We mtoa post nakupa nasaha pia najihusia mwenyewe juu ya kuusoma uislamu, kuna tofauti kati ya Muislamu na Uislamu na usione kila sheikh au ustaadh ni wa kufuatwa, unavyoonekana hata huujui vzuri uislamu unawezaje kuandika Mtume Mohammed? Uislamu hauna huyu mtume bali kuna Mtume Muhammad, kuna Qur'an hakuna Koran, lugha ya kiarabu sio lugha ya mtaani au kisukuma, unapobadili heruf na maana hubadilika, nakushauri urud darasani ukasome na uyajue makundi ya uislamu na utambue kundi lililo sahihi sio kutetea uozo