kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,215
Asante
Magufuli unayemchukia ametawala Tanzania kwa miaka 6 tu. Masheikh wamekaa mahabusu miaka 9 kwa zaidi ya miaka mitatu ya Magufuli. Kumlaani Magufuli ni kumwonea.MUNGU mbariki mama samia,
Mungu mbariki raisi Mwinyi,
Mungu mbariki DPP,
MUNGU MSHUGHULIKIE JIWE.
Mungu ibariki Tanzania
umeanza vizuri ukaharibu mwishoni sasa jiwe anahusika na nini hapo? shain jeMUNGU mbariki mama samia,
Mungu mbariki raisi Mwinyi,
Mungu mbariki DPP,
MUNGU MSHUGHULIKIE JIWE.
Mungu ibariki Tanzania
Sheikh Farid: Tunamshukuru Mwenyezi Mungu, kiufupi tunashukuru sisi tumeachiwa lakini huu ni mwanzo mwema ya busara ya marais wetu, Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanzania, Amiri Jeshi mkuu, mama Samia Suluhu. Wamefanya busara kubwa sana kuondoa hii hali ya mtanziko ya muda mrefu sana wa hii Kesi.
Sheikh Mselem: Tumechukuliwa Gerezani jana Usiku, Maghrib na Insha tumeswali palepale gerezani, tumechanganywa na baada ya kuswali Maghribi tumetoka zetu tukaja Airport.
Airport tumeingia kwenye ndege ilikuwa iko faragha, tumefika zetu hapa tumefikia VIP ya zamani, ndege imekaa peke yake, hakuna mtu zaidi ya wenyewe na tulivyotoka pale kila mtu akaingia kwenye gari lake, akaulizwa nikupeleke wapi?
Mzee Mselem nikupeleke kwa mke wa kwanza, wa pili, wa tatu? Nikawaambia kwanza naenda kwetu, muda mrefu sijafika, nikayasome matatizo, ya kutatua nitatue na mengine alafu ndio nitaanza tena kwenda.
Hatukupewa waraka wowote.
Ajabu ilihali walikamatwa wakati wa utawala wa sultan Mangungu wa Bagamoyo,..Amshughulikie kwa kumbariki Safi sana
Mhubiri dini ya Mtume wenu sasa! na siyo kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani kwa kisingizio cha kutaka kuvunjwa kwa Muungano!
Hivi kweli kama wanahusika na jinai hizo serikali ilishindwa kuwafungulia mashtaka wahukumiwe? Mbona walishikiliwa gerezani kwa tuhuma za ugaidi?
Bila shaka serikali ilitunga tuhuma za uongo na hata tuhuma za kuwamwagia watu tindikali ilifanywa na ma-agent wa serikali wasiojulikana! Mambo mengi mabaya yamefanywa na serikali nyuma ya mgongo wa wasiojulikana!
Nijuavyo mm wazanzibar kwa sasa ni muda wao wa kutesa hapa mjini, lkn ni hawahawa ndo walio na fujo juu ya masuala ya Muungano. Mm nadhani hatuwezi kuishi na wazanzibar kwa kukamiana eti kisa Muungano. Ikiwapendeza wabaki na Zanzibar yao. Kwa sasa Marais wrote ( was Zanzibar na was Muungano wanatoka Zanzibar ) jambo ambala haitakuja kutokea rais wa Zanzibar akatoka Bara.Anawashukuru watu?
Kwani haki haijaamua?
Mbona mnatuweka mtanziko?
Kwani wameachiwa na mahakama na hawa marais wetu wawili?
Na wao watawalipa waliowaumiza kwa tindikali, na waliochinjwa je.Walipwe fidia.
Wameonewa sana hawa jamaa.
Ninyi si mlikuwa mnashabikia udhalimuAmshughulikie kwa kumbariki Safi sana
Chuki za Kidini hazina nafasi kwenye jamii iliyostaarabika, One Lovewakianza kulipua makanisa msije tena kulialia kwamba mlifanya makosa kuwatoa
Ndugu, nikwambie kitu, kwa hali ninavyoiona katika Mitandao ya kijamii, nadhani kama kweli kuna siku ya hukumu, basi tujiandae kuhojiwa na kujibu mambo mengi sana. Zaidi no chuki binafsi tu. Watu wanashindwa kujikontroo, hawana kipimo cha kumpenda au kumchukia MTU. Jambo ambal ni hatari sana.Magufuli unayemchukia ametawala Tanzania kwa miaka 6 tu. Masheikh wamekaa mahabusu miaka 9 kwa zaidi ya miaka mitatu ya Magufuli. Kumlaani Magufuli ni kumwonea.
Ni haki yenu kuukataa Muungano! Lakini tatizo linakuja pale mnapotumia njia zisizofaa! Kuua raia wasio na hatia, kuwamwagia Wakristu tindikali au kuchoma nyumba zao za ibada, kwa mgongo wa kuukataa Muungano, ni jambo lisilo kubalika kwa wapenda amani.Kwani kusema hatutaki muungano ni dhambi ndani ya biblia au Quran, au katiba ya uVAMIZI YA MUUNGANO ??
Dikteta alikuwa anatoa amri wafanyiwe torturingMa
Magufuli hausiki na Mashed.Kikwete ndio anahusika kuwafunga.Acha chuki za kipumbavu