Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,014
- 103,405
Cdm inatokea wapi kwenye quote zangu, au mimi ni msemqji wa cdm?Chadema mshaanza kuicheza ngoma ya CCM
Cdm inatokea wapi kwenye quote zangu, au mimi ni msemqji wa cdm?Chadema mshaanza kuicheza ngoma ya CCM
Mwamba kakaa madarakani kwa miaka 6 tu ila ameacha kazi sana nyuma yake. Imeshapita miaka mitatu tangu kifo chale lakini kila kukicha watu wanahangaika kufuta kazi zake.View attachment 2945052
Wakuu,
Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.
Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.
Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.
Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?
Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?
Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.
TAKBIR.
Wewe ni chawa wa mwenyekitiCdm inatokea wapi kwenye quote zangu, au mimi ni msemqji wa cdm?
Hapa umetupiga. Ni Dar - Dodoma - Utawala wa JpMYA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza
Na yenyewe watakuambia Magufuli alitumwa na KikweteWaislamu wana chuki mbaya sana kwa watu wasio waislamu. teknolojia haziongopi tazama mwenyewe video chini.
Rais Magufuli achangisha fedha Kanisani, kujenga Msikiti.
View attachment 2945065
huo ni unafiki kwanini hakusema wakati magufuli yupo hatuwezi kusikiliza maneno ya upande mmoja tu kama kwenye kanga angesema na magufuli yupo ili tusikie naye atasemaje hapo mzee umefeli pakubwa sanaaaaaaaaaa
Kuna watu hii Nchi wana upeo finyu sana wa kufikiri. Naamini ile nafasi ya kuwa Rais wa kwanza wa Tanzania ingekaliwa na watu hao, leo hii Tanzania ingekua inaongozwa kidini.Nafikiri kama Taifa tuna tatizo zito linalofukuta na kuna watu wanachochea. Shekhe kusimama msikitini kuongea haya leo nini anatafuta?
Anyway, muda ni mwalimu mzuri.
Kwa hiyo?Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
View attachment 2945023