Halafu mtu mwenye mawazo kama hayo anataka apewe uongozi...tuna kazi mkuu. Hatujamaliza kuisoma namba, wengine wanaamka kudai haki za kushinda na misuli huku mishahara inaingia mfukoni.Nafasi za uteuzi haziangalii dini ya mtu halafu unataka dini ziangaliwe ili wa dini unayotaka wewe waongezwe kwa idadi unayoiwaza; yaani wewe unataka dini iwe mojawapo ya sifa za uteuzi. Sijui unapinga nini na unataka nini! Mbona wewe ndiye mdini? Wakati anayeteua haangalii dini ya mtu wewe kutwa kucha kuhesabu dini za wateuliwa. Mdini kweli wewe.
Hata Mimi nimeshangaa. Hutaki udini halafu unataka anayeteua afate udini. Mmmh.Nafasi za uteuzi haziangalii dini ya mtu halafu unataka dini ziangaliwe ili wa dini unayotaka wewe waongezwe kwa idadi unayoiwaza; yaani wewe unataka dini iwe mojawapo ya sifa za uteuzi. Sijui unapinga nini na unataka nini! Mbona wewe ndiye mdini? Wakati anayeteua haangalii dini ya mtu wewe kutwa kucha kuhesabu dini za wateuliwa. Mdini kweli wewe.
Acha chuki, hoja ni kwamba kuna udini mkubwa awamu hii, na huu ni ukweli uliowazi!Misuli ni nguo yenye hadhi kuliko bikini anayovaa mama yakoHalafu mtu mwenye mawazo kama hayo anataka apewe uongozi...tuna kazi mkuu. Hatujamaliza kuisoma namba, wengine wanaamka kudai haki za kushinda na misuli huku mishahara inaingia mfukoni.
Ina maana ata kama awana elimu wataleuliwe tu kisa waislam??.Mfano umpe mtu kazi ya utabibu japo ajasomea kisa muislam??JPM KIGEZO CHA (PHD, DR, PROF) KTK TEUZI ,KINAWAACHA NYUMA WAISLAM, WALIACHWA NYUMA ELIMU DUNIA ''Nepotism''
Nafurahishwa sana na uteuzi unaofanywa la Raisi wetu mpendwa , John Pombe Magufuri , lakini kumbuka kuwa awa waislamu ni jamii kubwa katika nchi yetu ya Tanzania , na wamepitaka katika kipindi kigumu kupata Elimu dunia ; wengi walishaeleza humu jamvini ilibidi wengine wabadili majina kama kina Jenerali Ulimwengu jina halisi ni Twaha : Na hii imewathiri kuwepo wasomi wachache sana katika level za PHD, DOCTOR, PROFESA. Kutokana na ubaguzi wa wakoloni .
Hii aina ya uteuzi uliokuja nao wa kuteua watu wengi wenye level za PHD,DOCT, PROF. Usifanye kama aina fulani ya kutenga jamii ya waislam . Check and balance izingatiwe
Tunafuatilia na tunaangalia kwa makini kila siku teuzi zako ;
Ni ushauri tu .
Baada ya utafiti . Aya ndo manunguniko ya watanzania katika Teuzi zako
JPM KIGEZO CHA (PHD, DR, PROF) KTK TEUZI ,KINAWAACHA NYUMA WAISLAM, WALIACHWA NYUMA ELIMU DUNIA ''Nepotism''
Nafurahishwa sana na uteuzi unaofanywa la Raisi wetu mpendwa , John Pombe Magufuri , lakini kumbuka kuwa awa waislamu ni jamii kubwa katika nchi yetu ya Tanzania , na wamepitaka katika kipindi kigumu kupata Elimu dunia ; wengi walishaeleza humu jamvini ilibidi wengine wabadili majina kama kina Jenerali Ulimwengu jina halisi ni Twaha : Na hii imewathiri kuwepo wasomi wachache sana katika level za PHD, DOCTOR, PROFESA. Kutokana na ubaguzi wa wakoloni .
Hii aina ya uteuzi uliokuja nao wa kuteua watu wengi wenye level za PHD,DOCT, PROF. Usifanye kama aina fulani ya kutenga jamii ya waislam . Check and balance izingatiwe
Tunafuatilia na tunaangalia kwa makini kila siku teuzi zako ;
Ni ushauri tu .
Baada ya utafiti . Aya ndo manunguniko ya watanzania katika Teuzi zako
Nafasi za utabibu sio za uteuzi mkuu; hizo ni za sifa kieleimu.Ina maana ata kama awana elimu wataleuliwe tu kisa waislam??.Mfano umpe mtu kazi ya utabibu japo ajasomea kisa muislam??
Vipi mbona mlikuwa mnampigia kelele Dr. Dau kuwa ni mdini, kwani ambao aliwaajiri hawakuwa na sifa??Ina maana ata kama awana elimu wataleuliwe tu kisa waislam??.Mfano umpe mtu kazi ya utabibu japo ajasomea kisa muislam??
Hiyo sio maana yake. mtoa mada hamaanishi hivyo. ila anamaanisha wateuliwe waislam wenye sifa kama wanavyoteuliwa wakristo. labda useme hakuna waislam wenye sifa ila kwa kuwa wapo. balance iwepoIna maana ata kama awana elimu wataleuliwe tu kisa waislam??.Mfano umpe mtu kazi ya utabibu japo ajasomea kisa muislam??