Shehe Mohammed Issa acha kumkashfu Shehe Hamza!

Shehe Mohammed Issa acha kumkashfu Shehe Hamza!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,808
Reaction score
18,045
Kwa jazba kubwa umesikika ukimkashfu Shehe Hamza kwamba anawapotosha waislam!

Wewe shehe Issa usijifanye ndiye unaifahamu Koran kuwapita waislam wote! Unapaswa kufahamu kuwa Shehe Hamza ni msomi aliyetukuka katika Koran! Kama una hoja ya kupinga mahubiri yake, pinga kwa hoja na vielelezo na siyo kutoa kashfa!

Kumbuka wote tunajifunza kutokana na maandiko! Wewe Issa hukuwepo wakati wa Mtume Mohammed hivyo kama wengine wote na wewe unasoma maandiko tuliyoyakuta! Usilazimishe wote tuwe na uelewa sawa na wewe!
 
Kwa jazba kubwa umesikika ukimkashfu Shehe Hamza kwamba anawapotosha waislam!

Wewe shehe Issa usijifanye ndiye unaifahamu Koran kuwapita waislam wote! Unapaswa kufahamu kuwa Shehe Hamza ni msomi aliyetukuka katika Koran! Kama una hoja ya kupinga mahubiri yake, pinga kwa hoja na vielelezo na siyo kutoa kashfa!

Kumbuka wote tunajifunza kutokana na maandiko! Wewe Issa hukuwepo wakati wa Mtume Mohammed hivyo kama wengine wote na wewe unasoma maandiko tuliyoyakuta! Usilazimishe wote tuwe na uelewa sawa na wewe!
Mleta uzi ndg Ileje
Sijui hata unajitambua, na inaonekana hata ulichokiandika hukijui maskini
"Sheikh Hamza msomi aliyetukuka ndani ya Qu'ran?"
Hapa unajua ulichokimaanisha?
Ndg yangu kaa chini isome dini yako, na sio kuja kuwa tetea MASUFI,

The greatest enermy of islam, is the ignorant muslim.
 
Moh
Nimevamia vipi?

Ulimsikia Mohammed Issa alibyokuwa anamrushia matusi Shehe Hamza kupitia radio iman?!
Mohamed Issa ndio nani,anaswalisha wapi,kamtukana hamza matusi yapi?
Hamza ndio nani,anaswalisha wapi,kaongea mini mpaka atukanwe na Mohamed Issa
Ukijibu hayo unaweza kueleweka kidogo
 
Moh

Mohamed Issa ndio nani,anaswalisha wapi,kamtukana hamza matusi yapi?
Hamza ndio nani,anaswalisha wapi,kaongea mini mpaka atukanwe na Mohamed Issa
Ukijibu hayo unaweza kueleweka kidogo
Mohamed Issa ni mmoja wa viongozi wa madhehebu ya sunni!

Kamtukana Shehe Hamza kwa sababu alikwenda kuhubiri kanisani na kusifia utukufu wa Yesu Kristo!
 
Mohamed Issa ni mmoja wa viongozi wa madhehebu ya sunni!

Kamtukana Shehe Hamza kwa sababu alikwenda kuhubiri kanisani na kusifia utukufu wa Yesu Kristo!
Shehe hamza ameritadi? No matusi yapi aliotoa Hugo msunni?
 
Hv nawe muislam..!!??
Koran ndio kidubwasha gani..!!??
Huyo hamza ndio nani..!!??
KORAN IMEKUWA KIDUBWASHA!!!!! Hata kama siyo mwislam hukupaswa kusema hivyo na siyo ustaarabu ambao tumefunzwa hata kwenye biblia. Hivi unajiamini nini kwa kusema hivyo???? Adui mkubwa wa binadamu ni mdomo. Ndugu yangu hebu tafakuri kabla ya kuandika maneno ya kebehi kuhusu kitabu ambacho waumini wa kiislam ni kitukufu kwao kama vile wakristu na bibilia.
 
KORAN IMEKUWA KIDUBWASHA!!!!! Hata kama siyo mwislam hukupaswa kusema hivyo na siyo ustaarabu ambao tumefunzwa hata kwenye biblia. Hivi unajiamini nini kwa kusema hivyo???? Adui mkubwa wa binadamu ni mdomo. Ndugu yangu hebu tafakuri kabla ya kuandika maneno ya kebehi kuhusu kitabu ambacho waumini wa kiislam ni kitukufu kwao kama vile wakristu na bibilia.
Hatuna kidubwasha kinachoitwa kuran bali kuna Quran katika uislam,
Hakuna mungu katika uislam bali kuna Allah subhaana wata'ala.
Umenipata mkuu,mwambie huyo mnafki muanzisha mada.
 
Hatuna kidubwasha kinachoitwa kuran bali kuna Quran katika uislam,
Hakuna mungu katika uislam bali kuna Allah subhaana wata'ala.
Umenipata mkuu,mwambie huyo mnafki muanzisha mada.
Mnafiki ni wewe usiyejitambua!
 
Kiarabu
Kwa jazba kubwa umesikika ukimkashfu Shehe Hamza kwamba anawapotosha waislam!

Wewe shehe Issa usijifanye ndiye unaifahamu Koran kuwapita waislam wote! Unapaswa kufahamu kuwa Shehe Hamza ni msomi aliyetukuka katika Koran! Kama una hoja ya kupinga mahubiri yake, pinga kwa hoja na vielelezo na siyo kutoa kashfa!

Kumbuka wote tunajifunza kutokana na maandiko! Wewe Issa hukuwepo wakati wa Mtume Mohammed hivyo kama wengine wote na wewe unasoma maandiko tuliyoyakuta! Usilazimishe wote tuwe na uelewa sawa na wewe!
 
Back
Top Bottom