Sheikh Ponda aachiwa huru

Sheikh Ponda aachiwa huru

JPM yuko buzy na wakwepa kodi!, anajua huyu bwana ni mcha Mungu.
 
Kweli hii kasi imeleta mabadiliko makubwa sana kwa watumishi wa umma, kila mmoja anajitahidi kufuata taratibu na kutenda haki katika eneo lake ili kujiepusha na balaa. Mambo mengi yalikua yanafanyika kwa kuwafurahisha wakubwa au kwa maslahi ya watu flani, hata msiba wa Mawazo polisi wangezuia na kusingetokea chochote.

Sasa hivi lika mtu anatathmini na kuthaminisha maamuzi yake kabla ya kufanya chochote isije ikamrudia.
 
ShEikh Ponda alianza kuisumbua serikali toka enzi za Mwinyi, akaja Mkapa akaja Jk wote wamemshindwa, sasa ni zamu ya Ngosha, tuone kama ataweza.

Ngosha hana masikhara
 
Anahusika kwani Mh. JPM hapendi dhuluma na anapenda Haki tu. Ndiyo maana kaachiwa.

Acha uongo!hukumu ilishaamdaliwa kabla ya kuapishwa magufuli,kilichokuwa kibasumbua ni hakimu alitoa udhuru tangia tar.19/10/2015,magufili hapa hausiki hata kidogo!
 
Hivi kila ukishinda kesi unaruhusiwa kudai fidia?
Honestly, kama mahakama imemkuta hana hatia, hapakuwa na justification yoyote kumweka mahabusu miezi yote hiyo. Anastahili, na aidai serikali fidia.
 
Haya sasa mazoezi Mtambani Ilipo lala itikadi Twende kazi Maalim Ponda Mwanaakati
 
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.
 
Akate rufaa ya hukumu yake kwa kudai fidia ya mateso na kutengana na familia yake
 
ShEikh Ponda alianza kuisumbua serikali toka enzi za Mwinyi, akaja Mkapa akaja Jk wote wamemshindwa, sasa ni zamu ya Ngosha, tuone kama ataweza.
Mungu yuko upande wake. Ile risasi Morogoro ililengwa kummaliza.
 
Maa mc hawaniwezi hasilani,
Wamenikuta morogoro wamenipiga ya begani,
Usiulize nani,
Niponde nisiponde ......???
Maalim Ponda??
 
Toka awekwe ndani matukio ya tindikali yamepungua kama sio kuisha. Natumaini ataishi bila chokochoko.
Kuna mwenzake Kenya aliitwa Makaburi. Baada ya serikali ya Kenya kuchoka issue zake wakafanya yao. Angalau kumetulia.

Nadhani humjui vizuri Sheikh Ponda, miaka vyote harakati zake nilikuwa dhidi ya bakwata.
 
kale bata na familia yako, Magufuli kakuona bado babu seya

Hajaachiwa na JPM bali mahakama. Rais haingilii maamuzi ya mahakama. Akileta mchezo siku nyingine tunaswaga tena ndani
 
Back
Top Bottom