Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

View attachment 2945052
Wakuu,

Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.

Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.

Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.

Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?

Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?

Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.

TAKBIR.
Mwamba kakaa madarakani kwa miaka 6 tu ila ameacha kazi sana nyuma yake. Imeshapita miaka mitatu tangu kifo chale lakini kila kukicha watu wanahangaika kufuta kazi zake.
Kikwete kakaa madarakani miaka 10 huo Msikiti hakuomba wala haikujulikana.
Kumbukumbu itawekwa misikitini na kwenu mnaopambana na aliyekufa.
Lakini historia itabaki katika kumbukumbu kwa maandishi na video za wakati wa uhai wake.
 
1711449756817.png
 
huo ni unafiki kwanini hakusema wakati magufuli yupo hatuwezi kusikiliza maneno ya upande mmoja tu kama kwenye kanga angesema na magufuli yupo ili tusikie naye atasemaje hapo mzee umefeli pakubwa sanaaaaaaaaaa

wewe unahisi angeweza kusema wakati wa magufuli? Ingelikuwa wewe je ungeweza?
 
Nafikiri kama Taifa tuna tatizo zito linalofukuta na kuna watu wanachochea. Shekhe kusimama msikitini kuongea haya leo nini anatafuta?

Anyway, muda ni mwalimu mzuri.
Kuna watu hii Nchi wana upeo finyu sana wa kufikiri. Naamini ile nafasi ya kuwa Rais wa kwanza wa Tanzania ingekaliwa na watu hao, leo hii Tanzania ingekua inaongozwa kidini.
Kuna mmoja humu ukiona katupia uzi jua anafuta yaliyofanywa na watu wa imani yake ili ionekane watu wa imani yake ndio bora sana.
 
Hawa nao wajaribu kuficha upumbavu wao hata kidogo Magufuli aliomba huo msikiti tena akathibitisha mbele ya waandishi wa habari na mfalme wa Morocco akiwepo alafu hako kazee shenzi zake bila hata aibu kana apia kabisa na wakati kanasema uongo, ndio hawa wanaojiita dini ya kweli wanadanganya huku wame jishindisha njaa kwamba wamefunga
 
Back
Top Bottom