Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
Nainua macho yangu
Nalilia hatma yangu
Tunu ya uhuru wangu
Twaenda dira gani?

Ubaguzi si mwema
Na si sifa ya uungwana
Hazikwepeki lawama
Hali kuisemea!

Je ni vipi vigezo
Tupewe maelezo
Hatutaki vya dezo
Haki twaulizia!

Kwenye kumi wanipa moja
Halafu wadai tuko pamoja
Ungali wajenga hoja
ufanyayo kutetea?

Tunataka haki sawa
Tunataka usawa
Hatutaki baguliwa
tujenge nchi pia!

Kama mwasema sisi duni
Tueleze mmefanya nini
Na twambieni kwa nini
Mambo haya kutokea?
 
Serkali haina dini,wanaoteuliwa kushika nyadhifa mbali mbali serkalini na raisi Maghufuli kinachozingatiwa ni sifa za ufauli wa masomo na sio DINI.Hapana ubishi wowote kuwa wakrito ni wengi zaidi kuliko Waislamu katika tasnia ya elimu.Wakristo wamewekeza zaidi katika elimu kuliko waislamu.Ufaulu katika shule za msingi na sekondari uko juu sana kwa Wakristo kuliko waislamu.Kwa hiyo basi hata wanafunzi wanaokwenda vyuo vikuu kwa wingi ni wa kikristo.Na hao ndio watakaokuwa wahitimu ambao watachaguliwa au kuteuliwa kushika nyadhifa mbali mbali serkalini.Waislamu popote walipo wamewekeza zaidi kwenye dini kuliko masomo ya kawaida.Hata huko Uarabuni ambako ndio chimbuko la Uislamu Waarabu wamewekeza zaidi kwenye dini kuliko kwenye elimu ya kawaida.Na hii imesababisha karibu nchi zote za Kiarabu ziwe tegemezi kwa Wazungu kwa maswala ya sayansi na teknolojia.Mahali popote alipo Mwarabu hawezi kutengeneza kitu chochote ambacho atakitumia katika maisha yake.Kila kitu Mwarabu anatengenezewa na Mzungu kwa sababu alikwepa shule tangu zamani.Kutokana na kupungukiwa na elimu ya kawaida Waislamu popote walipo duniani wamekuwa vinara wa vurugu na vita.Angalia Libya,Nigeria,Syria,Yemen, Iraq,Afghanistan,Somalia na kwingineko moto wa vita unawaka na wanakung'utana wenyewe kwa wenyewe.Huwezi kukuta mahali popote duniani Wakristo wana mzozo na kugombana wao kwa wao.Hoja za Sheikh Khalifa ni dhaifu sana na ahimize Waislamu wawekeze kwanza kwenye elimu na mambo ya uteuzi wa nafasi katika uongozi utakuja wenyewe kiulani.
 
Serkali haina dini,wanaoteuliwa kushika nyadhifa mbali mbali serkalini na raisi Maghufuli kinachozingatiwa ni sifa za ufauli wa masomo na sio DINI.Hapana ubishi wowote kuwa wakrito ni wengi zaidi kuliko Waislamu katika tasnia ya elimu.Wakristo wamewekeza zaidi katika elimu kuliko waislamu.Ufaulu katika shule za msingi na sekondari uko juu sana kwa Wakristo kuliko waislamu.Kwa hiyo basi hata wanafunzi wanaokwenda vyuo vikuu kwa wingi ni wa kikristo.Na hao ndio watakaokuwa wahitimu ambao watachaguliwa au kuteuliwa kushika nyadhifa mbali mbali serkalini.Waislamu popote walipo wamewekeza zaidi kwenye dini kuliko masomo ya kawaida.Hata huko Uarabuni ambako ndio chimbuko la Uislamu Waarabu wamewekeza zaidi kwenye dini kuliko kwenye elimu ya kawaida.Na hii imesababisha karibu nchi zote za Kiarabu ziwe tegemezi kwa Wazungu kwa maswala ya sayansi na teknolojia.Mahali popote alipo Mwarabu hawezi kutengeneza kitu chochote ambacho atakitumia katika maisha yake.Kila kitu Mwarabu anatengenezewa na Mzungu kwa sababu alikwepa shule tangu zamani.Kutokana na kupungukiwa na elimu ya kawaida Waislamu popote walipo duniani wamekuwa vinara wa vurugu na vita.Angalia Libya,Nigeria,Syria,Yemen, Iraq,Afghanistan,Somalia na kwingineko moto wa vita unawaka na wanakung'utana wenyewe kwa wenyewe.Huwezi kukuta mahali popote duniani Wakristo wana mzozo na kugombana wao kwa wao.Hoja za Sheikh Khalifa ni dhaifu sana na ahimize Waislamu wawekeze kwanza kwenye elimu na mambo ya uteuzi wa nafasi katika uongozi utakuja wenyewe kiulani.

Hii hoja ya kuwa Waislamu hawawezi kuteuliwa kwa wingi eti kwamba hawana elimu haina mashiko, kwa sababu idadi ya teuzi zenyewe haijafika hata watu 2000, sasa usiniambie hapa bongo hakuna waislamu 1000, wazalendo, wenye elimu ya digree na kuendelea, waaminifu na wachapakazi!

Hii propaganda ya Elimu ni muflisi tafuta nyingine mkuu!
 
Sasa uzushi na uwongo Wa huyo shehe u wapi? Mtu kaongea kwa data na confidence alafu unamuita muongo na mzushi? Punguza mahaba aisee,. Tukubaliane kutokubaliana
 
Kama kuna Waislamu 1000 wenye sifa basi ni lazima utakuta Wakristo wenye sifa wako zaidi 100,000.Tumekuwa tunashuhudia miaka yote wanafunzi wa kiislamu shule za sekondari wakishika mikia.Kwa hiyo hapa sio propaganda waislamu popote walipo kielimu wako nyuma sana.Hebu angalia kule Nigeria Waislamu wa Boko haramu wanaishinikiza serkali isifuate mitaala ya elimu ya nchi za magharibi au ulaya.Wanataka mitaala ya elimu ya Kiarabu wakati Mwarabu hawezi kutengeneza hata pini ya kufungia napi.Ukisikia maajabu ya ulimwengu ya Waislamu wa Boko Haramu wanatisha na kushangaza.
 
Tyupa Povu jingi la nini mkuu? Umeelezwa vizuri kwamba teuzi hazizidi watu 2000 sasa cha kujiuliza hakuna waislamu wasomi wazalendo 1000 nchi nzima wakapewa nafasi kubalance na wakristo 1000?? Wewe unakimbilia nigeria..!!
 
Povu jingi labda nafulia omo,idadi ya kitu chochote kidogo ikichanganywa na idadi ya kitu kingine chochote kikubwa kwa mfano M achungwa 1,000 uchanganye na ma apple 100,000 kwenye vyombo kimoja halafu uanze ku- pick kwa mfumo systematic sampling au random sampling utakuta ume -pick yale yaliomengi kwa wingi zaidi kuliko yale machache.Hapo huwezi kubalance ukapata machungwa na ma-apple idadi sawa.Wakristo ni wengi na waislamu ni wachache kwa hiyo unapoteua lazima waliowengi ndio watachukuliwa kwa sababu ndio wanaoonekana zaidi.Na zaidi ya hapo serkali haina dini kwa hiyo balance hapa ni incompatible.
 
Wasomi wa kiislam wapo. Mbona Kikwete aliwapata wengi tu.
Kwa ufupi sasa hivi wanatolewa .
Juzi wameteuliwa wenyeviti wa bodi saba. Wote wakristo na alitekua DPP amekua demoted to mkuregenzi wa halmashauri.lakini ndo Tz kila zama ina vituko vyake ila sasa vimezidi
 
...Ni kiongozi aliyeshindwa kuficha chuki dhidi ya WAISLAM.....nadhani pia anapewa maagizo toka kwa wale wanao mzunguuka....NI MDINI 100%.

Namuunga mkono Sheikh Khalifa.
Huyu atakuwa faizafoxy. Mchana yupo lumumba usiku yupo mitandaoni anaeneza chuki za dini dhidi ya serikali ya magu.
 
We nawe ni wale wale tu... huna tofauti yoyote! Ikiwa unaamini hizo zaidi ya 75% kwa kila sekta ni kwa sababu Wakristo ni wasomi na Waislamu hawajasoma basi wala hauna tofauti yoyote na huyo Sheikh... narudia; we nawe ni wale wale tu! Patamu zaidi, inawezekana nawe unajiona ni mmoja wa hao wasomi ingawaje unashindwa kutofautisha kati ya "suala" na "swala!" Unapachika herufi kubwa katikati ya sentensi lakini unataka kuaminisha watu kwamba mnateuliwa kwavile ni wasomi!!
WASOMI WENGI NI WAKRISTO
NAFASI NYINGI ZINAZOHITAJI WASOMI ZITACHUKULIWA NA WAKRISTO....

Hayo mengine ni blablablablabla.....
 
Kwa masiku kadhaa Sheikh Khalifa amekuwa akisikika na kauli yake ya kumtuhumu Rais Magufuli kuwajaza Wakristo wengi kwenye nafasi zake za uteuzi.

Aidha Sheikh huyo aliongezea kwa kusema kuwa licha ya uwepo wa suala hili la udini Rais Magufuli ameweka wazi upendeleo wake wa kikanda ambapo watu wa kanda ya Ziwa wameonekana kung’ara kwa kuteuliwa katika nafasi za uongozi kwa wingi zaidi kuliko watu wa kanda yoyote hapa nchini.

Akizungumzia suala hilo na waandishi wa gazeti la Mizani la November 11, 2016 Sheikh Khalifa Khamis alieleza kuwa katika nafasi 10 walizotumbuliwa Waislam ni nafasi 1 tu ndiyo aliyopewa Muislam.

Sheikh Khalifa alizidi kufafanua kuwa Wenyeviti wa bodi mbalimbali walioteuliwa na Rais Magufuli 18 ni Wakristo na 1 tu ndiyo Muislam.

Makatibu Tawala wa Wilaya Wakristo ni 81% huku Waislam wakiambulia 19% tu. Wakuu wa wilaya Wakristo ni 71% na Waislam ni 21%.

Makatibu Tawala wa mikoa 137 ni Wakristo na 16 tu ndiyo Waislam. Wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya na majiji Wakristo ni 185 na Waislam ni 36 tu.

Kitu pekee anachopaswa kutambua Sheikh Khalifa Khamis ni kwamba Rais Magufuli hateui mtu kwa kuangalia dini bali anaangalia taaluma na uwezo wa kuongoza.

Kukiwa na kitengo kinachohitaji uwakilishi wa dini hapo ndo tunapaswa kuangalia usawa wa uwakilishi wa kidini. Pia anapaswa kutambua kuwa Tanzania haina Wakristo na Waislam tu, kuna watu wa dini tofauti tofauti na wasio na dini pia, je hao amewaweka kwenye kipengele gani?

Hizi ni njama tu za kutaka kumrudisha nyuma Rais wetu kipenzi cha Watanzania wengi. Watanzania tunahitaji MAENDELEO na AMANI tu, mambo ya dini tunayaacha kwenye nyumba za ibada. Tunapofika kwenye sekta za umma hatusemi tena mambo ya dini zetu, bali kauli yetu huwa ni moja tu nayo ni HAPA KAZI TU.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona kiongozi mkubwa wa dini akitoa tuhuma za uongo na uzushi kwa Kiongozi Mkuu wa wa nchi yetu.

Sheikh Khalifa anakiuka misingi ya imara ya taifa letu iliyowekwa na baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere ya kupiga vita udini na ukabila.

Udini na ukabila ni mbegu mbaya sana ambayo siyo tu haifai kupandwa kwenye ardhi yetu bali haipaswi hata kutunzwa majumbani mwetu, isije mea hata kwa bahati mbaya.

Mataifa mengi yameshuhudia machafuko na mauaji ya kutisha kwa udini na ukabila. Hakuna hata Mtanzania mmoja anayetamani kuona mfano wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda au vita ya Biafra Nigeria ikitokea hapa kwetu.
Huyo sheikh ni mgonjwa wa akili na kwangu mimi waislamu ni walalamishi dunia nzima angalia Syria wanauwana kama mashetani kuna mla nguruwe huko?? Iraq, Lybia kwa sana ni kuchinjana tu kwenda mbele Wanabishana kila siku kama vichaa mimi muislamu akilalamika ni kama ananipigia taarabu, shule hawana lakini wanaataka madaraka makubwa na wakiyapata uongozi hawauwezi angalia shule zao linganisha na seminari hutahitaji digrii kujua kwamba waislamu ni wachovu katika management aina zote kuna moja hapa dodoma inaitwa hijra badala ya kusonga mbele imeshuka ina kidato cha nne tu form six wameondoa halafu eti bado wanalalamika. Mfano mdogo mwingine ni Zanzibar ni wao wa wao lakini Hamadi anahangaika usiku kucha kutaka Dr Shein aodoke madarakani eti uchaguzi haukuwa huru mhh. Kazi kwenu mpuuzeni huyo sheikh mchovu Sheikh mkweli na mwenye sifa zote za uongozi wa dini na Mungu amjalie maisha marefu kwa busara zake ni Sheikh wa mkoa wa DSM alhaji Musa Salumu ndiye sheikhe wa ukweli asiye mnafiki NARUDIA TENA Mwenyezi Mungu ampe MAISHA MAREFU SANA YENYE AMANI NA MAFANIKIO NA AFYA NJEMA.
 
Chaa! nyie watu watu pelekeni wtt wenu shule na muhakikishe wanasoma kweli badala ya kulalamika huku JF. JPM anateua PHD holders na siyo wasanii, hiyo elimu haipatikani kwa kupiga majungu
 
Hivi Kule Zanzibar Mawaziri wakristo wapo wangapi? Tueni takwimu za Zanzibar ndo tujadili hili LA huku bara
 
Linapokuja suala la imani/dini, basi wapenzi wa vyama vyote huungana kutetea imani yao na kuweka tofauti za kisiasa pembeni
Linapokuja suala la vyama/siasa, watu wa imani zote huungana kutetea mirengo yao na kuziweka tofauti zao za kiimani pembeni.
Linapokuja suala la maslahi ya fedha, wote huungana na kuziweka tofauti zao kando.
 
Hivi Kule Zanzibar Mawaziri wakristo wapo wangapi? Tueni takwimu za Zanzibar ndo tujadili hili LA huku bara
Mantuki yako ni ya kiwango duni sana! Hiyo logic ni zao la division one za Kanisa,

Asiyefahamu kiwa 99% ya Wazanzibari ni Waislamu ni nani?!

Hapa Tanganyika tusaidie ratio yetu ipo vipi ?

Kwanza ni nini matokeo ya sensa ya mwaka 2012 !?

Miaka yote 50+ ambayo nyinyi wasomi wa kanisa mmekuwa mkiongoza Tanzania tunajivunia nini !?
 
Hivi Kule Zanzibar Mawaziri wakristo wapo wangapi? Tueni takwimu za Zanzibar ndo tujadili hili LA huku bara
Zanzibar hakuna wakristo . Waliopo ni watanganyika ambao hufanya kazi jeshini polisi na idara za muungano hivyo hawa qualify kuwa waziri. Ila yupo mbongo mmoja amepewa Costico.
lakini kwa ufupi hakuna mpemba mkristo au mkojani mkristo au mtumbatu mkristo au mmakunduchi mkristo....wakristo wa kule ni wanyamwezi wasukuma wachaga na wadigo...
 
Chaa! nyie watu watu pelekeni wtt wenu shule na muhakikishe wanasoma kweli badala ya kulalamika huku JF. JPM anateua PHD holders na siyo wasanii, hiyo elimu haipatikani kwa kupiga majungu
Tumewasomesha sana ila ubaguzi upo sanaaaaaa
sio huko juu tu kila sehemu. Na hio sio sifa nzuri hata kidogo
 
Kwa masiku kadhaa Sheikh Khalifa amekuwa akisikika na kauli yake ya kumtuhumu Rais Magufuli kuwajaza Wakristo wengi kwenye nafasi zake za uteuzi.

Aidha Sheikh huyo aliongezea kwa kusema kuwa licha ya uwepo wa suala hili la udini Rais Magufuli ameweka wazi upendeleo wake wa kikanda ambapo watu wa kanda ya Ziwa wameonekana kung’ara kwa kuteuliwa katika nafasi za uongozi kwa wingi zaidi kuliko watu wa kanda yoyote hapa nchini.

Akizungumzia suala hilo na waandishi wa gazeti la Mizani la November 11, 2016 Sheikh Khalifa Khamis alieleza kuwa katika nafasi 10 walizotumbuliwa Waislam ni nafasi 1 tu ndiyo aliyopewa Muislam.

Sheikh Khalifa alizidi kufafanua kuwa Wenyeviti wa bodi mbalimbali walioteuliwa na Rais Magufuli 18 ni Wakristo na 1 tu ndiyo Muislam.

Makatibu Tawala wa Wilaya Wakristo ni 81% huku Waislam wakiambulia 19% tu. Wakuu wa wilaya Wakristo ni 71% na Waislam ni 21%.

Makatibu Tawala wa mikoa 137 ni Wakristo na 16 tu ndiyo Waislam. Wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya na majiji Wakristo ni 185 na Waislam ni 36 tu.

Kitu pekee anachopaswa kutambua Sheikh Khalifa Khamis ni kwamba Rais Magufuli hateui mtu kwa kuangalia dini bali anaangalia taaluma na uwezo wa kuongoza.

Kukiwa na kitengo kinachohitaji uwakilishi wa dini hapo ndo tunapaswa kuangalia usawa wa uwakilishi wa kidini. Pia anapaswa kutambua kuwa Tanzania haina Wakristo na Waislam tu, kuna watu wa dini tofauti tofauti na wasio na dini pia, je hao amewaweka kwenye kipengele gani?

Hizi ni njama tu za kutaka kumrudisha nyuma Rais wetu kipenzi cha Watanzania wengi. Watanzania tunahitaji MAENDELEO na AMANI tu, mambo ya dini tunayaacha kwenye nyumba za ibada. Tunapofika kwenye sekta za umma hatusemi tena mambo ya dini zetu, bali kauli yetu huwa ni moja tu nayo ni HAPA KAZI TU.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona kiongozi mkubwa wa dini akitoa tuhuma za uongo na uzushi kwa Kiongozi Mkuu wa wa nchi yetu.

Sheikh Khalifa anakiuka misingi ya imara ya taifa letu iliyowekwa na baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere ya kupiga vita udini na ukabila.

Udini na ukabila ni mbegu mbaya sana ambayo siyo tu haifai kupandwa kwenye ardhi yetu bali haipaswi hata kutunzwa majumbani mwetu, isije mea hata kwa bahati mbaya.

Mataifa mengi yameshuhudia machafuko na mauaji ya kutisha kwa udini na ukabila. Hakuna hata Mtanzania mmoja anayetamani kuona mfano wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda au vita ya Biafra Nigeria ikitokea hapa kwetu.
Kipi amezusha hapo?
Au kipi kasema kisicho kweli?

Anaetaka kuleta udini hapa nchini ni yule msema ukweli?
Au yule mwenye kuteua watu wa Imani moja kwa wingi?

Watanzania mnachezea hii amani mlionayo. Endeleeni kutetea Ubaya.

Hizo nchi zinazowaka moto zilianza hivi hivi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom