OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
sure Magaidi lazima wavunjwe uti wa mgongo haraka iwezekanavyo!Mnajulikana tu.
sure Magaidi lazima wavunjwe uti wa mgongo haraka iwezekanavyo!Mnajulikana tu.
Mawazo na maoni ya mwanachama au mfuasi wa chama siyo ya chama, ila wewe una mawazo ya udini sana. Nachukia sana tukio kama hili la Ponda vinaingizwa vyama kwa nini? Ponda ktk harakati zake aliwahi kushirikian na chama chochote? Ni vizuri kila mtu ahukumiwe kwa matendo yake.
Leo hii hata Safari wa chadema akipigwa risasi mimi ntakuwa upande wake, kumbuka kuwa Waislaam ni kama kiwiliwili kimoja. Haya mambo ya siasa ni ya kupita tu.
Kuna kila sababu kuwa upinzani una mkono katika hili.
chama huwa kinajengwa na watu.zimebaki siku chache tutaweka kila kitu hadharani kuhusu chama chenu.
Hakuna anayelalamika wala kukukataza kuandika ni haki yako ya kikatiba.sasa mnalalamika nini? kifo cha gaidi ni ibada kwa shetani sio kwa mungu aliye hai!
Kwenye andiko langu umeliona neno lolote chadema au ukristo? haya unayaingiza wewe, hujui imani yangu, hujui chama nachokiunga mkono, point nayosisitiza hapa ni kuwa magaidi wasifumbiwe macho wawe wakristu, waislamu chadema, CUF au NAREA,..Sina chuki na waislamu nina chuki na magaidi!Hivi kwa nini nyie wafuasi wa Chadema mna chuki sana Waislam? Msidhani Wakirsto peke yenu ndiyo mtafanikiwa kutawala nchi kupitia Chadema bila Waislam, acha chuki.
Cc: Ben Saanane,
chama huwa kinajengwa na watu.zimebaki siku chache tutaweka kila kitu hadharani kuhusu chama chenu.
Wewe mnafiki sana hivi hauonh wafausi wa Chadema wanavyokejeli mpaka wanamuita Ponda gaidi bora wangemuuwa.Kuna watu wa ajabu sana humu jf, suala la kupigwa shekh ponda si la kufurahisha kwa mtu yeyote, hata kama ana makosa si sawa kuchukua sheria mkononi dhidi yake.
Sasa mnaokuja na suala la CHADEMA na UDINI mnahusisha vipi na tukio hili? Ni CHADEMA wamemdhuru au ni DINI flani?
Hata kama tunatumwa kutetea maslahi ya watu flani na kupotosha ukweli yatupasa muda mwingine kutumia ubinadamu.
Yamkini mnakua mmetumwa ili kupotosha mada, watu waache kujadili dhima kuu ya habari na wajadili kile mnachopindisha, siku moja mtakosa wa kupindisha maana habari itawahusu ninyi. Ritz, FaizaFoxy
m.facebook.com/TAJOA?refid=28&_ft_=qid.5910730000495572446%3Amf_story_key.-2878228964847103542
kuna baadhi vinareport hv, jamani hii nchi ipo wapi saiz na tunaenda wapi!?
Imani yako nione mara ngapi? Wewe si umesema damu ya Padri Mushi bado ipo moyoni kwako, ndiyo maana unataka Ponda auwawe au akatwe kichwa utadhani wewe utaishi milele.Kwenye andiko langu umeliona neno lolote chadema au ukristo? haya unayaingiza wewe, hujui imani yangu, hujui chama nachokiunga mkono, point nayosisitiza hapa ni kuwa magaidi wasifumbiwe macho wawe wakristu, waislamu chadema, CUF au NAREA,..Sina chuki na waislamu nina chuki na magaidi!
Wewe Ajuza utakesha sana hapa leo kutetea Gaidi lakini haitosaidiaKwa hiyo nyinyi ndio mawakili wa Ponda? au mnafikiri mkisema hivyo ndio ukweli utajificha?
Acha kupotosha unataka kutuambia CCM hakuna Wakirsto na Chadema hakuna Waislam? Ponda na CCM wapi na wapi.Haya ndiyo madhara ya waislamu kuikumbatia CCM-Bakwata,yatakiwa kupima faida za uwepo wa CCM na hasara zake kwa waislam,Hasara ni kubwa zaidi kuliko hasa ukizingatia CCM kufurahia mgawanyiko wa waislamu kukosa taasisi yenye nguvu na inayounganisha taasisi zote za kiislam tanzania