais asiwe na msukumo wa kutoa maamuzi on the spot katika vitu vinavyohitaji mawazo ya wataalamu..
**TANZANIA KWANZA**
Jifunze kiswahili,sio wote tunajua kikwenuHana hajipa huyo. Atulie tu
Na silazima kilahatua atakayochukua kufukuza wezi eti aje kutuambia,nyingine afanye na jopo lake tumeshaamua kumpa kazi. Kilakitu aje kuripoti kwetu ili iweje,atakapojiskia kusema na aseme japo vingine Ni aibu hata kusema...mf mtummoja mishahara 17 inamaana serikali iliyopita ilikuwa na uzembe wa kuchezea kodi zetu alafu walimu wakiomba nyongeza za mishahara wanaambiwa wakatafute kazi nyingine za kuwalipa vizuri eti kasungura kadogo...Je kuna ambao wameondolewa hatujaambiwa sababu wala nini
Ndio maana kila siku nasema JPM ana kazi ya ziada katika vita yake na rushwa na kwa hakika hataweza kuifanikisha akiwa ndani ya ccm.“Ni kweli kwenye serikali kulikuwa na matatizo mengi, lakini lazima utaratibu kamili wa kuchukulia watu hatua ufuatwe,” amesema na kuongeza:
“Huwezi kuchukulia hatua watu bila kuwa na ripoti ya kitaalamu. Huko ni kufanya kazi kwa kulipuka.
tatizo la ponda elimu yake ya kuungaunga sasa mtu wa aina hiyo upeo wa kumkosoa mtu kama JPM ni ndogo sanaSHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, amekosoa utendaji wa Rais John Magufuli, hasa dhana ya kutumbua majipu, akisema ina kasoro za kiutawala.
Akizungumza leo, Sheikh Ponda amesema utendaji wa Rais Magufuli ni wa kulipualipua.
“Ni kweli kwenye serikali kulikuwa na matatizo mengi, lakini lazima utaratibu kamili wa kuchukulia watu hatua ufuatwe,” amesema na kuongeza:
“Huwezi kuchukulia hatua watu bila kuwa na ripoti ya kitaalamu. Huko ni kufanya kazi kwa kulipuka.
Watanzania watafurahi zaidi kama serikali haitaingia hasara kutokana na kazi hiyo iliyo na shaka katika utekelezaji wake.”
Amesema ingekuwa bora kwa Rais Magufuli kusubiri ripoti za wataalamu wake, na si ‘kutumbua majipu’ kabla ya kupata ripoti.
Anasisitiza, “Jambo hili halipo sawa hata kidogo.”
Anasema dhamira ya kurejesha nidhamu serikalini ni nzuri na inahitajika sana, lakini namna ya utekelezaji wa dhamira yake hakuuanza vizuri.
“Juzi Rais Magufuli amepokea ripoti kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Angepaswa kuanza kuifanyia kazi ripoti hiyo ili kuepuka madhara kama yale ya kukamata meli ya uvuvi kwenye Pwani ya Dar es Salaam mwishowe serikali ikaingia gharama,” amesema Sheikh Ponda.
Ethics na intellectual integrity ndio tatizo kuuubwa kwa watanzania, si busara kumuattack mtu personally katika kila anachokisema, wakati mwingine inapaswa kutulia na kuyapima yale anayoyasema kwa mtazamo wa 3D, maoni ya ponda haya ni ya kawaida mno!! Na yana logic sana!
Kuna mtu mmoja anasema magu anatumia ripoti za CAG za miaka iliyopita, kwa taarifa tu, ripoti ya mwaka jana ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ilionyesha kuwa wizara ya ujenzi ndio iliboronga kuliko zote na kuipa serikali hasara kubwa, mbona basi magu hajajitumbua yeye wala makatibu wakuu wa wizara yake?!😱
Kwahiyo ni ukweli kuwa magu anachokifanya ni aina flani ya ambush tu, ambayo kimsingi sio nzuri, maana kuna watu wameajiriwa ili kufichua maovu kama hayo ili yeye na serikali yake wayachukulie hatua, sasa kama yeye kageuka kuwa mfichuaji wa maovu (jambo hili si baya) aliowaajiri kufanya kazi hiyo nao si ni kama wanakula mishahara hewa tu🙄🙄
Sijawai kumuelewa mzee ponda ila katika hili nahisi yuko sahihi kwa asilimia zote.
Kwani wanasiasa wananemboAmekuwa mwanasiasa sasa
SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, amekosoa utendaji wa Rais John Magufuli, hasa dhana ya kutumbua majipu, akisema ina kasoro za kiutawala.
Akizungumza leo, Sheikh Ponda amesema utendaji wa Rais Magufuli ni wa kulipualipua.
“Ni kweli kwenye serikali kulikuwa na matatizo mengi, lakini lazima utaratibu kamili wa kuchukulia watu hatua ufuatwe,” amesema na kuongeza:
“Huwezi kuchukulia hatua watu bila kuwa na ripoti ya kitaalamu. Huko ni kufanya kazi kwa kulipuka.
Watanzania watafurahi zaidi kama serikali haitaingia hasara kutokana na kazi hiyo iliyo na shaka katika utekelezaji wake.”
Amesema ingekuwa bora kwa Rais Magufuli kusubiri ripoti za wataalamu wake, na si ‘kutumbua majipu’ kabla ya kupata ripoti.
Anasisitiza, “Jambo hili halipo sawa hata kidogo.”
Anasema dhamira ya kurejesha nidhamu serikalini ni nzuri na inahitajika sana, lakini namna ya utekelezaji wa dhamira yake hakuuanza vizuri.
“Juzi Rais Magufuli amepokea ripoti kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Angepaswa kuanza kuifanyia kazi ripoti hiyo ili kuepuka madhara kama yale ya kukamata meli ya uvuvi kwenye Pwani ya Dar es Salaam mwishowe serikali ikaingia gharama,” amesema Sheikh Ponda.
Nchi hii dini na siasa sijui tutafaikaAmekuwa mwanasiasa sasa
Ha! Ha! Haa!!! eee bhana ile kesi ya masamaki inaendeleaje ? ushujaa wa ponda unakuja baada ya kuikosoa serikali hadharani , si kitu rahisi .Shujaa wa nini?