Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
MUFTI KUZURU MAKKAH.
Mufti kuondoka kesho kuelekea Makkah Saudi Arabia kwa Ziara ya siku ya siku tano
Akiwa mji Mtukufu wa Makkah atahudhuria mkutano mkubwa wa siku Mbili wa viongozi wakuu wa taasisi kuu 150 za kitaifa za kiislamu kutoka mataifa mbalimbali Duniani.
Mufti anatarjiwa kurejea nchini tarehe 17.8. 2023
Viongozi hao watajadili umuhimu na njia bora za mawasiliano na haja ya ushirikiano na kusaidiana baina ya taasisi hizo kwa lengo la kujijengea uwezo ili kuwezesha kufikia malengo ya kuwatumikia vyema waislamu.
.......
Dr. Harith Nkussa
Mwandishi Maalum wa Mufti
Ijumaa 11.8.2023
Dar es salaam.
Mufti kuondoka kesho kuelekea Makkah Saudi Arabia kwa Ziara ya siku ya siku tano
Akiwa mji Mtukufu wa Makkah atahudhuria mkutano mkubwa wa siku Mbili wa viongozi wakuu wa taasisi kuu 150 za kitaifa za kiislamu kutoka mataifa mbalimbali Duniani.
Mufti anatarjiwa kurejea nchini tarehe 17.8. 2023
Viongozi hao watajadili umuhimu na njia bora za mawasiliano na haja ya ushirikiano na kusaidiana baina ya taasisi hizo kwa lengo la kujijengea uwezo ili kuwezesha kufikia malengo ya kuwatumikia vyema waislamu.
.......
Dr. Harith Nkussa
Mwandishi Maalum wa Mufti
Ijumaa 11.8.2023
Dar es salaam.