SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 2,603
- 4,028
Du!.... sasa itakuaje?
Ili kuifunika chadema yule aliyetoka hospitali juzi Kwa kupigwa kitu kizito na huyu alitoroka na kuwaacha polisi kwenye jengo la kabisa.Lazima igizo libadilike liwe kama hivi.Huyo huwa anaalikwa katika mikutano ya vyama vya siasa hasa vya upinzani lakini sidhani kama ni mpenda kuwa mwanachama wa chama chochote.
Mwaka 2020 alizunguuka nchi nzima kumnadi Lissu kwenye kampeni za urais.
Mleta mada umeweka picha tu bila ushahidi.
Sasa hivi milio itaanza asichanganye Siasa na Dini Wakati waumini ni wanasiasa,kama wanataka hivyo bas wanasiasa wote wasiwe waamini,Siasa ndiyo iwe dini YaoKatibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 ametangazwa kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
===
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 anatarajiwa kutangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda atatangaza uamuzi huo mbele ya viongozi waandamizi wa chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyikia makao makuu yake, Magomeni jijini Dar es Salaam.
Tayari ACT-Wazalendo imetoa matangazo ya kuonesha kuna ‘mwamba’ ambaye atajiunga nao. Kumekuwa na maswali mengi ni kiongozi gani huyo?
Sheikh Ponda anatarajia kujiunga pamoja na watu wengine wanaomuunga mkono na huenda akawa miongoni mwa wale watakaoomba ridhaa ya kuwania ubunge katika moja ya majimbo jijini Dar es Salaam.
Chanzo Mwananchi
Shekhe umeende sipo,sijui kama unaujua ukweli wa hicho chama
Ili kuifunika chadema yule aliyetoka hospitali juzi Kwa kupigwa kitu kizito na huyu alitoroka na kuwaacha polisi kwenye jengo la kabisa.Lazima igizo libadilike liwe kama hivi.
Karibu nchini..Shekh ponda ni nani? Kwenye nchii hii
Sidhani, halafu siyo figure sahihi. Hauziki.Mgombea urais
Kuna wakati ilisemekana ni mrundiKatibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 ametangazwa kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
===
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 anatarajiwa kutangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda atatangaza uamuzi huo mbele ya viongozi waandamizi wa chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyikia makao makuu yake, Magomeni jijini Dar es Salaam.
Tayari ACT-Wazalendo imetoa matangazo ya kuonesha kuna ‘mwamba’ ambaye atajiunga nao. Kumekuwa na maswali mengi ni kiongozi gani huyo?
Sheikh Ponda anatarajia kujiunga pamoja na watu wengine wanaomuunga mkono na huenda akawa miongoni mwa wale watakaoomba ridhaa ya kuwania ubunge katika moja ya majimbo jijini Dar es Salaam.
Chanzo Mwananchi
hahahahahaah sasa mbona unakasirika ! huwezi kuelewa hilo kwa kusoma katiba ya chadema. chadema iko hold na liberal ideology........kasome liberalism ni kitu gani halafu ukuje hapa.Unaliwa nini mndukun umesoma katiba ya chadema kuna sehem wanasapot hayo mambo mse,,,ng ww
Acha ufalahahahahahaah sasa mbona unakasirika ! huwezi kuelewa hilo kwa kusoma katiba ya chadema. chadema iko hold na liberal ideology........kasome liberalism ni kitu gani halafu ukuje hapa.