Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
Sheikh Mohammed hivi hiki kitabu cha Sivalon cha Kanisa katoliki na siasa za Tanzania kinapatikana wapi?
Gamba,
Hiki kitabu kwa sasa ni kama kimetolewa katika mzunguko baada ya kujulikana kuwa kimeeleza mengi katika njama za kuwakandamiza Waislamu na Uislam wenyewe. Lakini mara moja moja huwaona wauza vitabu nje ya misikikiti wakiuza fotokopi ya kitabu hicho. Wauzaji wa kitabu hicho walikuwa Cathedral Bookshop.
 
Mgen,
Mimi si wa kulialia chembelecho.

Mimi nafahamika kwa kuandika kazi za kitafiti.

Nashukuru kuwa Allah kwa rehema zake hakunijaalia hilo.

Ikiwa utataka naweza kukuwekea vyuo nilivyohadhiri, vitabu nilivyoandika pamoja nä "paper" na miswada ambayo bado haijachapwa.

Nä nina blog maarufu sana: www.mohammedsaid.com

Ingia ushuhudie historia ya Tanganyika na picha ambazo nina hakika bado hadimu kwa wengi.
Ndio sababu ninakwambia bila shaka we we sio muisilamu?! Unaona unavyo jikweza eti unafahamika! nani anakufahamu wewe?¿ ni Heri mwenye Hekima akukemee kuliko wwewe na wajinga .100 wakushangilie?;
 
Tyupa Povu jingi la nini mkuu? Umeelezwa vizuri kwamba teuzi hazizidi watu 2000 sasa cha kujiuliza hakuna waislamu wasomi wazalendo 1000 nchi nzima wakapewa nafasi kubalance na wakristo 1000?? Wewe unakimbilia nigeria..!!

Lazima tutumie ratio ya output ya wakristu na waislamu kama walivyomaliza vyuo,kama kwa mwaka wakristu 40000 na waislamu 400 wanamaliza vyuo unategemea teuzi ziwe 1:2?????
 
Huyo sheikh ni mgonjwa wa akili na kwangu mimi waislamu ni walalamishi dunia nzima angalia Syria wanauwana kama mashetani kuna mla nguruwe huko?? Iraq, Lybia kwa sana ni kuchinjana tu kwenda mbele Wanabishana kila siku kama vichaa mimi muislamu akilalamika ni kama ananipigia taarabu, shule hawana lakini wanaataka madaraka makubwa na wakiyapata uongozi hawauwezi angalia shule zao linganisha na seminari hutahitaji digrii kujua kwamba waislamu ni wachovu katika management aina zote kuna moja hapa dodoma inaitwa hijra badala ya kusonga mbele imeshuka ina kidato cha nne tu form six wameondoa halafu eti bado wanalalamika. Mfano mdogo mwingine ni Zanzibar ni wao wa wao lakini Hamadi anahangaika usiku kucha kutaka Dr Shein aodoke madarakani eti uchaguzi haukuwa huru mhh. Kazi kwenu mpuuzeni huyo sheikh mchovu Sheikh mkweli na mwenye sifa zote za uongozi wa dini na Mungu amjalie maisha marefu kwa busara zake ni Sheikh wa mkoa wa DSM alhaji Musa Salumu ndiye sheikhe wa ukweli asiye mnafiki NARUDIA TENA Mwenyezi Mungu ampe MAISHA MAREFU SANA YENYE AMANI NA MAFANIKIO NA AFYA NJEMA.
Syria libya na iraq ni siasa lakini yamekuwa hivyo kutokana na siasa za ubaguzi. Ghadafi akipendelea kabila lake na watoto wake..akaujenga mji alozaliwa Sirte kwa nguvu zaidi na upendeleo.
syria nako kikundi kidogo cha Baath party kibatawala na waumini wa dini yao ya kishia. Kila sehemu wamejijaza wao na kupendeleana kama tanzania.
na huko iraq nao mbali ya kuingiliwa na wakristo lakini pia Sadam alibagua mashia ...aliwapendelea masuni na watu wa mji wa mji wake na nchi mpaka sasa imegawanyika ..
huu ni mfano mzuri ulotoa kuwa penye upendeleo basi unalea bomu ipo siku litalipuka
Waislam wakilalamika sio kuwabeza na kejeli nchii yetu sote . ujinga huu wa kuweka watu kwa kuangalia huyu wa dini yangu ndio umu tu cost sana . Tangu uhuru nchi ina kila kitu lakini haiendi. Tunashindwa na vijinchi vidogo.
walopendelewa wamevuruga wengi ndio mafisadi na uwezo wao una shaka .
 
Mantuki yako ni ya kiwango duni sana! Hiyo logic ni zao la division one za Kanisa,

Asiyefahamu kiwa 99% ya Wazanzibari ni Waislamu ni nani?!

Hapa Tanganyika tusaidie ratio yetu ipo vipi ?

Kwanza ni nini matokeo ya sensa ya mwaka 2012 !?

Miaka yote 50+ ambayo nyinyi wasomi wa kanisa mmekuwa mkiongoza Tanzania tunajivunia nini !?

Mkuu Tanzania bara tunaweza kuwa waislamu na wakristu 50% each,ishu iko kusoma,wakristu wakisoma 100 waislamu wanaosoma 10 unategemea nini hapo
 
Syria libya na iraq ni siasa lakini yamekuwa hivyo kutokana na siasa za ubaguzi. Ghadafi akipendelea kabila lake na watoto wake..akaujenga mji alozaliwa Sirte kwa nguvu zaidi na upendeleo.
syria nako kikundi kidogo cha Baath party kibatawala na waumini wa dini yao ya kishia. Kila sehemu wamejijaza wao na kupendeleana kama tanzania.
na huko iraq nao mbali ya kuingiliwa na wakristo lakini pia Sadam alibagua mashia ...aliwapendelea masuni na watu wa mji wa mji wake na nchi mpaka sasa imegawanyika ..
huu ni mfano mzuri ulotoa kuwa penye upendeleo basi unalea bomu ipo siku litalipuka
Waislam wakilalamika sio kuwabeza na kejeli nchii yetu sote . ujinga huu wa kuweka watu kwa kuangalia huyu wa dini yangu ndio umu tu cost sana . Tangu uhuru nchi ina kila kitu lakini haiendi. Tunashindwa na vijinchi vidogo.
walopendelewa wamevuruga wengi ndio mafisadi na uwezo wao una shaka .

Nchi nyingi Africa hazijaendelea ni kwa sababu ya dini zao?waislamu ktk nchi zao wamefanya nini zaidi ya kutegemea wazungu,shenzi zenu
 
Ukisoma hayo majina hapo juu waliofadhiliwa kwenda kusomea mafuta na gesi shahada Shahada ya uzamili na kampuni ya BG TZ,Asilimia 100% kati ya kumi ni wakristu,hapa maanake nini mzee wangu Mohamed Said????hakuna waislamu wenye sifa za kupata ufadhili au BG ni sawa na NECTA wanawapendelea wakristu?
Kwani kwenye application kulikuwa na kigezo cha dini?
 
TUTAOBA MENGI MIAKA HII MITANO.

SIJUI JAMAA AMEKOSEWA NN NA WAVAA KANZU?

INAONEKANA WASOMI HUMU NCHINI NI WALE WAVAA MASANAMU SHINGONI TU.
 
Mkuu Tanzania bara tunaweza kuwa waislamu na wakristu 50% each,ishu iko kusoma,wakristu wakisoma 100 waislamu wanaosoma 10 unategemea nini hapo

Mkuu hiyo 50/50 itokee wapi? Yaani chukua Arusha, Mwanza, Mara, Mbeya, Sumbawanga, Kilimanjaro, Ruvuma, Iringa, Dodoma, Songwe, Njombe n.k unaamini kweli itakuwa 50/50. Kwanza waruhusu tu kipengele cha dini kwenye sensa.
 
Always huwa nastaajabu sana wagalatia wanavyojinasibisha na usomi nchi hii maskin wa mawazo kabisa wakifananisha na waislam

Hivyo walichosoma ni nin hasa zaid zaid ya kusomea wizi tu na ubadhrifu wa mali za umaa?

Lets say its true wasomi wa kanisa wamesoma watueleze sasa miaka hamsin ya uhuru sasa elimu yao imeisaidia nin nchi hii?

Zaid zaid ya kuwa vibaka tuh huko serikalin
 
Ndio sababu ninakwambia bila shaka we we sio muisilamu?! Unaona unavyo jikweza eti unafahamika! nani anakufahamu wewe?¿ ni Heri mwenye Hekima akukemee kuliko wwewe na wajinga .100 wakushangilie?;
Mgen,
Wanaonifahamu ni hawa wafuatao:
Oxford University Press Nairobi na New York wamenishirikisha katika miradi na kuchapa kazi zangu. Mradi wa kusomesha Kiingereza Afrika ya Mashariki na Dictionary of African Biography.

Wanaonifahamu ni University of Ibadan, Kenyatta University, University of Iowa, Northwestern University, Zentrum Moderner Orient (Berlin), University of Johannesburg. Hawa ni katika mikutano natoa paper na kwengine kama visiting scholar.

Tusimame hapa kwanza na ukitaka tutaendelea kufahamishans.
 
Mkuu hiyo 50/50 itokee wapi? Yaani chukua Arusha, Mwanza, Mara, Mbeya, Sumbawanga, Kilimanjaro, Ruvuma, Iringa, Dodoma, Songwe, Njombe n.k unaamini kweli itakuwa 50/50. Kwanza waruhusu tu kipengele cha dini kwenye sensa.

Mbona umeishia mikoa hiyo tuh?

Twende Lindi Mtwara Pwani Morogoro Singida Tanga Dar es salaam Kigoma Na kadhalika?

Waislam walipokawa wanataka kipengele cha dini kwenye sensa mbona mavi yaliwagonga chu.pi
 
Nchi nyingi Africa hazijaendelea ni kwa sababu ya dini zao?waislamu ktk nchi zao wamefanya nini zaidi ya kutegemea wazungu,shenzi zenu

Africa wanaendelea na kutuacha. Sisi tunaendekeza ubaguzi kila secta. Dini sio tatizo ila linakua tatizo katika maendeleo kama unawapendela katika elimu hivyo wanapaa juu kumbe ni feki, master zao feki kichwani hamna kitu tunawapa nafasi na leo yumefika hapa tulipo. Zipo nchi za kiislam zimetulia na kwao employment ni eqaul opportunity. Wengine wamekuja juzi hapa hawana ila jangwa lakini tukawaomba uwanja dododma
 
Nchi nyingi Africa hazijaendelea ni kwa sababu ya dini zao?waislamu ktk nchi zao wamefanya nini zaidi ya kutegemea wazungu,shenzi zenu
Shenzi ni matokeo ya malezi ya wazazi wako au ni huko ulikosomea?!

Onyesha uelimikaji wako kwa kupinga kwa hoja!
 
Utakuta jitu zima linajiita profesa then linaenda kumpigia goti sanamu likimtukuza kuwa ni muumba wake then unataka kuniambia kuwa eti hilo jitu ni lisomi?
 
Mgen,
Wanaonifahamu ni hawa wafuatao:
Oxford University Press Nairobi na New York wamenishirikisha katika miradi na kuchapa kazi zangu. Mradi wa kusomesha Kiingereza Afrika ya Mashariki na Dictionary of African Biography (DAB ). Hii ya DAB nimefanya pamoja nä Harvard.

Wanaonifahamu ni University of Ibadan, Kenyatta University, University of Iowa, Northwestern University, Zentrum Moderner Orient (Berlin), University of Johannesburg. Hawa ni katika mikutano natoa paper na kwengine kama visiting scholar.

Tusimame hapa kwanza na ukitaka tutaendelea kufahamishana.
 
Nchi nyingi Africa hazijaendelea ni kwa sababu ya dini zao?waislamu ktk nchi zao wamefanya nini zaidi ya kutegemea wazungu,shenzi zenu

Unavo yukana badala ya kujenga hoja inaonesha kiwango gani cha elimu yako na malezi. Elimu ya kupendelewa kucopy copy mitihani..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom