Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,145
- 28,845
Kama hayo maneno uliyoweka quote ameongea jamaa,basi nakubaliana nae asilimia 100.
Kuna wanawake ili uwapate basi inabidi ujiupgrade wewe mwanaume ili ufikie viwango vyake. Hapa nazungumzia katika level ya kiuchumi kama amekuzidi.
Mwanamke akishakuwa na uchumi mkubwa ,gari Kali,nyumba ya mamilioni na mwonekano wa HD( mrembo aliyepita viwango vya uzuri wa kawaida) automatically anapunguza wanaume kumfuatilia.
Yaani anakuwa kama mlimani city ilivyopunguza au kuchuja masikini,kwa sababu masikini wanaogopa vioo (uzuri na gharama ) na mambo kama hayo.
Mfano kwenye story ya Member INSIDER MAN ,jamaa mmoja Ambae alikuwa ni Mwarabu ana Mali za mafuta Dubai, na Bongo ana biashara pamoja na utajiri wote alikuwa anamgwaya mwanamke main character wa kwenye ile story.
Kwa sababu alipotaka kwenda kwa gia ya Hela/ ukwasi akashauriwa na jamaa kuwa huyo Binti hata umuonge milioni mia hawezi kukukubali kwa hiko kigezo maana yeye mwenyewe ana Hela chafu Mwarabu akagwaya na mihela yake.
Nakubaliana na wewe kuwa hakuna mwanamke special ila kwanza hakikisha mwanaume uwe umeinuka kiuchumia maradufu(pesa inaleta security na authority) kumzidi huyo manzi. Vinginevyo akupende yeye bila kuzingatia uchumi wako.
Mfano yule jamaa wa Arusha anayetrend mitandaoni kupendwsa na ile pisi Kali muuza nguo. Jamaa kaangukiwa tu na zali la mentally.
Kuna wanawake ili uwapate basi inabidi ujiupgrade wewe mwanaume ili ufikie viwango vyake. Hapa nazungumzia katika level ya kiuchumi kama amekuzidi.
Mwanamke akishakuwa na uchumi mkubwa ,gari Kali,nyumba ya mamilioni na mwonekano wa HD( mrembo aliyepita viwango vya uzuri wa kawaida) automatically anapunguza wanaume kumfuatilia.
Yaani anakuwa kama mlimani city ilivyopunguza au kuchuja masikini,kwa sababu masikini wanaogopa vioo (uzuri na gharama ) na mambo kama hayo.
Mfano kwenye story ya Member INSIDER MAN ,jamaa mmoja Ambae alikuwa ni Mwarabu ana Mali za mafuta Dubai, na Bongo ana biashara pamoja na utajiri wote alikuwa anamgwaya mwanamke main character wa kwenye ile story.
Kwa sababu alipotaka kwenda kwa gia ya Hela/ ukwasi akashauriwa na jamaa kuwa huyo Binti hata umuonge milioni mia hawezi kukukubali kwa hiko kigezo maana yeye mwenyewe ana Hela chafu Mwarabu akagwaya na mihela yake.
Nakubaliana na wewe kuwa hakuna mwanamke special ila kwanza hakikisha mwanaume uwe umeinuka kiuchumia maradufu(pesa inaleta security na authority) kumzidi huyo manzi. Vinginevyo akupende yeye bila kuzingatia uchumi wako.
Mfano yule jamaa wa Arusha anayetrend mitandaoni kupendwsa na ile pisi Kali muuza nguo. Jamaa kaangukiwa tu na zali la mentally.