She is not my standard

She is not my standard

Kuna vitu wanaume twatakiwa kujifunza. Kutongoza ovyo, kuchezea hisia za wenzetu, kutoa ahadi za uongo, kutumia kuoa kama kigezo cha kumpata mdada...and so on...si tabia nzuri. Kuna wadada wakipenda wanakuwa kama wehu, hawasikii wala hawaoni.
 
Una degree ngapi? Kaongeze nyingine mbili labda zitakusaidia kufikirisha kidogo akili yako kabla ya kufanya maamuzi.
Bint amekuwa approached na rafikiyo,anakupigia kimakosa ulishindwaje kumwambia sio wewe anayemtafuta then ukaendelea kuangalia hiyo habari? Bint amekuwa approached jioni mbele yako then usiku uka sex nae kisha ukampasia rafiki yako huku ukiendelea naye!!!
She is your standard kabisa,marry her wala usitafute sababu maana unayoyahofia kwake kwako ni mara mbili yake hujioni tu!!

Huyu ana digrii za kata sensu St. Kayumba University
 
mkuu we ni pm tu no yake ya sim. Hilo zogo na confusion yote itakuondokea. Atatulia kama maji ya mtungini. Kama huwezi kufanya hivyo basi solution ni kuwa umuoe tu.
 
kwahiyo sio standard kwavile yeye ni division 42 halafu wewe ni division 43 au mm sijaelewa vizuri?
 
Huyu ana digrii za kata sensu St. Kayumba University
Hahaaa, umenirudishia hamu ya kucheka. bahati mbaya wakati tunaanza kusoma university vyuo hivyo havikuwepo, hata UDOM hakikuwepo. Kipindi hicho ukisema uko chuo kikuu hakuna haja ya kueleza ni chuo gani? kila mtu anakua kakuelewa. aksante sana kwa kunikumbusha zamani.
 
kwahiyo sio standard kwavile yeye ni division 42 halafu wewe ni division 43 au mm sijaelewa vizuri?
Utaelewa tu, endelea kujali vitu vidogo vidogo, na kupiga msuli yatima.
 
ww uc zuge hadi mmefikisha miaka 2 means ulimpenda so kwa sasa umeona mzuri mwingine unaanza kumbwaga umelikoroga linywe sasa.
 
ww uc zuge hadi mmefikisha miaka 2 means ulimpenda so kwa sasa umeona mzuri mwingine unaanza kumbwaga umelikoroga linywe sasa.
Na yamenikuta kweli, hii kitu inaninyima raha..Hata kwenda na msichana kwangu imekua tatizo, bint anakaa karibu na kwangu so akiona gari tu anachungulia niko na nani? achaaaa bro
 
Here is your standard,
Wapo Wadada wenye elimu level ya digrii, Na Mipango madhubuti ya kufanya masters pia kama wewe.
Sifa yao kubwa ni Vicheche ('Yaani kama wewe')
Zaidi- Ni 'Malaya Wasomi' na wanajiuza bila kificho.

'Wasomi nyie' Mnarandana jambo moja:
Na wao pia hawataki wanaume ambao hawajasoma na wasiopenda maendeleo.
-Wanatamani ndoa takatifu,
Pia wana kazi zao na ni wastaarabu.
inshort,Mnaendana kwa kila kitu, Ni-PM kwa maelezo zaidi.

Asante
 
Here is your standard,
Wapo Wadada, Wana elimu level ya digrii, na mipango ya kufanya masters pia kama wewe.
Ni 'Malaya Wasomi' na wanajiuza bila kificho.
Wasomi wajinga nyie Mnaendana jambo moja: Na wao pia hataki mwanaume ambao hajasoma.
Mnaendana,Ni-PM kwa maelezo zaidi.


Asante

Aksante mkuu kwa kujali kwako, lakini kama wanajiuza nafikiri sio standard yangu pia.. Mie hua sinunui, kwa hiyo siwafai pia sababu sijaqualify vigezo vyao.
Hapa nazungumzia kutokufit kwa mwanamke kwenye demand yangu..Kwahiyo ukinipa msomi malaya ni mlemle mkuu wangu, Nadhani nilivyoweka elimu ndio tatizo, kwanini huangalii hivyo vigezo vingine au hayo mapungufu yake?
Kama mtu hajasoma hata darasa moja but anatabia zinazo eleweka anafaa kuwa mke.
aksante kwa mara nyingine.
 
Pole sana na ujifunze cku nyngne ucrudie,kosea vyote bt uckosea kuchagua mke au mme........swali la kujiuliza,JE UNAMPENDA?
 
Akija mnunulie juice akimaliza kunywa mwambie kila siku unataka kujiua leo nimeamua kukuua kwa sumu hivyo nimekuwekea humo kwa juice uliyokunywa!!!!!!!!

Kibwagizo; As we are now talking,you are half way dead!!!!
Hakikisha hamna silaha jirani,atakutanguliza wewe kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom