Sheikh Ilunga alazwa India

Status
Not open for further replies.

Nauliza Swali; Wakati wa UTAWALA wa NYERERE --- kulikuwa na Viongozi wa DINI yake wakiongelea CHUKI DHIDI ya DINI NYINGINE kiasi hiki ?

Nyerere hakukandamiza kundi MOJA kwa Manufaa yake; Makundi Mengi ndani ya Nchi yalinyimwa baadhi ya UHURU wao ili tu NCHI iwe na AMANI na UMOJA...

mkuu,wewe unadhani kwanini kambarage aliunda BAKWATA?
 
kipindi huyu Sheikh alikuwa most wanted Tz, sasa taarifa zake zimejulikana
kwa nini asisomewe makosa yake akiwa anaendelea na matibabu kama watuhumiwa wengine.
lakini tusubiri ujio wake tena akiwa TZ
 
kwa sumu alioisambaza hapa nchini hata asiporudi inatosha.!!
 
Hatuwezi kuutambuwa ukweli endapo huyu bwana hajarudi kuja kueleza nini hasa yalikuwa maelengo ya mihadhara, cd, dvds na kanda zake.

Namuombea uzima na heri iliapate afya na siku moja atueleze kwanini aliamua kufanya yale alotufanyia watanzania.
 
Wampige pingu kitandani akipona(Mungu amjalie afya njema)arudi kujibu mashtaka yake
 
Msitake kutudanganya hapa. Sheikh Ilunga mbona kajificha hapa Singida na huwa anaishi kwenye nyumba moja jirani na Msikiti mkuu!!!

Msitake kutuaondoa kwenye agenda ya watu wanao pandikiza UDINI inayo chochewa na huyu Sheikh Ubwabwa.
Kwa kuwa nimeambatanisha na picha ya chanzo cha taarifa, mimi sina la kuongeza ni wewe kufuatilia zaidi kwa hicho chanzo.
 

Nauliza Swali; Wakati wa UTAWALA wa NYERERE --- kulikuwa na Viongozi wa DINI yake wakiongelea CHUKI DHIDI ya DINI NYINGINE kiasi hiki ?

Nyerere hakukandamiza kundi MOJA kwa Manufaa yake; Makundi Mengi ndani ya Nchi yalinyimwa baadhi ya UHURU wao ili tu NCHI iwe na AMANI na UMOJA...

kua na akili mida flani mr zuzu. Usiwaze kuiga au kufuata upepo. Wenzenu wanawatumieni na kupata watakacho nyie mnatoa mapovu tu
 

Nauliza Swali; Wakati wa UTAWALA wa NYERERE --- kulikuwa na Viongozi wa DINI yake wakiongelea CHUKI DHIDI ya DINI NYINGINE kiasi hiki ?

Nyerere hakukandamiza kundi MOJA kwa Manufaa yake; Makundi Mengi ndani ya Nchi yalinyimwa baadhi ya UHURU wao ili tu NCHI iwe na AMANI na UMOJA...
[/QU hivi baada ya nyerere nchi kakabidhiwa kikwete?! Maana kila anaemshutumu kikwete hulinganisha na kipindi cha nyerere mbona haiwi kwa maraisi wa awamu ya pili na ya tatu? Mnatumia vigezo vipi?
 
kua na akili mida flani mr zuzu. Usiwaze kuiga au kufuata upepo. Wenzenu wanawatumieni na kupata watakacho nyie mnatoa mapovu tu

4 Give me... 4 real sijaelewa Umesema nini... Sentensi unaweza kuirudia? Hakuna Hasira tunaelimishana
 

Nauliza Swali; Wakati wa UTAWALA wa NYERERE --- kulikuwa na Viongozi wa DINI yake wakiongelea CHUKI DHIDI ya DINI NYINGINE kiasi hiki ?

Nyerere hakukandamiza kundi MOJA kwa Manufaa yake; Makundi Mengi ndani ya Nchi yalinyimwa baadhi ya UHURU wao ili tu NCHI iwe na AMANI na UMOJA...
[/QU hivi baada ya nyerere nchi kakabidhiwa kikwete?! Maana kila anaemshutumu kikwete hulinganisha na kipindi cha nyerere mbona haiwi kwa maraisi wa awamu ya pili na ya tatu? Mnatumia vigezo vipi?

Umeona wapi shutma kwa Rais Kikwete?
 
mkuu,wewe unadhani kwanini kambarage aliunda BAKWATA?

Na kwanini Aliondoa UCHIEF amboa baadhi yetu tulikuwa tunanufaika nao? Au Talaka zilikuwa zinafuata sheria za kiislamu Mwanaume always is right... Unajua wangapi walidhulumiwa na hiyo sheria? Wababa wanazaa kila kona lakini hawalipi CHILD SUPPORT ni kazi ya Mama na familia yake - Yeye baba anapiga ndogondogo? Mji kama wa Moshi Nyerere alizuia Maendeleo Mpaka Miji mingine ipate Maendeleo huo ni mfano mdogo iko mingi iliowadhuru watu wa aina mbalimbali nchini..


 
Huyu jamaa katika toleo lililopita walisema anasumbuliwa na ugonjwa wa figo, linahitaji kubadilishwa lakini uongozi wa hospitali alikolazwa ulikuwa bado haujampangia siku ya kufanyiwa upasuaji japo yuko kwenye orodha ya wagonjwa wenye kipaumbele.
Kwa hiyo famila pamoja na watukufu Waislamu, wameiomba serikali ya TZ iwasilishe maombi yao kwenye Ubalozi wa India ili itoe kibali kwa Hospitali hiyo iweze kumfanyia Ilunga upasuaji wa figo.
Onyo: Apandacho mtu hicho hicho atakivuna.
 
May Allah SW give u a good healthy to continour fighting with dis believers Sh Ilunga.......we loves u so much.......u will be recovered....God is good
 
Hakika chuki zao walizoficha ndani ya vifua vyao ni kubwa kuliko wanayoyadhihirisha vinywani mwao...........Qur an kamwe haikosei
 
Hali ya kiafya ya Sheikh maarufu wa Mihadhara ya Kiislam nchini,Ilunga Hassan bado si nzuri ingawa inaendelea kuimarika. Taarifa zilizoripotiwa na gazeti la Al-Nuur la leo zinaonesha kuwa Sheikh Ilunga bado yuko nchini India katika Hospitali mojawapo huko akiendelea kupatiwa matibabu. Taarifa za kuugua kwa Sheikh Ilunga na kulazwa India ziliwahi kuripotiwa hapa JF lakini zikakanushwa vikali na wadau mbalimbali. Tumwombee Sheikh Ilunga aweze kuimarika kiafya.Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam.
 
Ujinga kufurahia matatizo ya mwenzako, wakati wewe mwenyewe aujui khatma yako ee Mola wasaidie waja wako hawa uwapunuzie chuki zao kwa wenzao.
 
Ujinga kufurahia matatizo ya mwenzako, wakati wewe mwenyewe aujui khatma yako ee Mola wasaidie waja wako hawa uwapunuzie chuki zao kwa wenzao.

Kumbe kifo kibaya, mbona yeye anahimiza wafuasi wake waue watu, kweli kifo kibaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom