one activist
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 114
- 14
Yule sheikh maarufu kwa CD zake kadhaa za uchochezi Bw. Hassan Ilunga, yu mgonjwa na amelazwa huko India.Kwa mujibu wa gazeti la An Nuur la tar 31 May.
Tunamuombea uzima ili atambue ujinga wa alichotenda.
Tunamuombea uzima ili atambue ujinga wa alichotenda.
Tunamuombea uzima ili atambue ujinga wa alichotenda.
Ujinga upi unaosemea ndugu?
Wakuu na wafadhili wake walioko serikalini ndio wamempeleka India ili hali ya hewa ikitulia wamrudishe aendelee kumwaga sumu ya uchochezi!
Ujinga upi unaosemea ndugu?
Ni propaganda tu ili kupima upepo! Huyu mtu wala hayupo India! Sio siri alipaswa kuwa gerezani kitambo. Sasa wafadhili wake wamemficha chini ya mwavuli wa "India" ili upepo upite!
Mwishowe wafadhili wake watasema afya haimruhusu kushitakiwa!
Yule sheikh maarufu kwa CD zake kadhaa za uchochezi Bw. Hassan Ilunga, yu mgonjwa na amelazwa huko India.Kwa mujibu wa gazeti la An Nuur la tar 31 May.