PreGE2025 Sheikh Ponda ajiunga rasmi na ACT Wazalendo

PreGE2025 Sheikh Ponda ajiunga rasmi na ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 ametangazwa kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

1749120882533.png

1749121004436.png

1749121026806.png

1749121046389.jpeg
===

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 anatarajiwa kutangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

1749116651199.png
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda atatangaza uamuzi huo mbele ya viongozi waandamizi wa chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyikia makao makuu yake, Magomeni jijini Dar es Salaam.

Tayari ACT-Wazalendo imetoa matangazo ya kuonesha kuna ‘mwamba’ ambaye atajiunga nao. Kumekuwa na maswali mengi ni kiongozi gani huyo?

Sheikh Ponda anatarajia kujiunga pamoja na watu wengine wanaomuunga mkono na huenda akawa miongoni mwa wale watakaoomba ridhaa ya kuwania ubunge katika moja ya majimbo jijini Dar es Salaam.

Chanzo Mwananchi
 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 anatarajiwa kutangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda atatangaza uamuzi huo mbele ya viongozi waandamizi wa chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyikia makao makuu yake, Magomeni jijini Dar es Salaam.

Tayari ACT-Wazalendo imetoa matangazo ya kuonesha kuna ‘mwamba’ ambaye atajiunga nao. Kumekuwa na maswali mengi ni kiongozi gani huyo?

Sheikh Ponda anatarajia kujiunga pamoja na watu wengine wanaomuunga mkono na huenda akawa miongoni mwa wale watakaoomba ridhaa ya kuwania ubunge katika moja ya majimbo jijini Dar es Salaam.

Chanzo Mwananchi
Kila laheri Sheikh Ponda.
 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 anatarajiwa kutangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda atatangaza uamuzi huo mbele ya viongozi waandamizi wa chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyikia makao makuu yake, Magomeni jijini Dar es Salaam.

Tayari ACT-Wazalendo imetoa matangazo ya kuonesha kuna ‘mwamba’ ambaye atajiunga nao. Kumekuwa na maswali mengi ni kiongozi gani huyo?

Sheikh Ponda anatarajia kujiunga pamoja na watu wengine wanaomuunga mkono na huenda akawa miongoni mwa wale watakaoomba ridhaa ya kuwania ubunge katika moja ya majimbo jijini Dar es Salaam.

Chanzo Mwananchi
Mgombea urais
 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda leo Alhamisi, Juni 5, 2025 anatarajiwa kutangaza kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.

Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda atatangaza uamuzi huo mbele ya viongozi waandamizi wa chama hicho katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyikia makao makuu yake, Magomeni jijini Dar es Salaam.

Tayari ACT-Wazalendo imetoa matangazo ya kuonesha kuna ‘mwamba’ ambaye atajiunga nao. Kumekuwa na maswali mengi ni kiongozi gani huyo?

Sheikh Ponda anatarajia kujiunga pamoja na watu wengine wanaomuunga mkono na huenda akawa miongoni mwa wale watakaoomba ridhaa ya kuwania ubunge katika moja ya majimbo jijini Dar es Salaam.

Chanzo Mwananchi
Aiseeh nae anaamini atapata Jimbo lolote??
 
mkiambiwa hamsikii, kwa nini hajajiunga na chadema? act ni cuf b ambapo ipo kwa ajili ya kulinda na kutetea maslahi ya waislamu wa tanzagiza, wapi a Christian party? mnaona haya? oh nilisahau ninyi ni civilized na mmekwenda shule, sawa btw msisahau kuwatakia idi na mfungo mwema wa Ramadhani kareem …
 
Huyo huwa anaalikwa katika mikutano ya vyama vya siasa hasa vya upinzani lakini sidhani kama ni mpenda kuwa mwanachama wa chama chochote.

Mwaka 2020 alizunguuka nchi nzima kumnadi Lissu kwenye kampeni za urais.

Mleta mada umeweka picha tu bila ushahidi.
 
mkiambiwa hamsikii, kwa nini hajajiunga na chadema? act ni cuf b ambapo ipo kwa ajili ya kulinda na kutetea maslahi ya waislamu wa tanzagiza, wapi a Christian party? mnaona haya? oh nilisahau ninyi ni civilized na mmekwenda shule, sawa btw msisahau kuwatakia idi na mfungo mwema wa Ramadhani kareem …

naona umeumia sana KAMANDA
 
Back
Top Bottom