Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ameachiwa kwa dhamana leo Julai 20 baada ya kushikiliwa na Polisi kuhojiwa kuhusu waraka wa Mwongozo wa Uchaguzi Tanzania Oktoba 2020.
Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alisema wanamuhoji kwa waraka uliotolewa hivi karibuni na Taasisi yake ambao viongozi wote wa Taasisi hiyo waliukana.
Soma: Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi
Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alisema wanamuhoji kwa waraka uliotolewa hivi karibuni na Taasisi yake ambao viongozi wote wa Taasisi hiyo waliukana.
Soma: Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi