Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
Always huwa nastaajabu sana wagalatia wanavyojinasibisha na usomi nchi hii maskin wa mawazo kabisa wakifananisha na waislam

Hivyo walichosoma ni nin hasa zaid zaid ya kusomea wizi tu na ubadhrifu wa mali za umaa?

Lets say its true wasomi wa kanisa wamesoma watueleze sasa miaka hamsin ya uhuru sasa elimu yao imeisaidia nin nchi hii?

Zaid zaid ya kuwa vibaka tuh huko serikalin
Nchi hii imetawaliwa na waislamu miaka 20, katika hiyo miaka walifanya nini ili kiwe mfano na wengine waige?syo hiyo miaka ambayo nchi iliibiwa hadi udongo wake?
 
Mkuu hiyo 50/50 itokee wapi? Yaani chukua Arusha, Mwanza, Mara, Mbeya, Sumbawanga, Kilimanjaro, Ruvuma, Iringa, Dodoma, Songwe, Njombe n.k unaamini kweli itakuwa 50/50. Kwanza waruhusu tu kipengele cha dini kwenye sensa.
Washauri wale pale Posta jirani na mahakama ya rufaa kuweka hicho kipengele ili uone namna ya kuachwa uchi na utumie kichwa kutafakari na si kukariri.
 
Wakati Alhaj kikwete anagawa madaraka kwa watu wa imani mbali mbali Alitukanwa sana na wale wenye imani tofauti na yake.

Leo sio ubaguzi wa Dini tu tunaouona wazi hapa nchini bali NJAA Imeenea kila kona ya Nchi.

Dhulma ukifanywa na Kiongozi wa Nchi huwa haipiti Kimya.

Hii njaa sio ya kupita. Itakaa na sisi mpk Uadilifu Uwepo .kitu ambacho Hakionekani ktk Awamu hii.

Hakika madhalimu siku zote huwa hawafanikiwi.

فَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّنِ افْتَرَىٰ عَلَى اللَّهِ كَذِبًا أَوْ كَذَّبَ بِآيَاتِهِ ۚ إِنَّهُ لَا يُفْلِحُ الْمُجْرِمُونَ

Basi ni nani aliye dhaalimu zaidi kuliko yule anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu na akazikanusha Ishara zake? Hakika hawafanikiwi wakosefu.
Quraan 10:17
 
Nchi hii imetawaliwa na waislamu miaka 20, katika hiyo miaka walifanya nini ili kiwe mfano na wengine waige?syo hiyo miaka ambayo nchi iliibiwa hadi udongo wake?

Lione kwanza

Basi usikute nalo linajiita ni lisomi hili.

Nchi hii kipind hao marais waislam wawili walipokaa madarakan huko serikalin vibaka waliojazana na kuiba mali za umma ni kina nan kama siyo nyinyi mnaojiita wasomi?

Leo mnalalamika kuisoma namba na ugumu wa maisha huku jamaa yenu akiwananga amewafungia milango yote ya kupiga deals unalichukuliaje hilo?

Kwa ufupi nchi hii imekuwa maskin sababu ya uwepo wa wasomi hopless wa kanisa...

Na itazid kuendelea kuwa maskin...hakuna vision mliyonayo zaid zaid ya kuiba na kupeleka kutoa fungu la kumi tuh pesa hizo za walalahoi wa nch hii
 
Sisi hatutaki kubebwaa

Mliozoea kubebwa tokea zama za ukoloni ni nyinyi wala nguruwe...

Hoja yetu siyo kubebwa jaribu kuelewa wewe mvaa rozari shingoni kama mbwa wa mzungu aliefungwa nyororo

Nachokueleza haki lazima itendeke pasi na upendeleo

Nchi hii nyerere amekaa zaid ya miaka 30 na mkapa amekaa miaka 10 jumlisha hapo unapata zaid ya miaka 40 mmeifanyia nin nchi hii ukizingatia huko serikalin watendaji ni nyinyi mnaojiita wasomi?

Mmesoma nin nyinyi zaid zaid ya kusomea wizi na ufisadi tuh?
Ndo maana tunawaita wapuuzi maana hata hao walipewa miaka 20 waloshindwa kuwabeba maana mna akili finyu na wakawabeba wanaobebeka,kwani wakati mlipopewa nchi hamkujua kuwa wakristu ni vibaka!!! Sasa mbona mliwaamini,basi hata hao walipewa MAMLAKA hawakustahili huenda nao walikuwa mdebwedo
 
Division zero za msikitini miaka 20 zimeleta nini paka shume nyie

Hata kama ukiumia kuitwa division one za kanisa uvunilie tuh ndivyo haki ilivyo

Na usitoke kwenye mstari...stil ndan ya miaka 20 sekta zoote za umma usisahau kuwa mmejazwa nyinyi kama mnavyoendelea kujazwa hiv sasa na huyu baba paroko wenu

Kipi hasa cha maana mnakifanyia taifa hili zaid zaid ya wizi?


Tuliina hapa hadi maaskofu na makanisa kuingia kwenye wizi kipind kile cha escrow...hakuna cha zaid mnachojua zaid ya hiko

Kwiba mali za umma na kukimbilia kutoa fungu la kumi makanisani

Nchi hii imekuwa maskin kwa kias kikubwa kutokana na wasomi uchwara wa parokia
 
Tokeni zenu hapa mtaishia kupiga bao na kucheza Ngoma magurubaja nyie

Ni bora sisi tucheze bao na kupiga ngoma kuliko nyinyi na maaskofu wenu na makanisa yenu kujiingiza katika vitendo vya kuliibia taifa hili maskin kama mlivyofanya kwenye escrow

Mkiulizwa etiii ooh wasomi..wasomi mtakuwa nyinyi hata kuchamba hamjui mnatumia makaratasi?

Teh teh teh

Hopless kabs
 
Hata kama ukiumia kuitwa division one za kanisa uvunilie tuh ndivyo haki ilivyo

Na usitoke kwenye mstari...stil ndan ya miaka 20 sekta zoote za umma usisahau kuwa mmejazwa nyinyi kama mnavyoendelea kujazwa hiv sasa na huyu baba paroko wenu

Kipi hasa cha maana mnakifanyia taifa hili zaid zaid ya wizi?


Tuliina hapa hadi maaskofu na makanisa kuingia kwenye wizi kipind kile cha escrow...hakuna cha zaid mnachojua zaid ya hiko

Kwiba mali za umma na kukimbilia kutoa fungu la kumi makanisani

Nchi hii imekuwa maskin kwa kias kikubwa kutokana na wasomi uchwara wa parokia

Jibu swali hiyo miaka 20 mlopewa mliifanyia nini nchi hii? Je syo hivyo vipindi nchi wizi ulitamalaki?wezi wa kutokulipa kodi syo ndo hao azam,GSM na yule alomwagiwa tindikali na ridhiwani kwani hao si ndo manguli kipindi cha jk au nao wala nguruwe? Kuna punguani hapo juu kasema nyerere alitawala zaidi ya miaka 30!!!!!!! Ndo ujue nyie ni majuha hata hamjui nyerere alitawala miaka mingapi mnaishi kiwangawanga
 
Zamani nafasi nyingi sana za kazi walikua no wachaga tu ukiuliza unambia majibu ya kipumbavu eti ndio wamesoma sana ujinga ule ndio nauona Leo kwenye maswala ya nafasi za ajira nchini au za zakuteulia. Waislam hutengwa sana kwa kigezo cha kutokusoma kitu ambacho sio kweli waislam kibao wamesoma mm wadogo zangu peke nane wamemaliza degree bado unasema waislam hawajasoma ujinga was PhD
 
Ni bora sisi tucheze bao na kupiga ngoma kuliko nyinyi na maaskofu wenu na makanisa yenu kujiingiza katika vitendo vya kuliibia taifa hili maskin kama mlivyofanya kwenye escrow

Mkiulizwa etiii ooh wasomi..wasomi mtakuwa nyinyi hata kuchamba hamjui mnatumia makaratasi?

Teh teh teh

Hopless kabs
Shekhe wenu dau mbona aliifilisi Nssf mbona hamlioni
 
Tumewasomesha sana ila ubaguzi upo sanaaaaaa
sio huko juu tu kila sehemu. Na hio sio sifa nzuri hata kidogo
We unabishana na hawa vi.laza?! Wengi hapo wanasumbuliwa na stress za maisha... mtu anajivunia usomi hata kazi ya kulipwa laki 3 kwa mwezi hana; sasa kama si upumb'avu tuite nini!! Pamoja na kujivunia usomi uchwara walionao; majority tumerundikana nao Uswahilini huku wakiishi kwenye chumba kimoja; choo nje... halafu mtu kama huyo anapaata ujasiri wa kukashifu wengine... kama sio stress za maisha tuite nini!! Kwa hao mademu, majority wanaweza kumegwa na hata mtu kama Harmonize kwavile pamoja na proud yao lakini ni njaa kwa kwenda mbele... ndo upoteze muda kubishana na watu kama hao!! Mbaya zaidi; wakati wanajitia usomi hapa JF; mama na baba zao; wajomba na shangazi zao na ndugu zao wengine wapo ambao hata kuta za darasa hawajui zinafananaje!!! Walivyo wapu'mbavu hawaishi kuonea fahari Division I chache za Shule kama St. Marian huku wakisahau kuna mamia kwa mamia ya shule ambazo zimerundika wanafunzi Wakristo zaidi ya mara 1000 ya wale wa St Marian na wote hao wanaondoka na Div IV na Zero! Pamoja na proud yao; wengi wao ni vi.laza na ndio maana hata ujengaji wao wa hoja unaweza kujiuliza "hivi huyu nae msomi au anawasemea wenzake!"
 
Kumbuka pia mlipewa bure chuo cha Tanesco pale Morogoro. Watu hamridhiki.
Kwa hiyo wasomi wote wa kiislam watakula hicho chuo sio,tunachosema hata waislamu pia ni wasomi haki itendeke
 
Tumeshajua, kuna udini wa kufa mtu kwenye ile nyumba jirani ya feri, aibu aibu aibu mjomba kuwa na mentality za kibaguzi!
 
Unajitoa ufaham siyo?

Mwinyi kaikuta nchi hii kwenye wimbi la umaskin baada ya huyo mnemwita baba wenu wa taifa kujiingiza katika sera za ukomboz wa bara la africa na kusahau kupigana vita vya umaskin nchin mwake

Watu walikosa hata vitu vya msingi...sukari...unga...chumvi hata nguo watu walikua wanavaa kaniki

Ni sera za mwinyi mzee ruksa nchi hii ikaanza kufunguka

Unataka kusema nin kuhusu kikwete?mswahili yule ambae kila leo mnamlilia arud madarakan kutokana na ukata na ugumu wa maisha unaowakabili?

Kikwete kayafanya makubwa nchi hii...kajenga bara bara..miundombinu ya shule nchi nzima...kakuza uhusiano wa kimataifa

Kakuza uhuru wa kujieleza na demokrasia

Kaimarisha aman na kuifanya nchi kuwa salama...

Pamoja na kikwete kuwaamin wagalatia na kuwapa nafas chungu tele serikalin stil mlimwangusha na kuendekeza wizi na ufusadi


Takwimu zipo wazi...hakuna cha maana wasomi wa kanisa wamelifanyia taifa hili zaid ya kulitia hasara
Jibu swali hiyo miaka 20 mlopewa mliifanyia nini nchi hii? Je syo hivyo vipindi nchi wizi ulitamalaki?wezi wa kutokulipa kodi syo ndo hao azam,GSM na yule alomwagiwa tindikali na ridhiwani kwani hao si ndo manguli kipindi cha jk au nao wala nguruwe? Kuna punguani hapo juu kasema nyerere alitawala zaidi ya miaka 30!!!!!!! Ndo ujue nyie ni majuha hata hamjui nyerere alitawala miaka mingapi mnaishi kiwangawanga
 
Jibu swali hiyo miaka 20 mlopewa mliifanyia nini nchi hii? Je syo hivyo vipindi nchi wizi ulitamalaki?wezi wa kutokulipa kodi syo ndo hao azam,GSM na yule alomwagiwa tindikali na ridhiwani kwani hao si ndo manguli kipindi cha jk au nao wala nguruwe? Kuna punguani hapo juu kasema nyerere alitawala zaidi ya miaka 30!!!!!!! Ndo ujue nyie ni majuha hata hamjui nyerere alitawala miaka mingapi mnaishi kiwangawanga

Huyu muislamu wa Kwanza Mh. Ali Hassan Mwinyi aliipokea nchi Kutoka kwa Nyerere ikiwa tayari imeshafilisika hata kupata mahitaji ya kila siku ya mwanadamu ilikuwa SHIDA.

Kupitia sera yake RUHSA nchi ikaondokana na shida za kupata mahitaja ya kila siku ya mwanadamu!! Kupitia yeye mkajua kuvaa vizuri, kujua yanayotendeka upande wa pili wa dunia, shida za usafiri zikaondoka na mengineo mzuri mliyapata.

Kuhusu huyu wa awamu ya nne yeye ndio alikuta balaa zaidi kushinda yule wa awamu ya pili!!!!! Aliikuta nchi kila kitu kimeshauzwa BURE na Mh. Mkapa kupitia sera yake ya ubinafsishaji, lakini hata hivyo alijitahidi kuwafanyia mazuri watanganyika!!! Aliweka miundo mbinu ya lami nchi mzima! Hakuna alielalamika kuikosa stahiki zake kuanzia wanafunzi hadi makarani wa maofisini, aliimarisha sekta ya afya hadi kufikia kujenga hospitali ya Kutibu moyo hapa hapa,

Benki kuu ni mashahidi wa aliyoyafanya kikwete kipindi chake pale walipokuja na mlinganisho wa UCHUMI wakati wa Kikwete dhidi ya miezi mitano ya kwanza ya mh magufuli.

Ni kawaida ya wasomi wa kiislamu kufanya vyema pale wanapopewa nafasi (mfano Mh. DAU) wakati wa NSSF (DARAJA LA NYERERE) Tukija kwa upande wa wasomi wa kikristo ambao hata kujua kama Zanzibar inayo bandari hawajui wao kuchukua VIJISENTI NA HELA YA MBOGA ndio kipaombele.
 
Huyu muislamu wa Kwanza Mh. Ali Hassan Mwinyi aliipokea nchi Kutoka kwa Nyerere ikiwa tayari imeshafilisika hata kupata mahitaji ya kila siku ya mwanadamu ilikuwa SHIDA.

Kupitia sera yake RUHSA nchi ikaondokana na shida za kupata mahitaja ya kila siku ya mwanadamu!! Kupitia yeye mkajua kuvaa vizuri, kujua yanayotendeka upande wa pili wa dunia, shida za usafiri zikaondoka na mengineo mzuri mliyapata.

Kuhusu huyu wa awamu ya nne yeye ndio alikuta balaa zaidi kushinda yule wa awamu ya pili!!!!! Aliikuta nchi kila kitu kimeshauzwa BURE na Mh. Mkapa kupitia sera yake ya ubinafsishaji, lakini hata hivyo alijitahidi kuwafanyia mazuri watanganyika!!! Aliweka miundo mbinu ya lami nchi mzima! Hakuna alielalamika kuikosa stahiki zake kuanzia wanafunzi hadi makarani wa maofisini, aliimarisha sekta ya afya hadi kufikia kujenga hospitali ya Kutibu moyo hapa hapa,

Benki kuu ni mashahidi wa aliyoyafanya kikwete kipindi chake pale walipokuja na mlinganisho wa UCHUMI wakati wa Kikwete dhidi ya miezi mitano ya kwanza ya mh magufuli.

Ni kawaida ya wasomi wa kiislamu kufanya vyema pale wanapopewa nafasi (mfano Mh. DAU) wakati wa NSSF (DARAJA LA NYERERE) Tukija kwa upande wa wasomi wa kikristo ambao hata kujua kama Zanzibar inayo bandari hawajui wao kuchukua VIJISENTI NA HELA YA MBOGA ndio kipaombele.

Daraja LA balozi mwivi!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom