Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,477
Nawe ungetumia njia hiyo hiyo ya radio iman kutoa maoni yakoNimevamia vipi?
Ulimsikia Mohammed Issa alibyokuwa anamrushia matusi Shehe Hamza kupitia radio iman?!
Nawe ungetumia njia hiyo hiyo ya radio iman kutoa maoni yakoNimevamia vipi?
Ulimsikia Mohammed Issa alibyokuwa anamrushia matusi Shehe Hamza kupitia radio iman?!
Ohooooo!!!!! Nilimuona sheikh akiwa Kansan,so alimtukana maneno gan???? Bado ustadh mazinge na yey lazima aongeeMohamed Issa ni mmoja wa viongozi wa madhehebu ya sunni!
Kamtukana Shehe Hamza kwa sababu alikwenda kuhubiri kanisani na kusifia utukufu wa Yesu Kristo!
Lakini pia wewe ulimsikia huyo Padri Hamza alivyokiri kuwa alikuwa anaenda katika njia sahihi. Hata hivyo sheikh Muhammad Issa alikuwa akitoa na reference za Qur an na haditihi za mtume katika kumuweka sawa huyu murtad.Nimevamia vipi?
Ulimsikia Mohammed Issa alibyokuwa anamrushia matusi Shehe Hamza kupitia radio iman?!
Jee unauhakika mtandao huu utafikisha maoni yako kwa mlengwa????Maoni yangu hayawezi kurushwa hewani na ndiyo sababu nimetumia mtandao huu wa jamii kupeperusha maoni yangu nikiwa na hakika wahusika ni wanachama humu!!
Kwani umelazimishwa kusoma au kuchangia?Sasa habari za mashekhe wa mtaani kwenu wanatuhusu nini humu?
Dini ni imani! Kila mmoja kwa nafsi yake atawajibika binafsi kwa Mungu!Lakini pia wewe ulimsikia huyo Padri Hamza alivyokiri kuwa alikuwa anaenda katika njia sahihi. Hata hivyo sheikh Muhammad Issa alikuwa akitoa na reference za Qur an na haditihi za mtume katika kumuweka sawa huyu murtad.
Aliyeenda kanisani kusema kuwa sasa ni zama za gospel na sio zama kujua sheria.
Hatuna kidubwasha kinachoitwa kuran bali kuna Quran katika uislam,
Hakuna mungu katika uislam bali kuna Allah subhaana wata'ala.
Umenipata mkuu,mwambie huyo mnafki muanzisha mada.
Sisi waislamu hatuamini hivyo, Hamza amekosea lazima akumbushwe kwa sababu qur an inasema ''KUMBUSHA HAKIKA UKUMBUSHO HUWAFAA WALIOAMINI'' sasa huyu Hamza asingekumbushwa naamini mpaka leo aisngeomba radhi kwa waislamu kuwa alikuwa anapotea.Dini ni imani! Kila mmoja kwa nafsi yake atawajibika binafsi kwa Mungu!
Sasa kama kama Hamza ni murtad aachwe huru na imani yake kwani atahukumiwa yeye na siyo wengine kwa niaba yake!!
Nime like"Dini iliyo safi, isiyo na uchafu mbele za Mungu Baba, ndio hii: kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu."
Yakobo 1:27
Dah Mbona Shehe Hamza yuko poa tu.....Kwa jazba kubwa umesikika ukimkashfu Shehe Hamza kwamba anawapotosha waislam!
Wewe shehe Issa usijifanye ndiye unaifahamu Koran kuwapita waislam wote! Unapaswa kufahamu kuwa Shehe Hamza ni msomi aliyetukuka katika Koran! Kama una hoja ya kupinga mahubiri yake, pinga kwa hoja na vielelezo na siyo kutoa kashfa!
Kumbuka wote tunajifunza kutokana na maandiko! Wewe Issa hukuwepo wakati wa Mtume Mohammed hivyo kama wengine wote na wewe unasoma maandiko tuliyoyakuta! Usilazimishe wote tuwe na uelewa sawa na wewe!
Kila mmoja anao ufahamu wake ,lakini si kila ufahamu ni sahihi.Kwa hiyo Allah ana tofauti gani na Mungu ?.Nadhani ni lugha tu inagongana.Huku kwetu Mungu tunamwita Ngai kwahiyo ikiandikwa Quran ya Kimaasai sehemu ya Allah wataandika Ngai.Ukienda kule pande za Mlima Kilimanjaro Mungu wanamwita Ruwa ingeandikwa Quran sehemu ya Allah wangeandika Ruwa.
Natumaini nimekusaidia vya kutosha.
Muache huyo boya mkuu,kama ni msomi aliyebobea mbona alienda kwa sheikh mkuu wa dsm kuomba msamaha kwamba kakosea, kwamba alichokuwa anakifanya sio kweli na sio sahihi????