The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,058
unaongea kama umekalia kigogo , ulitaka polisi wazuie vipi kamanda mawazo kuagwa zaidi ya walivyofanya na kuumbuliwa na mahakama?
Siwezi kukulaumu, sijui uwezo wa akili yako.
unaongea kama umekalia kigogo , ulitaka polisi wazuie vipi kamanda mawazo kuagwa zaidi ya walivyofanya na kuumbuliwa na mahakama?
nilisema kuwa haki yake mwenye haki itakuwa juu yake.na narudia tena kama kiwanja kilikuwa wakfu kitarudi tu.maana wakfu haiuzwi.Mungu ni mwema!!mahakama ziendelee kusimamia haki ,na uhakika tutafika!!
Kanyanyaswaje? Fidia ya nini?
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.
kale bata na familia yako, Magufuli kakuona bado babu seya
Afadhali awe huru .
Atulie sasa na afuate sheria.
Siku nyingine ushahidi " utatosha"
Naamini anaweza kudai fidia sasa....Wamemnyanyasa sana mzee wawatu.....
Ameshaonywa kwa kukaa mahabusu harudii tena
Niliwahi kusema hapa Jukwaani kuwa Ponda baada ya Uchaguzi Mkuu ataachiwa huru.
ShEikh Ponda alianza kuisumbua serikali toka enzi za Mwinyi, akaja Mkapa akaja Jk wote wamemshindwa, sasa ni zamu ya Ngosha, tuone kama ataweza.
Anahusika kwani Mh. JPM hapendi dhuluma na anapenda Haki tu. Ndiyo maana kaachiwa.
Kama anaweza kuthibitisha malicious prosecution anaweza kupata fidia, lakini kwa mtazamo wa awali tu kesi hiyo itakuwa ngumu kuthibitisha mahakamani.
We ole wake acheze na dola ya JP maana haina masihara hatakidogo....najua na yeye analitambua hilo
Ulitupia Uzi mkuu kama wa mafish au coz pale ulinikonga sana na forecast yako.
Hapa kwa Ponda ulitumia vigezo gani mkuu
ikiwa walimshitaki kimagumashi itakuwaje.....???
Magufuli hapendi dhulumati na kulipiza kisasi kama yule mwingine.
JPM yuko buzy na wakwepa kodi!, anajua huyu bwana ni mcha Mungu.
Kweli hii kasi imeleta mabadiliko makubwa sana kwa watumishi wa umma, kila mmoja anajitahidi kufuata taratibu na kutenda haki katika eneo lake ili kujiepusha na balaa. Mambo mengi yalikua yanafanyika kwa kuwafurahisha wakubwa au kwa maslahi ya watu flani, hata msiba wa Mawazo polisi wangezuia na kusingetokea chochote.
Sasa hivi lika mtu anatathmini na kuthaminisha maamuzi yake kabla ya kufanya chochote isije ikamrudia.
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.
Wakati mwingineee tumiaaa akili sio maviii hayoo unatoaaa mdomoni
Wakati mwingineee tumiaaa akili sio maviii hayoo unatoaaa mdomoni
Baba yako akitoa mavii mdomoni unadhani ni kila mtu. Muulize mama yako, anajua habari zangu baada ya kumkimbia baba yako na mavii yake mdomoni.
Akupe za uso mwengine, utukane wazee wake.
Haya ndio matatizo ya kulelewa bila wazazi. Wewe hata kulaumiwa ni kukuonewa tu.
Laiti ungelelewa ndani ya familia usingeongea haya. Kukulia mitaani ni shidaa.
Yeye akitukana unaona sawa?