Huna sababu yoyote ya kunitukana miye nmeuliza Sheikh Ponda amekamatwa kwa sababu gani?.. Hivi wewe umeona taabu gani kunambia anahusika na mauaji ya Mbagala? nimesema mimi nsijui sababu na ningeomab nielezwe tayari mnaona ni mshabiki kwa sababu tu mnajua Mkandara ni Muslaam. Ningekuwa nauliza kukamatwa kwa Dr.Slaa msingeyasema yote haya. Na kama ungesema unachokifahamu wewe kuhusu kukamatwa kwake ungepoteza nini? au unajua fika hujui sababu isipokuwa unajaribu kuaminisha watu hapa JF kuwa Sheikh Ponda anahusika na mauaji ya Mbagala? Ni swali dogo sana niliuliza niitaka nijue maana tayari nyie mmeisha anza kufanya kampeni za Kidini kuwafanya watu waamini jambo ambalo hamlijui wala hamna Uhakika.
sijakuelewa kabisa mkuu hoja zako kwamba watu waujue uislam ndo wa argue...wewe pia umeargue, mfano hapo kwenye red.., una hakika napo? na kwenye blue pia, je wewe unaujua ukristo ndipo ukaargue? umefanya yaleyale unayofikiri ulitaka kuyatolea hoja yasifanywe..in short umefanya poor argument, sory kama nimekuattack..nlitaka kukurekebisha ili uwe na hoja ya msingi zaidi
kwani hakuna maaskofu/mapadre mashoga?
kwani hakuna makanisa yaliyobariki ushoga?
Basi siyo kosa lenu. Na hapo kwenye RED mbona wapo wengi
kule Uarabuni na maeneo yote ambayo Waarabu wamekaa au
kutawala?...
Dua la kuku...Mimi Nafikiri na yule kiongozi wa Kisiasa aliyetamka haya '' TUTAHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI.HATUMTAMBUI RAIS NA NGUVU YA UMMA ITAITOA SERIKALI MADARAKANI ''
Na huyu nane akamatwe kama Shahe Ponda kwa kosa la uchochezi?
hiyo haithibitishi kwamba ukristo ni ushoga, na hata kama mtu akibariki, haimaanishi ni baraka za hiyo dini, au ukristo...bali wakati mwingine dhehebu mojamoja...tukiangalia kwenye misingi ya ukristo, ushoga haumo, hauungwi mono, wala hautakiwi...kwa hiyo hiyo ni sawa na kusema uislam ni ugaidi..simply kwa sababu ya waislam wachache kuwauwa wenzao kwa mabomu...kwani hakuna maaskofu/mapadre mashoga?
kwani hakuna makanisa yaliyobariki ushoga?
Mimi Nafikiri na yule kiongozi wa Kisiasa aliyetamka haya '' TUTAHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI.HATUMTAMBUI RAIS NA NGUVU YA UMMA ITAITOA SERIKALI MADARAKANI ''
Na huyu nane akamatwe kama Shahe Ponda kwa kosa la uchochezi?
Dah kuwa mjinga ni kosa lkn kujifanya unajua alafu mjinga ni........
mganga wa kienyeji qoran inasemaje juu ya upendo na kusamehe
Kwa kuongezea tu ningependa ndugu zangu wakristu wafahamu kwamba ndani ya Uislaam watu wote duniani wanaitwa UMMAT MUHAMMAD yaani umma wa mtume Muhammad (S.W.A) - sisi ni jamii moja ndani ya Uislaam... Hivyo hao Masheikh Uchwara wanaofundisha ama kueneza Udini muwakemee sana maana hawajui walisemalo..Nakushukuru kwa swali lako. Kwanza kabisa ningependa kusema hivi.
Napenda kukuhakishia, uislamu na waislamu hawana chuki na ukristo na wakristo. Wala hatufundishwi kufanya hivyo. Napenda nikuahidi, mimi nataka kuanza mafunzo maalum kusisitizia kutokua na uhasama na wasio kua waislamu.
Baadhi ya viongozi wa makanisa, huwafundisha kwa siri sana waumini wao kuuchukia uislamu. Ndio maana vijana wengi wa kikristo hua na chuki kisirisiri dhidi ya uislamu.
Hufundishwa kuutakana na kuukashifu uislamu wakati sisi tunafundishwa kuto kumtakana nabii issa (yesu kristo), wala vitabu vya mwenyezi mungu zaburi, taurati na injili.
Uislamu unatufundisha kuishi na wasiokua waislamu kwa wema, kushirikiana katika mambo yanayo mpendeza mungu, na kuwalinda kwa mali zetu na nafsi wanapokua sisi ndio wenye dhamana ya kufanya hivyo.
Kwa hiyo waislamu wanaweza kupigana jihadi kuwalinda wasio kua waislamu ikibidi kufanya hivyo. Maana ni jukumu la waislamu kuhakisha kua kiumbe yoyote wa mungu hadhulumiwi haki yake.
Tatizo ni viongozi wachache wa kikristo ambao hutumia madhabau kujinufaisha na kupanda mbegu za chuki katia jamii hizi mbili.
Hua sisi tunasisitiza kuwaambia majirani zetu kua, yesu sio mungu, mungu sio watatu na wala yesu sio mwana wa mungu (ki-biolojia).
Hua tunalithibitisha hilo kwa maandiko yale yale yalioko ndani ya biblia.
Waislamu wote wanajua utukufu wa qur-an tukufu. Kwa hiyo yoyote atake ifanyia kitendo cha dharau, hata watoto wanaweza kumhukumu.
mganga wa kienyeji katishie ukoo wako!! Pathetic! Kama amekosa aadhibiwe kama mwanadamu yeyote yule, na kama hana hatia aachiwe! Period! Usitake kutisha tisha watu!
mganga wa kienyeji,
wewe jamaaa, umejifunzia wapi kutisha mtu? Unadhani nyie ndo wenye mikono tu? Unadhani wakristo hawapo wenye miguu? Unataka sema whole tanzania is for u guys? Mbona kwetu musoma idadi yenu hata haiwezi tambulika? Usitutishe maaana hatuogopi na usipo kaa sawa maafa yakitokea usijikute we wa kwanza kulala horizontal...maana we wont keep quite bt we gonna start resisting....ila kwa usalama wa taifa tume pozi tu...ila ponda lazima hatiwe hatiani...kwanza nani mkuu ponda ama simba? Mbona hana nidhamu huyu mtu? Halafu nackia sio mbongo? Ila kwakweli inabidi tupeleke vijana wetu katika elimu dunia ili wasitumiwe katika kuiangusha nchi yao kama wajinga..
mkuu, hata mkichoma makanisa yote hakuna siku mtaona mkristo anaenda kuchoma msikiti in revenge. It is below their dignity, na dini yao imekataza revenge 'as revenge belongs to the lord'.
Hata mkiwaburuza wakristo na kuwauwa au kuchoma nyumba zao na biashara zao, hakuna siku mtaona wakristo wakifanyia waislamu maovu. It is below their dignity. You are mistaken ku assume ya kwamba kila mtu asiye kuwa muislam ni mkristo, ati chochote kikifanywa na mtu asiye kuwa muislam kitakuwa ni mkristo amekifanya kwa hiyo lazima wakristo to suffer for it. That is petty and uonevu.
Duniani kuna imani nyingi na watu wengi zaidi hawafuatilii imani za kidini. Waislamu kuwa wanawachukulia wakristo kama adui siku zote ni kitu hakielezeki, it makes no sense. Labda utueleze wewe kwa kuwa unaonekana kuna kitu unachokifahamu. Nyie mnao hubiri fujo mtawatoa waislamu wapenda amani kwenye hiyo dini. Hakuna siku mtaona wakristo au dini yeyote ikiandamana against waislamu au dini nyingine. Inafaida gani? Mkristo hana ubaguzi lakini nyie mna leta kwamba dunia yote is against islam. For what? Kwani kuna mtu amekatazwa kuwa muislam kama akiona inafaa?
Amani tanzania is at risk kwasababu ya watu kama wewe. Ni bora vita vya ukabila kuliko vya dini na wanaofaidi hizi fujo sio waislamu au wakristo, ni walala hoi ambao hata dini hawaijui na hawana kazi za kufanya ila kutafuta nafasi za kufanya looting. Acheni chuki isio kuwa ya kibinadamu na isio kuwa na sababu za msingi.
huyu anashi nchi gani? Iran!
With this kind of brain, what can you do with it?
Safari hii jiandaeni kushikilia kanzu zenu, tumechoka!
hata sadam hussein na osama walikuwa na mikwara kama hii, sembuse hichi kiponda!!